-
Russia yatiwa wasiwasi kutokana na kuhusika Marekani katika mauaji ya Rais wa Haiti
Jul 09, 2021 08:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuhusu taarifa za kukamatwa raia wawili wa Marekani kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Rais wa Haiti na kusema kuwa, Moscow imeingia wasiwasi mkubwa kufuatia ripoti hizo.
-
Hatua mpya ya Russia ya kuachana na utegemezi wa sarafu ya dola
Jul 09, 2021 05:20Wizara ya Fedha ya Russia imetangaza kuwa, imeondoa kikamilifu sarafu ya dola kwenye Mfuko wa Hazina ya Taifa wa nchi hiyo uliokuwa na akiba ya takriban dola bilioni 65 na kuzibadilisha fedha hizo katika sarafu nyingine za kigeni.
-
Jumatano tarehe 7 Julai 2021
Jul 06, 2021 21:48Leo ni Jumatano tarehe 26 Dhulqaada 1442 Hijria sawa na Julai 7 mwaka 2021.
-
Russia: Afrika, Asia na America ya Latini zipewe viti Baraza la Usalama, sio nchi za Magharibi
Jul 05, 2021 22:10Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Moscow inapinga mpango wowote wa kuzidisha nchi za Magharibi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Kremlin: Uchokozi mwingine wa Uingereza utapewa jibu la kuangamiza
Jul 05, 2021 05:21Msemaji wa Rais wa Russia amesema kuwa, hatua nyingine yoyote ya kichochezi kama ile iliyofanywa na manowari ya kivita ya Uingereza ya kuingia kinyume cha sheria katika maji ya nchi hiyo, itapewa jibu kali na la kuangamiza.
-
Russia yaitaka Marekani iache kuiba rasilimali za Wasyria
Jul 03, 2021 08:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Marekani inapaswa kukomesha tabia yake ya kuiba rasilimali za wananchi wa Syria, na badala yake ipambane na magenge ya kigaidi.
-
Russia: Hatua ya Marekani kufunga tovuti za mrengo wa muqawama ni ya kisiasa
Jul 02, 2021 22:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya Iran na mrengo wa muqawama na kusisitiza kuwa, kitendo hicho kimechochewa na misimamo hasi ya kisiasa.
-
Peskov: Hakuna uwezekano wa kutokea vita vya tatu vya dunia
Jul 02, 2021 05:04Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia "Kremlin" amesema, katika mazingira ya sasa ya kuendelea kulindwa mlingano wa silaha za nyuklia hakuna uwezekano wa kuanza vita vikuu vya tatu vya dunia.
-
Merkel: Ulaya huru inapaswa kupunguza mivutano kati yake na Russia
Jun 26, 2021 02:46Kansela wa Ujerumani amesema kuwa, Umoja wa Ulaya wenye nguvu za kiutawala na uhuru, unabidi ulinde manufaa ya nchi za bara hilo na ufanye mazungumzo na Russia kama yale yaliyofanyika baina ya rais wa Marekani, Joe Biden na Rais Vladimir Putin wa Russia.
-
Jenerali Gerasimov: Russia inalinda haki yake ya kutumia silaha za nyuklia kujibu mapigo
Jun 24, 2021 22:59Kamanda wa Majeshi ya Russia amesema kuwa Moscow inalinda haki yake ya kutumia silaha za nyuklia kwa ajili ya kujibu mashambulizi ya mabomu ya nyuklia au silaha nyingine za mauajii ya umati dhidi ya nchi hiyo na waitifaki wake.