Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Jan 14, 2018 04:23

    Rais wa Tunisia amevunja kimya chake na kufanya mkutano na vyama vya siasa, miungano ya wafanyakazi na shirikisho la waajiri kwa shabaha yan kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kiuchumi na maandamano yanayoshuhudiwa nchini humo kwa siku kadhaa sasa.

  • Upinzani Gabon wapinga kuondolewa kikomo cha mihula ya urais

    Upinzani Gabon wapinga kuondolewa kikomo cha mihula ya urais

    Jan 13, 2018 00:14

    Vyama vya upinzani nchini Gabon vimepinga vikali hatua ya Bunge la nchi hiyo ya kuifanyia marekebisho katiba, kwa lengo la kumuondolea visiki njiani Rais Ali Bongo wa nchi hiyo ili aendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Waliberia washiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo

    Waliberia washiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo

    Dec 26, 2017 04:04

    Wananchi wa Liberia wameelekea katika masanduku ya kupigia kura asubuhi ya leo kushiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais.

  • Makazi ya Rais Kabila wa DRC yateketezwa moto, polisi auawa

    Makazi ya Rais Kabila wa DRC yateketezwa moto, polisi auawa

    Dec 26, 2017 03:56

    Kundi la waasi wa Mai-Mai la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limevamia na kuteketeza moto nyumba ya Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

  • ICC yazijia juu nchi wanachama kwa kutomkamata Rais wa Sudan

    ICC yazijia juu nchi wanachama kwa kutomkamata Rais wa Sudan

    Dec 13, 2017 23:42

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amezikosoa vikali baadhi ya nchi wanachama wa Mkataba wa Roma uliounda mahakama hiyo, kwa kukataa kumtia mbaroni Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipozitembelea.

  • Rais wa Msumbiji awapiga kalamu nyekundu mawaziri wanne

    Rais wa Msumbiji awapiga kalamu nyekundu mawaziri wanne

    Dec 13, 2017 11:48

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji amewafuta kazi mawaziri wanne wakiwemo wa mambo ya nje na mafuta. Hata hivyo ofisi yake haijatoa sababu ya kupigwa kalamu nyekundu mawaziri hao.

  • Uchunguzi wa maoni: Asilimia 85 ya Waganda 'hawamtaki' Museveni

    Uchunguzi wa maoni: Asilimia 85 ya Waganda 'hawamtaki' Museveni

    Dec 10, 2017 03:44

    Uchunguzi wa maoni umeonyesha kuwa asilimia 85 ya wananchi wa Uganda hawaungi mkono muswada wa kufanyia marekebisho katiba ili kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Mnangagwa ateua baraza la mawaziri, wanajeshi na wapambe wa Zanu-PF wafaidi

    Mnangagwa ateua baraza la mawaziri, wanajeshi na wapambe wa Zanu-PF wafaidi

    Dec 01, 2017 04:06

    Emmerson Mnangagwa, Rais mpya wa Zimbabwe ameteuwa baraza lake jipya la mawaziri, linalojumuisha maafisa wa ngazi za juu kwenye jeshi la nchi hiyo na viongozi 'waaminifu' wa chama tawala ZANU-PF.

  • Mugabe alidondokwa na machozi na kukubali shingo upande kuachia madaraka

    Mugabe alidondokwa na machozi na kukubali shingo upande kuachia madaraka

    Nov 26, 2017 10:07

    Gazeti la Standard linalochapishwa nchini Zimbabwe limefichua kuwa, aliyekuwa rais wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, Robert Mugabe alionekana akilia huku akisema 'usaliti' wakati alipokubali kuachia madaraka kufuatia mashinikizo ya kila upande wiki iliyopita.

  • Mnangagwa aapishwa kuwa rais mpya wa Zimbabwe, aahidi kulijenga upya taifa

    Mnangagwa aapishwa kuwa rais mpya wa Zimbabwe, aahidi kulijenga upya taifa

    Nov 24, 2017 12:28

    Emmerson Mnangagwa, Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyefutwa kazi na Robert Mugabe wiki chache zilizopita ameapishwa hii leo kuwa rais mpya wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, huku akiahidi kulijenga upya taifa hilo linalokabiliwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS