Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Wanawake waandamana Comoro kupinga ushindi wa Rais Azali

    Wanawake waandamana Comoro kupinga ushindi wa Rais Azali

    Mar 28, 2019 10:37

    Makumi ya wanawake katika visiwa vya Comoro wamefanya maandamano hii leo kupinga ushindi wa Rais Azali Assoumani katika uchaguzi wa rais wa hivi karibuni.

  • Wapinzani nchini Misri wakosoa azma ya kuondoa kikomo cha urais

    Wapinzani nchini Misri wakosoa azma ya kuondoa kikomo cha urais

    Mar 28, 2019 00:15

    Muungano wa upinzani nchini Misri umekosoa vikali mpango wa kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.

  • Dunia yaendelea kumpinga Trump kuhusu miinuko ya Golan ya Syria

    Dunia yaendelea kumpinga Trump kuhusu miinuko ya Golan ya Syria

    Mar 26, 2019 10:03

    Viongozi mbalimbali wa dunia wameendelea kutoa radiamali kali ya kupinga tangazo la urasimishaji la Rais Donald Trump wa Marekani kwa miinuko ya Golan ya Syia kwamba ni milki ya utawala haramu wa Kizayuni Israel.

  • Wanafunzi waliochora picha ya kumdhihaki Rais wa Burundi washitakiwa

    Wanafunzi waliochora picha ya kumdhihaki Rais wa Burundi washitakiwa

    Mar 21, 2019 11:32

    Wanafunzi watatu wa kike wamefunguliwa mashitaka ya kumdhihaki Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, na huenda wakahukumiwa kifungo cha hadi miaka mitano jela.

  • Rais wa Syria akosoa undumakuwili wa Wamagharibi katika vita dhidi ya ugaidi

    Rais wa Syria akosoa undumakuwili wa Wamagharibi katika vita dhidi ya ugaidi

    Mar 20, 2019 04:13

    Rais wa Syria Bashar al-Assad amekosoa vikali sera ya undumakuwili ya baadhi ya nchi katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika

    Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika

    Mar 16, 2019 01:12

    Maafisa waandamizi wa chama tawala nchini Algeria cha FNL wamemtaka Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo kuchukua hatua ya 'kihistoria', hatua nyingine ambayo inaashiria kuwa chama hicho kimeendelea kujiweka mbali na Bouteflika.

  • Rais Felix Tshisekedi wa DRC awaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa

    Rais Felix Tshisekedi wa DRC awaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa

    Mar 14, 2019 10:35

    Rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi amesaini dikrii ya kuwaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa.

  • Rais Bashar al-Assad: Vikwazo vya kiuchumi vya Marekani ni njia mpya ya vita dhidi ya Syria

    Rais Bashar al-Assad: Vikwazo vya kiuchumi vya Marekani ni njia mpya ya vita dhidi ya Syria

    Mar 11, 2019 04:46

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, vita dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu vimechukua mkondo mpya ambapo sasa vimeelekezwa katika mzingiro na vita vya kiuchumi.

  • Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Mar 10, 2019 10:51

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria anatazamiwa kurejea katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika leo Jumapili, baada ya kuwa nje ya nchi kwa muda wa wiki mbili kwa ajili ya matibabu.

  • Bouthaina Shaaban: Chanzo cha ugaidi katika eneo ni utawala wa Kizayuni

    Bouthaina Shaaban: Chanzo cha ugaidi katika eneo ni utawala wa Kizayuni

    Mar 10, 2019 10:42

    Mshauri wa Masuala ya Kisiasa na Habari wa Rais wa Syria amesema kuwa chanzo cha ugaidi huko Syria, Yemen, Iraq na Libya ni utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS