Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Kan'ani: Usitishaji vita Gaza ni hatua ya kwanza ya kusitisha jinai za kivita za utawala wa Kizayuni

    Kan'ani: Usitishaji vita Gaza ni hatua ya kwanza ya kusitisha jinai za kivita za utawala wa Kizayuni

    Nov 24, 2023 06:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa usitishaji vita wa muda wa kibinadamu uliofikiwa Ukanda wa Gaza ni hatua ya awali kuelekea kusitisha jinai za kivita za utawala wa Kizayuni unaouwa watoto.

  • Qatar yasikitishwa na utendaji kazi wa Baraza la Usalama huko Ghaza

    Qatar yasikitishwa na utendaji kazi wa Baraza la Usalama huko Ghaza

    Oct 27, 2023 02:32

    Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amelalamikia siasa za utolewaji misaada ya kibinadamu huko Ghaza na kushindwa Baraza la Usalama kupitisha azimio kuhusiana na matukio ya eneo hilo.

  • Amir wa Qatar: Dunia isiipe Israel leseni ya kuwaua Wapalestina

    Amir wa Qatar: Dunia isiipe Israel leseni ya kuwaua Wapalestina

    Oct 24, 2023 13:54

    Amir wa Qatar amesema anatiwa wasiwasi na hatua ya Israel ya kushadidisha jinai na mashambulizi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, na kuiasa jamii ya kimataifa isiupe leseni utawala huo wa Kizayuni ya kuwaua shahidi wananchi wa Palestina.

  • Abdollahian: Kuendelea mashambulizi ya Israel huko Gaza yumkini kukapanua wigo wa mapigano

    Abdollahian: Kuendelea mashambulizi ya Israel huko Gaza yumkini kukapanua wigo wa mapigano

    Oct 15, 2023 15:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake na Amir Qatar kwamba: "Iwapo mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na watu wasio na ulinzi katika ukanda wa Gaza yataendelea, hakuna mtu anayeweza kudhibiti hali hiyo au kutoa dhamana na kutopanuka zaidi migogoro huo."

  • Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa

    Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa

    Oct 13, 2023 07:14

    Ofisi ya Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la Washington Post kuwa, Marekani na Qatar zimeafikiana kuzuia fedha za Iran zilizoachiwa hivi karibuni, ambazo zilikuwa zinashikiliwa nchini Korea Kusini kutokana na vikwazo.

  • Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA

    Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA

    Oct 01, 2023 02:38

    Qatar imetaka vituo vya nyuklia vya utawala wa Israel viwe chini usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) huku utawala huo ukiendelea kupuuza kanuni za kimataifa za nyuklia.

  • Amir wa Qatar: Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21

    Amir wa Qatar: Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21

    Sep 20, 2023 11:28

    Amir wa Qatar amesema kuwa, Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21, na kusisitiza kuwa, wananchi wa Palestina hawapaswi kuwa watumwa wa dhulma na ukatili wa wavamizi wanaoikalia Quds kwa mabavu.

  • Uturuki yafanya mazungumzo na Iraq, Qatar na UAE kuhusu mradi wa

    Uturuki yafanya mazungumzo na Iraq, Qatar na UAE kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo"

    Sep 16, 2023 02:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amethibitisha kuwa nchi yake inafanya mazungumzo na Iraq, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) na Qatar kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo".

  • Jumapili tarehe 3 Septemba 2023

    Jumapili tarehe 3 Septemba 2023

    Sep 03, 2023 13:18

    Leo ni Jumapili tarehe 17 Safar 1445 Hijria sawa na Septemba 3 mwaka 2023.

  • Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano

    Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano

    Jul 25, 2023 11:44

    Amir wa Qatar amemteua Sultan Salmeen Saeed Al-Mansouri kuwa balozi wa mpya wa nchi hiyo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS