Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qur'ani Tukufu

  • Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Jul 04, 2023 07:51

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Uganda (UMSC) limelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden, huku uhalifu huo mkubwa wa kukichoma moto kitabu hicho kitakatifu katika nchi hiyo ya Magharibi ukiendelea kulaaniwa vikali na Waislamu kote duniani.

  • Papa akosoa vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya kidini

    Papa akosoa vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya kidini

    Jul 04, 2023 06:49

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amelaani kukaririwa vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu cha Waislamu cha Qur'ani Tukufu na kuvunjia heshima matukufu mengine ya kidini.

  • Waislamu duniani wazindua kampeni ya kususia bidhaa za Sweden

    Waislamu duniani wazindua kampeni ya kususia bidhaa za Sweden

    Jul 03, 2023 02:51

    Waislamu katika mitandano ya kijamii wameanzisha kampeni kubwa ya dunia nzima ya kususia bidhaa zinazozalishwa na Sweden, kulalamikia kitendo kiovu cha kudhalilisha na kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu nchini humo.

  • Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lalaani vikali kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lalaani vikali kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden

    Jul 02, 2023 11:55

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa taarifa na kulaani kitendo kiovu cha kudhalilisha na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden.

  • "Ni wajibu kwa kila Muislamu kupinga vitendo vya Wamagharibi kuidhalilisha Qurani"

    Jul 01, 2023 11:27

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mataifa ya Waislamu yana wajibu na jukumu la kulaani na kupinga vitendo vya nchi za Magharibi vya kuvunja heshima matukufu ya Kiislamu, hususan Qurani Tukufu.

  • Marekani yatetea kuchomwa moto Qurani Sweden, UN yalaani

    Marekani yatetea kuchomwa moto Qurani Sweden, UN yalaani

    Jul 01, 2023 10:14

    Huku ulimwengu wa Kiislamu ukiendelea kulaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu huko nchini Sweden, Marekani imetoa taarifa inayoonekana kuunga mkono na kuhalalisha kitendo hicho cha kuvunjiwa heshima kitabu kitakatifu cha Waislamu.

  • Ayatullah Sistani ataka Umoja wa Mataifa uzuie kukaririwa vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani

    Ayatullah Sistani ataka Umoja wa Mataifa uzuie kukaririwa vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani

    Jun 30, 2023 07:41

    Ayatullah Sayyid Ali Sistani, Marjaa wa Waislamu wa Kishia ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kuzuia kukaririwa vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu cha Waislamu cha Qur'ani Tukufu.

  • Abdollahian akosoa hatua ya Sweden ya kuunga mkono kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Abdollahian akosoa hatua ya Sweden ya kuunga mkono kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Jun 30, 2023 07:25

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya Sweden ya kuunga mkono vitendo vya kuvunjiwa heshima matukufu ya dini ikiwemo Qur'ani Tukufu.

  • Mataifa ya Kiislamu yalaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Mataifa ya Kiislamu yalaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Jun 30, 2023 03:26

    Ulimwengu wa Kiislamu umelaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu (kitabu kitakatifu cha Waislamu) huko nchini Sweden.

  • Al Azhar yalaani hujuma ya Wazayuni na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Al Azhar yalaani hujuma ya Wazayuni na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

    Jun 25, 2023 07:59

    Taasisi ya al Azhar nchini Misri imelaani vikali kitendo cha walowezi wa Kiyahudi cha kuchoma moto na kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS