Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake

    Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake

    Mar 06, 2019 10:21

    Zimbabwe imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Marekani ya kurefusha vikwazo dhidi ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, inayokabiliwa na mgogoro wa kiuchumi.

  • Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Mar 05, 2019 23:23

    Rais Mohammed Abdullahi Farmajo wa Somalia amekiri kuwa, vita dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab havitamalizika hivi karibuni, lakini akasisitiza kuwa genge hilo limedhoofishwa kwa kiasi kikubwa.

  • Rais Buhari wa Nigeria kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais

    Rais Buhari wa Nigeria kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais

    Feb 27, 2019 01:18

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amehifadhi kiti chake baada ya kuibuka mshindi wa uchaguzi wa urais wa Jumamosi iliyopita na kumbwaga mpinzani wake karibu kwa karibu kura milioni 4.

  • Watu kadhaa wauawa katika ghasia za uchaguzi nchini Nigeria

    Watu kadhaa wauawa katika ghasia za uchaguzi nchini Nigeria

    Feb 24, 2019 10:52

    Asasi za kiraia na timu za waangalizi wa uchaguzi nchini Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa makumi ya watu katika ghasia za uchaguzi mkuu uliofanyika jana Jumamosi.

  • Rais Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda zana za ulinzi + Picha

    Rais Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda zana za ulinzi + Picha

    Feb 11, 2019 10:54

    Rais Hassan Rouhani amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiombi na wala haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda aina mbali mbali za makombora na zana za ulinzi; na itaendelea kufuata njia yake kwa nguvu na uwezo kamili.

  • Rais wa Algeria (81) asema atagombea muhula wa tano wa urais

    Rais wa Algeria (81) asema atagombea muhula wa tano wa urais

    Feb 11, 2019 04:21

    Rais Abdulaziz Bouteflika wa Algeria ametangaza kuwa atagombea muhula wa tano wa kiti cha rais, katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Aprili mwaka huu.

  • Bunge la Misri lajadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Bunge la Misri lajadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Feb 05, 2019 12:19

    Bunge la Misri leo Jumanne limeanza kujadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo agombee zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.

  • ICC kumuachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast kwa sharti

    ICC kumuachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast kwa sharti

    Feb 01, 2019 10:06

    Waendesha Mashitaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wamekubali ombi la kuachiwa huru rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo lakini kwa sharti kwamba asirejee katika nchi yake.

  • Tshisekedi aapishwa kuwa Rais mpya wa Congo DR + Sauti

    Tshisekedi aapishwa kuwa Rais mpya wa Congo DR + Sauti

    Jan 24, 2019 12:27

    Kiongozi wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi amepishwa leo kushika hatamu za uongozi wa nchi hiyo akimrithi Rais Joseph Kabila aliyemaliza muda wake. Hatua hiyo inahesabiwa kuwa ya kwanza katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika ya kukabidhiana madaraka kwa njia ya amani na ya kidemokrasia katika kipindi hote cha miaka 59 iliyopita.

  • Hafla ya kumuapisha rais mpya wa Kongo DR yaakhirishwa

    Hafla ya kumuapisha rais mpya wa Kongo DR yaakhirishwa

    Jan 22, 2019 04:20

    Sherehe za kumuapisha rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilizotazamiwa kufanyika leo Jumanne zimeakhirishwa na sasa zitafanyika baadaye wiki hii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS