Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Thamani ya sarafu ya Afrika Kusini yaporomoka, ANC kumuondoa Zuma ofisini kwa nguvu

    Thamani ya sarafu ya Afrika Kusini yaporomoka, ANC kumuondoa Zuma ofisini kwa nguvu

    Feb 13, 2018 04:35

    Thamani ya sarafu ya Afrika Kusini (rand) imeporomoka baada ya chama tawala nchini humo ANC kutishia kuwa kitamuondoa ofisini kwa nguvu Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Rais Zuma wa Afrika Kusini apewa masaa 48 ajiuzulu

    Rais Zuma wa Afrika Kusini apewa masaa 48 ajiuzulu

    Feb 12, 2018 23:40

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amepewa masaa 48 awe ameachia ngazi, baada ya kufanyika mkutano wa dharura wa chama tawala ANC.

  • Taharuki yashtadi Maldives, rais wa zamani akamatwa, hali ya hatari yatangazwa

    Taharuki yashtadi Maldives, rais wa zamani akamatwa, hali ya hatari yatangazwa

    Feb 06, 2018 03:42

    Masaa machache baada ya Rais wa Maldives kutangaza hali ya hatari, rais wa zamani wa kisiwa hicho ametiwa mbaroni.

  • Rais Rouhani: Wananchi wa Iran katu hawatafumbia macho 'Jamhuri ya Kiislamu'

    Rais Rouhani: Wananchi wa Iran katu hawatafumbia macho 'Jamhuri ya Kiislamu'

    Jan 31, 2018 04:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala wa Iran wenye sifa ya jamhuri na Uislamu ni kumbukumbu ya Imam Ruhullah Khomeini MA mwasisi na mwanzishi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kwamba, wananchi wa taifa hili katu hawatambufia macho mfumo huu wenye sifa hizi mbili.

  • Odinga 'aapishwa' kuwa 'rais wa wananchi' Kenya, viongozi wenzake wasusa

    Odinga 'aapishwa' kuwa 'rais wa wananchi' Kenya, viongozi wenzake wasusa

    Jan 30, 2018 13:21

    Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga 'ameapishwa' hii leo kuwa 'rais wa wananchi' katika sherehe ilizofanyika katika Bustani ya Uhuru jijini Nairobi.

  • Rais wa Zimbabwe: Nitaheshimu matokeo ya uchaguzi wa rais

    Rais wa Zimbabwe: Nitaheshimu matokeo ya uchaguzi wa rais

    Jan 24, 2018 11:09

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameahidi kuwa nchi hiyo itafanya uchaguzi wa urais kabla ya Julai mwaka huu na kwamba ataheshimu uamuzi wa wananchi.

  • Chama tawala Afrika Kusini kumuuzulu Rais Zuma kwa nguvu

    Chama tawala Afrika Kusini kumuuzulu Rais Zuma kwa nguvu

    Jan 21, 2018 04:13

    Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimetishia kumuuzulu Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo iwapo hatakubali kuachia ngazi kwa khiari.

  • Rais wa Nigeria asema hajui kama atagombea muhula wa pili

    Rais wa Nigeria asema hajui kama atagombea muhula wa pili

    Jan 18, 2018 11:00

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema hajui iwapo atagombea muhula wa pili wa uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao 2019 au la.

  • Museveni aituhumu UN kuwa 'inalinda ugaidi' Kongo DR

    Museveni aituhumu UN kuwa 'inalinda ugaidi' Kongo DR

    Jan 17, 2018 11:14

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameibua tuhuma nzito dhidi ya Umoja wa Mataifa akidai kuwa chombo hicho cha kimataifa 'kinalinda ugaidi' mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Rais Assad: Matatizo ya Waarabu yanasababishwa na fikra potovu

    Rais Assad: Matatizo ya Waarabu yanasababishwa na fikra potovu

    Jan 16, 2018 01:16

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, matatizo yanayoukumba ulimwengu wa Kiarabu yanatokana na fikra potovu na kwamba madamu tatizo hilo halijatatuliwa, basi bado migogoro na vita vitaendelea kushuhudiwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS