-
Lavrov: Kuondoka Marekani huko Afghanistan ni mwisho wa kipindi cha kulazimisha demokrasia kwa mtutu wa bunduki
Sep 02, 2021 22:35Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan kuna maana ya mwisho wa kulazimisha demokrasia kwa kutumia nguvu za kijeshi.
-
Lavrov: Russia inapinga kuwepo wanajeshi wa Marekani katikati mwa Asia
Aug 25, 2021 03:23Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa, nchi hiyo inapinga suala la kupelekwa wanajeshi wa Marekani katika eneo la katikati mwa Asia.
-
Lavrov: Mchakato wa kupunguza mvutano kati ya Russia na Marekani ni mgumu mno
Aug 24, 2021 08:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi yake inaamini kuwa mchakato wa kupunguza mvutano na Marekani ni mgumu mno.
-
Russia: Mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA yataanza tena karibuni mjini Vienna
Aug 21, 2021 08:16Mwakilishi wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amejibu madai yaliyotolewa na afisa mmoja wa Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema, mazungumzo kuhusu makubaliano hayo yataanza tena hivi karibuni katiika mji mkuu huo wa Austria.
-
Kupinga Putin ombi la Biden la kuasisi kituo cha kijeshi karibu na Afghanistan
Aug 21, 2021 05:42Gazeti linalochapishwa nchini Marekani la Wall Street Journal limeandika kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia katka mazungumzo ya tarehe 16 Juni aliyofanya na Rais wa Marekani amepinga ombi la Biden la kutaka Washington kuwa na nafasi yoyote katika nchi za Asia ya Kati.
-
Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa
Aug 19, 2021 04:31Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na wenzake wa Russia na China akisisitiza kuwa suala la kustawishwa na kuimarishwa uhusiano baina ya Tehran na nchi hizo mbili ni miongoni mwa vipaumbele vya serikali mpya ya Iran.
-
Watu 55 wapoteza maisha nchini Niger kufuatia janga la mafuriko
Aug 12, 2021 23:02Takribani watu 55 wameaga dunia kufuatia janga la mafuriko nchini Niger huku 34 wakijeruhiwa na maelfu wakipoteza nyumba na makazi yao.
-
Guterres azitaka Marekani na Russia kudhibiti silaha zao za nyuklia
Aug 10, 2021 05:21Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa Marekani na Russia akizitaka kudhibiti silaha za nyuklia.
-
China na Russia zaanza mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Ningxia
Aug 07, 2021 03:21China na Russia zimeanza mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Ningxia.
-
Russia: Tuko tayari kupatanisha mvutano kuhusu bwawa la Bwawa la Renaissance
Aug 06, 2021 20:35Balozi wa Russia mjini Cairo, Misri amesisitiza kuwa usalama wa maji ni changamo kubwa kwa Misri na ni kadhia muhimu kwa nchi hiyo.