-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Taifa la Iran limeshinda njama za maadui
Dec 02, 2022 12:00Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amezungumzia misimamo ya Iran dhidi ya madola ya kibeberu na kusema kuwa, wananchi wa Iran wamegeuza vitisho vyote vya mabeberu kuwa fursa.
-
Akhlaqi Katika Uislamu (18)
Nov 06, 2022 15:05Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 18 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.
-
Alkhamisi tarehe 13 Oktoba 2022
Oct 13, 2022 02:31Leo ni Alkhamisi tarehe 16 Rabiul Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 13 Oktoba 2022.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Timu ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran haitalegeza msimamo mbele ya adui
Aug 26, 2022 10:38Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia katu haitalegeza msimamo mbele ya adui ili taifa hili liondolewe vikwazo vya kidhalimu vya Marekani.
-
Ayatullah Khatami: Maadui wanataka kudhoofisha umoja wa Waislamu
Jul 08, 2022 11:02Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa Tehran amesema maadui wanafanya juu chini kupunguza na kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu kwa kutumia mbinu mbalimbali.
-
Hujjatul Islam Akbari: Umma upambanue habari za kweli na urongo za vyombo vya habari
Jun 17, 2022 11:30Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameuasa umma wa Kiislamu ujue kupambanua na kutofautisha habari za kweli na zisizo sahihi zinazotangazwa au kuchapishwa na vyombo mbalimbali vya habari.
-
Hujjatul Islam Kazem Seddiqi : Muqawama wa Lebanon ulivunja pembe ya Wamarekani
May 27, 2022 11:10Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ametoa pongezi kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 22 ya ushindi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon dhidi Wazayuni na kusema, Wazayuni walionja ladha chungu ya kwanza ya kushindwa baada ya kuondoka kwa madhila huko kusini mwa Lebanon.
-
Ayatullah Khatami: Safari ya Rais Bashar al-Assad nchini Iran ilikuwa ya kimkakati
May 13, 2022 11:16Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, safari ya hivi karibuni ya Rais Bashar al-Assad wa Syria nchini Iran ilikuwa ya kimkakati.
-
Maimamu wa Ijumaa Iran: SEPAH ni mwiba kwa adui na tumaini kwa Waislamu wote
Apr 23, 2022 02:54Maimamu wa Sala za Ijumaa zilizosaliwa jana kote nchini Iran walisema katika khutba zao kuwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH ni mwiba katika macho ya maadui na ni tumaini jema kwa kila Muislamu ulimwenguni.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Maandamano ya Siku ya Quds yanamtia kiwewe adui Mzayuni
Apr 22, 2022 11:30Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa jijini Tehran amesisitizia wajibu wa kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, maandamano hayo yanamtia kiwewe adui.