Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Sep 14, 2019 07:05

    Rais Donald Trump wa Marekani ameripotiwa kumtaja Rais Abdul Fattah al-Sisi kuwa dikteta.

  • Mazungumzo ya viongozi wa Ufaransa na Marekani kuhusu Iran na JCPOA

    Mazungumzo ya viongozi wa Ufaransa na Marekani kuhusu Iran na JCPOA

    Aug 25, 2019 08:21

    Mivutano iliyopo baina ya Marekani na nchi za Ulaya zilizomo katika kundi la 4+1 kuhusiana na jinsi ya kuamiliana na Iran na kadhia nzima ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado ni moja ya mivutano mikubwa ya pande hizo mbili. Katika wiki za hivi karibuni, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alifanya mazungumzo mbalimbali na marais wa Iran na Marekani na kuja na mapendekezo ya kupunguza wasiwasi uliopo.

  • Wananchi wa Tunisia wamuomboleza kiongozi wao; wasubiri nchi kupitisha kipindi cha mpito kwa amani

    Wananchi wa Tunisia wamuomboleza kiongozi wao; wasubiri nchi kupitisha kipindi cha mpito kwa amani

    Jul 27, 2019 03:15

    Wananchi wa Tunisia ambao jana walimiminika mitaani kuomboleza kifo cha mwendazake Rais wa nchi hiyo Beji Caid Essebsi wanasema wameridhishwa na hatua zinazoendelea kutekelezwa kwa ajili ya kumchagua kiongozi atakayeziba nafasi ya Essebsi.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Misri kufuatia kifo cha Mohammad Morsi

    Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Misri kufuatia kifo cha Mohammad Morsi

    Jun 18, 2019 07:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mkono wa pole kwa familia ya Mohammed Morsi, kufuatia kifo tata cha rais huyo wa zamani wa Misri.

  • Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro wa ukosefu wa ajira kwa vijana

    Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro wa ukosefu wa ajira kwa vijana

    Jun 17, 2019 08:28

    Rais Cyril Ramaphosa amesema Afrika Kusini inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa ukosefu wa ajira miongoni mwa tabaka la vijana.

  • Bashir aonekana hadharani mara ya kwanza baada ya kupinduliwa, ashitakiwa kwa ufisadi

    Bashir aonekana hadharani mara ya kwanza baada ya kupinduliwa, ashitakiwa kwa ufisadi

    Jun 17, 2019 03:31

    Aliyekuwa Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu aondolewe madarakani Aprili 11 mwaka huu.

  • Rais Michel Aoun: Njama zote za kutaka kuibua machafuko zitapata jibu kali

    Rais Michel Aoun: Njama zote za kutaka kuibua machafuko zitapata jibu kali

    Jun 04, 2019 08:32

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ametoa radiamali yake kufuatia shambulizi la kigaidi lililofanyika Tripoli nchini humo na kusema kuwa, hatua yoyote mbaya yenye lengo la kuibua ghasia ndani ya taifa hilo, itakabiliwa na jibu kali.

  • Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini: Niko tayari kuachia ngazi

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini: Niko tayari kuachia ngazi

    May 15, 2019 01:55

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amesema yuko tayari kuachia ngazi na kukabidhi madaraka iwapo kutakuwa na haja ya msingi ya yeye kuchukua hatua hiyo.

  • Yoweri Museveni ataka viongozi wa

    Yoweri Museveni ataka viongozi wa "maisha" watawale Afrika, wapinzani wapinga

    May 13, 2019 09:58

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameyataka mataifa ya Afrika yaondoe sheria zinazowazuia viongozi wenye umri mkubwa na waiotawala muda mrefu kuwania urais katika nchi zao. Ametoa mwito huo mwezi mmoja baada ya Mahakama ya Juu nchini Uganda kuunga mkono hatua ya bunge la nchi hiyo ya kuondoa ukomo wa kuwania urais nchini humo, ili kumpa nafasi Museveni ya kuendelea kuwa rais.

  • Wananchi wa Misri wapiga kura 'kurefusha uongozi wa Sisi'

    Wananchi wa Misri wapiga kura 'kurefusha uongozi wa Sisi'

    Apr 20, 2019 08:41

    Wananchi wa Misri hii leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki kura ya maoni, yenye azma ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili inayoruhusiwa na katiba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS