-
Moscow: Taarifa kuhusu shambulizi dhidi ya meli ya Mercer Street zinakinzana
Aug 05, 2021 02:37Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amepinga tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Magharibi dhidi ya Iran kuhusu shambulizi lililolenga meli ya Mercer Street na kusema, taarifa hizo zinakinzana na zimetegemea dhana na tetetsi.
-
Russia: Hakuna mbadala wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Aug 02, 2021 05:56Mwakilishi wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao huko Vienna nchini Austria amesema njia pekee ya kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kuyarejesha katika hali yake ya asili.
-
Ulyanov: Lengo la mazungumzo ya Vienna ni kuhuisha mapatano ya JCPOA
Jul 30, 2021 22:09Mwakilishi wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao huko Vienna nchini Austria kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, lengo la mazungumzo ya Vienna ni kuhuisha mapatano ya JCPOA.
-
Russia yaitaka Marekani iwaondoe wanajeshi wake Iraq, Libya, Syria na Afghanistan
Jul 28, 2021 03:17Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameitaka Marekani iwaondoe wanajeshi wake huko Iraq, Libya, Afghanistan na Syria.
-
Bashar al Assad: Tunafanya jitihada ili wakimbizi wa Syria warejee nchini
Jul 27, 2021 02:52Rais wa Syria amesisitiza kuwa Damascus inafanya jitihada kuandaa mazingita ya kurejea wakimbizi nchini.
-
Lavrov: Magharibi imedhamiria kuanzisha "ukanda wa kuvuruga uthabiti" kuzunguka mipaka ya Russia
Jul 23, 2021 06:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi za Magharibi zimedhamiria kudhoofisha hali ya ndani ya nchi hiyo na kuvuruga uthabiti wakati huu wa kukaribia kufanyika uchaguzi wa bunge la chini la Duma.
-
Lavrov: Russia haina mpango wa kutuma wanajeshi Afghanistan
Jul 22, 2021 22:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kuwa, nchi hiyo haina mpango wa kutuma wanajeshi Afghanistan.
-
Kufichuliwa engo mpya wa ushirikiano wa Marekani na kundi la Daesh nchini Afghanistan
Jul 22, 2021 07:00Zamir Kabulov, mjumbe wa Rais wa Russia katika masuala ya Afghanistan amesema katika mkutano wa Valdai Discussion Club kwamba: Askari wa Marekani na waitifaki wake walikuwa na mawasiliano na ushirikiano na kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan.
-
Russia na China kushirikiana zaidi kistratejia kwa ajili ya kukabiliana na ubeberu wa Magharibi
Jul 12, 2021 03:01Waziri wa Mambo ya Nje wa China ameitaka Russia iimarishe zaidi ushirikiano wake wa kistratejia na nchi hiyo ili nchi hizo mbili ziweze kukabiliana na ubeberu wa Magharibi.
-
Russia yatiwa wasiwasi kutokana na kuhusika Marekani katika mauaji ya Rais wa Haiti
Jul 09, 2021 08:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuhusu taarifa za kukamatwa raia wawili wa Marekani kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Rais wa Haiti na kusema kuwa, Moscow imeingia wasiwasi mkubwa kufuatia ripoti hizo.