-
Kan'ani: Usitishaji vita Gaza ni hatua ya kwanza ya kusitisha jinai za kivita za utawala wa Kizayuni
Nov 24, 2023 06:26Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa usitishaji vita wa muda wa kibinadamu uliofikiwa Ukanda wa Gaza ni hatua ya awali kuelekea kusitisha jinai za kivita za utawala wa Kizayuni unaouwa watoto.
-
Qatar yasikitishwa na utendaji kazi wa Baraza la Usalama huko Ghaza
Oct 27, 2023 02:32Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amelalamikia siasa za utolewaji misaada ya kibinadamu huko Ghaza na kushindwa Baraza la Usalama kupitisha azimio kuhusiana na matukio ya eneo hilo.
-
Amir wa Qatar: Dunia isiipe Israel leseni ya kuwaua Wapalestina
Oct 24, 2023 13:54Amir wa Qatar amesema anatiwa wasiwasi na hatua ya Israel ya kushadidisha jinai na mashambulizi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, na kuiasa jamii ya kimataifa isiupe leseni utawala huo wa Kizayuni ya kuwaua shahidi wananchi wa Palestina.
-
Abdollahian: Kuendelea mashambulizi ya Israel huko Gaza yumkini kukapanua wigo wa mapigano
Oct 15, 2023 15:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake na Amir Qatar kwamba: "Iwapo mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na watu wasio na ulinzi katika ukanda wa Gaza yataendelea, hakuna mtu anayeweza kudhibiti hali hiyo au kutoa dhamana na kutopanuka zaidi migogoro huo."
-
Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa
Oct 13, 2023 07:14Ofisi ya Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la Washington Post kuwa, Marekani na Qatar zimeafikiana kuzuia fedha za Iran zilizoachiwa hivi karibuni, ambazo zilikuwa zinashikiliwa nchini Korea Kusini kutokana na vikwazo.
-
Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA
Oct 01, 2023 02:38Qatar imetaka vituo vya nyuklia vya utawala wa Israel viwe chini usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) huku utawala huo ukiendelea kupuuza kanuni za kimataifa za nyuklia.
-
Amir wa Qatar: Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21
Sep 20, 2023 11:28Amir wa Qatar amesema kuwa, Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21, na kusisitiza kuwa, wananchi wa Palestina hawapaswi kuwa watumwa wa dhulma na ukatili wa wavamizi wanaoikalia Quds kwa mabavu.
-
Uturuki yafanya mazungumzo na Iraq, Qatar na UAE kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo"
Sep 16, 2023 02:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amethibitisha kuwa nchi yake inafanya mazungumzo na Iraq, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) na Qatar kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo".
-
Jumapili tarehe 3 Septemba 2023
Sep 03, 2023 13:18Leo ni Jumapili tarehe 17 Safar 1445 Hijria sawa na Septemba 3 mwaka 2023.
-
Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano
Jul 25, 2023 11:44Amir wa Qatar amemteua Sultan Salmeen Saeed Al-Mansouri kuwa balozi wa mpya wa nchi hiyo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).