Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Mugabe apewa kinga ya kutoshtakiwa, adhaminiwa usalama wake ndani ya Zimbabwe

    Mugabe apewa kinga ya kutoshtakiwa, adhaminiwa usalama wake ndani ya Zimbabwe

    Nov 23, 2017 10:57

    Aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amepewa kinga ya kutoshtakiwa sambamba na kudhaminiwa usalama wake ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Nov 22, 2017 13:02

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni na Rais Robert Mugabe aliyetangaza kujiuzulu hapo jana amerejea nchini akitokea Afrika Kusini.

  • Mugabe azidi kukabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu, Rais wa Botswana amkosoa, maandamano dhidi yake yafanyika Harare

    Mugabe azidi kukabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu, Rais wa Botswana amkosoa, maandamano dhidi yake yafanyika Harare

    Nov 18, 2017 04:12

    Rais Ian Khama wa Botswana amemtaka Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe aachie madaraka akisisitiza kuwa kiongozi huyo hana uungaji mkono wa kidiplomasia wa kieneo wa kumfanya abaki madarakani.

  • Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Nov 16, 2017 12:40

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye yuko katika ncha ya kuuzuliwa amekataa kuachia madaraka akisisitiza kuwa yeye ndiye kiongozi halali wa nchi hiyo.

  • Mapinduzi ya Zimbabwe; maji yamfika shingoni Mugabe, ajiandaa kujiuzulu

    Mapinduzi ya Zimbabwe; maji yamfika shingoni Mugabe, ajiandaa kujiuzulu

    Nov 15, 2017 04:49

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe anajiandaa kuondoka madarakani saa chache baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa madaraka kwa njia isiyo ya umwagaji damu.

  • Rouhani: Maadui wanataka kuzusha mgogoro mpya Mashariki ya Kati

    Rouhani: Maadui wanataka kuzusha mgogoro mpya Mashariki ya Kati

    Nov 11, 2017 12:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya njama zao kushindwa sasa maadui wanapanga mikakati ya kuzusha njama mpya katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • MDC: Kuuita uwanja wa ndege wa kimataifa

    MDC: Kuuita uwanja wa ndege wa kimataifa "Mugabe" ni tusi kwa Wazimbabwe

    Nov 10, 2017 23:42

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha MDC kimekosoa vikali hatua ya kubadilisha jina la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare na kuuita Robert Gabriel Mugabe, jina la rais wa nchi hiyo.

  • Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyeuzuliwa akimbia nchi

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyeuzuliwa akimbia nchi

    Nov 09, 2017 04:28

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyefutwa kazi na kutimuliwa ndani ya chama tawala Zanu-PF hivi karibuni amekimbilia uhamishoni akidai kuwa maisha yake yamo hatarini.

  • Rais Mugabe wa Zimbabwe amfuta kazi makamu wake

    Rais Mugabe wa Zimbabwe amfuta kazi makamu wake

    Nov 07, 2017 01:08

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amempiga kalamu nyekundu makamu wake Emmerson Mnangagwa, kutokana na kile kilichotajwa kama ukosefu wa uaminifu kwa rais na kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

  • Rais wa Zambia awaonya majaji wasifuate mkondo wa wenzao wa Kenya

    Rais wa Zambia awaonya majaji wasifuate mkondo wa wenzao wa Kenya

    Nov 03, 2017 11:01

    Rais Edgar Lungu wa Zambia ametoa tahadhari kwa majaji wa nchi hiyo dhidi ya kufuata mkondo wa majaji wa Kenya wa kumzuia kugombea urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS