Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yapinga madai ya Rais wa Uturuki kuhusiana na vita vya Libya

    Russia yapinga madai ya Rais wa Uturuki kuhusiana na vita vya Libya

    Feb 17, 2020 22:09

    Serikali ya Russia imetoa radiamali dhidi ya matamshi ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki aliyesema kuwa, Russia inaingilia vita nchini Libya na kueleza kuwa, matamshi hayo hayana ukweli wowote.

  • Baraza la Mamufti Russia: Waislamu waunde nguvu ya kukabiliana na mpango wa Muamala wa Karne

    Baraza la Mamufti Russia: Waislamu waunde nguvu ya kukabiliana na mpango wa Muamala wa Karne

    Feb 16, 2020 23:11

    Naibu Mkuu wa Baraza la Mamufti la Russia amesema kuwa Waislamu wanapasa kuwaunga mkono Wapalestina dhidi ya mpango wa Kimarekani wa Muamala wa Karne.

  • Viongozi wa Uturuki waendelea kutoa kauli za vitisho dhidi ya Syria kuhusiana na Idlib

    Viongozi wa Uturuki waendelea kutoa kauli za vitisho dhidi ya Syria kuhusiana na Idlib

    Feb 15, 2020 10:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametoa indhari ya kitakachotokea endapo mazungumzo ya nchi hiyo na Russia kuhusu kadhia ya Idlib hayatokuwa na tija.

  • Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria

    Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria

    Feb 13, 2020 03:54

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, kutoheshimu Uturuki ahadi zake kutotekeleza majukumu yake ndiko kulikosababisha kuzuka mgogoro huko Idlib nchini Syria.

  • Ombi la Rais wa Ufaransa la kuangamizwa silaha za nyuklia

    Ombi la Rais wa Ufaransa la kuangamizwa silaha za nyuklia

    Feb 08, 2020 04:02

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, jana Ijumaa alitangaza uamuzi wa nchi yake wa kupunguza idadi ya silaha zake za nyuklia hadi chini ya vichwa 300 vya nyuklia.

  • Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Feb 04, 2020 01:15

    Serikali ya Russia imetoa radiamali yake kufuatia baadhi ya ripoti zinazohusu kushambuliwa askari wa Uturuki katika operesheni zinazofanywa na askari wa Syria.

  • Baraza la Mamufti wa Russia: Nchi za Kiislamu ziungane kupambana na

    Baraza la Mamufti wa Russia: Nchi za Kiislamu ziungane kupambana na "Muamala wa Karne"

    Feb 01, 2020 23:11

    Mkurugenzi wa Baraza la Mamufti wa Russia ambacho ndicho chombo kikubwa zaidi ya Kiislamu nchini humo amesema kuwa, kuna wajibu wa nchi zote za Kiislamu kuungana na kuwa kitu kimoja ili kupambana na mpango wa Kimarekani-Kizayuni wa "Muamala wa Karne."

  • Russia: Hakuna haja ya kufanya makubaliano mapya na Iran

    Russia: Hakuna haja ya kufanya makubaliano mapya na Iran

    Jan 29, 2020 23:06

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Wakala wa Kimataifa wa Niashati ya Atomiki (IAEA) amesema kuwa Moscow inaamini kwamba hakuna haja ya kufanyika makubaliano mapya ya nyuklia na Iran, na badala yake mapatano ya JCPOA ni lazima yatekelezwe.

  • Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Jan 29, 2020 03:10

    Katika zama za utawala wa Rais Donlad Trump, Marekani imekithirisha makabiliano na Russia na China ambazo ni washindani wake wakuu katika uga wa kimataifa. Sera hiyo ya utawala wa Trump ilitiliwa mkazo katika Waraka wa Kistratijia wa Usalama wa Taifa la Marekani mwaka 2018.

  • Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu uwepo usio wa kijesheria wa majeshi ya kigeni nchini Syria

    Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu uwepo usio wa kijesheria wa majeshi ya kigeni nchini Syria

    Jan 27, 2020 00:51

    Marekani imekuwepo kijeshi na kinyume cha sheria nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la Daesh (ISIS), ambapo licha ya madai ya Rais Donand Trump ya kuwaondoa askari wa nchi yake kutoka taifa hilo la Kiarabu, lakini hadi leo askari hao wameendelea kuwepo sambamba na kupora mafuta ya Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS