-
Rais Barham Salih wa Iraq: Kamwe nchi yetu haitakuwa ngome kwa ajili ya kuwaudhi majirani zetu
Apr 12, 2019 03:20Rais Barham Salih wa Iraq amesema kuwa, kamwe nchi hiyo haiwezi kukubali kugeuka kwa aina yoyote kuwa ngome ya kieneo kwa ajili ya kuziudhi nchi majirani.
-
Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa
Apr 11, 2019 23:55Rais Michel Aoun wa Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, tangazo la Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na umiliki wa utawala vamizi wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria linakinzana na maazimio ya kimataifa.
-
Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia
Apr 09, 2019 10:37Katika sherehe za 13 za Siku ya Kitaifa ya Nyuklia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezindua mafanilkio 114 ya nyuklia nchini.
-
Waalgeria washadidisha maandamano baada ya kuteuliwa rais wa mpito
Apr 09, 2019 10:11Maelfu ya wananchi wa Algeria wakiwemo wanafunzi wa Vyuo Vikuu wamemiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kuteuliwa rais wa mpito wa nchi hiyo.
-
Rais wa Senegal amtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo 'ajifute kazi'
Apr 07, 2019 02:35Rais wa Senegal, Macky Sall ambaye alishinda muhula wa pili katika uchaguzi wa hivi karibuni amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuzindua mageuzi ya uongozi, yanayojumuisha kufuta wadhifa wa Uwaziri Mkuu.
-
Bunge la Algeria kumteua rais wa mpito baada ya Bouteflika kujiuzulu
Apr 07, 2019 02:24Bunge la Algeria linatazamiwa kumteua rais wa mpito atakayeiongoza nchi hiyo baada ya Abdelaziz Bouteflika kujiuzulu.
-
Kiongozi wa upinzani Sudan amtaka Rais Bashir ajiuzulu
Apr 06, 2019 03:20Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Sudan amemtaka Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo ajiuzulu.
-
Rais Barham Salih wa Iraq: Mfumo wowote wa eneo hili hauwezi kuipuuza Iran
Apr 02, 2019 20:47Rais Barham Salih wa Iraq amesema kuwa, hakuna mfumo wowote mpya katika eneo la Asia Magharibi unaoweza kuipuuza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kama ambavyo hauwezi pia kufumbia macho umuhimu wa taifa la Iraq.
-
Rais wa Sudan: Matakwa ya wananchi wanaoandamana ni halali
Apr 01, 2019 20:24Rais Omar al Bashir wa Sudan amekiri kuwa matakwa yanayoshinikizwa na wananchi wa nchi hiyo ambao wamekuwa wakishiriki maandamano dhidi ya serikali kwa miezi kadhaa sasa ni halali.
-
Maandamano yapamba moto Algeria baada ya Bouteflika kung'ang'ania madaraka na kuunda serikali mpya
Apr 01, 2019 02:35Maandamano makubwa ya wananchi wa Algeria yanaendelea baada ya rais mgonjwa wa nchi hiyo, Abdulaziz Bouteflika kukataa uamuzi wa kung'oka madarakani na kuamua kuunda serikali mpya.