Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qur'ani Tukufu

  • Taathira za kisaikolojia zinazotokana na usomaji wa Qur'ani Tukufu

    Taathira za kisaikolojia zinazotokana na usomaji wa Qur'ani Tukufu

    Mar 21, 2025 15:52

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya kifamilia amesema kuhusu taathira za kusoma Qur'ani Tukufu kwa mtazamo wa saikolojia kuwa: Kusoma maandishi ya Aya za Qur'ani na kuyazingatia kwa kina hutuliza moyo wa msomaji na hivyo kumpa somo la kujifahamu; kwa njia ambayo humfanya apate kutambua vizuri uwezo na udhaifu wake katika mazingira tofauti.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)

    Mar 12, 2025 09:13

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Maonyesho ya

    Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yafunguliwa Tunisia

    Feb 17, 2025 04:34

    Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yamefunguliwa katika Maktaba ya Kitaifa ya Tunisia, na yataendelea hadi Aprili 30, kwa ushirikiano wa Taasisi ya Urithi wa Kitaifa na Taasisi ya Utafiti wa Kisasa wa Maghreb.

  • Mwanasiasa mwenye chuki dhidi ya Uislamu Denmark avunjia heshima Qur'ani

    Mwanasiasa mwenye chuki dhidi ya Uislamu Denmark avunjia heshima Qur'ani

    Feb 02, 2025 11:01

    Mwanasiasa mwenye uraia pacha wa Sweden na Denmark na mwenye chuki dhidi ya Uislamu, Rasmus Paludan kwa mara nyingine tena ameivunjia heshima Qur'ani Tukufu kwa kuchoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu cha Waislamu katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen.

  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Yafunguliwa Algeria

    Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Yafunguliwa Algeria

    Jan 22, 2025 13:33

    Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Algeria yamefunguliwa huko Algiers, mji mkuu wa Algeria.

  • Sababu za kusalia imara Kambi ya Muqawama:

    Sababu za kusalia imara Kambi ya Muqawama: "Imani na kutawakali kwa Mola Muumba"

    Oct 31, 2024 09:35

    Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika Makala ya Wiki ambayo leo inazungumzia kwa ufupi sababu za kuendelea kuimarika Kambi ya Muqawama na mapambano dhidi ya dhulma na Uonevu.

  • CAIR: Israel imetangaza vita dhidi ya Uislamu kwa kuchoma moto Qur'ani

    CAIR: Israel imetangaza vita dhidi ya Uislamu kwa kuchoma moto Qur'ani

    Aug 26, 2024 02:30

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limelaani vikali kitendo cha wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuchoma moto nakali za Qur'ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza.

  • Askofu Mkuu wa Azerbaijan, Iran alaani kuvunjiwa heshima Qurani Sweden

    Askofu Mkuu wa Azerbaijan, Iran alaani kuvunjiwa heshima Qurani Sweden

    May 06, 2024 07:11

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Armenia katika eneo la Azerbaijan la kaskazini magharibi mwa Iran ameashiria kitendo cha karibuni cha kuchoma moto nakala ya Qur'ani tukufu nchini Sweden na kulaani vitendo hivyo vya kuyavunjia heshima matukufu ya kidini.

  • Rais Raisi ahimiza kutekelezwa kivitendo mafundisho ya Qur'ani Tukufu

    Rais Raisi ahimiza kutekelezwa kivitendo mafundisho ya Qur'ani Tukufu

    Apr 01, 2024 04:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuzingatia mafundisho wa Qur'ani Tukufu katika nyuga zote ni jambo la dharura kwa ajili ya mafanikio ya wanadamu ya duniani na Akhera.

  • Kuwaunga mkono wananchi na muqawama wa Ghazza ndilo jukumu kubwa la kiQur'ani leo hii

    Kuwaunga mkono wananchi na muqawama wa Ghazza ndilo jukumu kubwa la kiQur'ani leo hii

    Feb 22, 2024 11:33

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran amesisitiza kuwa, kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi na muqawama wa Ukanda wa Ghazza ndilo jukumu kubwa zaidi la kiQur'ani hivi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS