-
Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (25) +SAUTI
Jul 18, 2021 01:09Karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu ambacho huwatambulisha na kuwazungumzia Maulamaa wakubwa wa Kishia, mchango wao katika Uislamu pamoja na vitabu na athari zao.
-
Jumatatu tarehe Pili Novemba 2020
Nov 01, 2020 23:01Leo ni Jumatatu tarehe 16 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2020.
-
Kufanyika swala ya kwanza ya Ijumaa katika msikiti wa Hagia Sophia
Jul 26, 2020 02:02Sala ya kwanza ya Ijumaa ilisaliwa Ijumaa katika msitiki wa Hagia Sophia nchini Uturuki tarehe 24 mwezi huu wa Saba baada ya miaka 86 kwa kuhudhuriwa na rais, viongozi wa serikali na pia wananchi wa nchi hiyo.
-
Sala ya Ijumaa yasaliwa katika miji 157 ya Iran baada ya kusimamishwa kwa zaidi ya miezi 2
May 08, 2020 03:49Sala ya Ijumaa inatazamiwa kusaliwa hii leo katika miji 157 na mikoa 21 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, baada ya kusimamishwa tokea mapema mwezi Machi mwaka huu kutokana na mripuko wa virusi vya corona.
-
Sala ya Ijumaa yaghairishwa katika mikoa 23 ya Iran kwa sababu ya mripuko wa kirusi cha corona
Feb 28, 2020 04:02Sala ya Ijumaa ya leo katika baadhi ya mikoa ya Iran imeghairishwa kutokana na mripuko wa kirusi cha corona.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Muamala wa Karne ni fedheha kwa Trump
Feb 14, 2020 08:36Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema mpango wa 'Muamala wa Karne' ni fedheha kubwa na kashfa kwa Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Ayatullah Kashani: Mapinduzi ya Kiislamu yamezuia ubeberu wa Marekani na utawala wa Kizayuni
Feb 07, 2020 10:55Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, lau kama si Mapinduzi ya Kiislamu hii leo Marekani na utawala haramu wa Israel zingekuwa zinaidhibiti Iran na ulimwengu wa Kiislamu.
-
Wairani waandamana nchi nzima kulaani ghasia za hivi karibuni
Nov 22, 2019 10:28Raia wa Iran wamefanya maandamano makubwa baada ya swala ya Ijumaa kwa kupiga nara za 'Mauti kwa Marekani', 'Mauti kwa Israel' na 'Mauti kwa wafanya vurugu' ambapo pia sambamba na kutangaza kujitenga mbali na wafanya ghasia na kuchukia vitendo viovu vya kuibua machafuko nchini, wametangaza kuunga mkono usalama na amani nchini.
-
Alkhamisi tarehe 14 Novemba 2019
Nov 13, 2019 23:11Leo ni Alkhamisi tarehe 16 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1441 Hijria sawa na Novemba 14 mwaka 2019.
-
Sheikh Siddiqi: Kujihami kutakatifu taifa la Iran kumeacha athari katika historia ya leo
Sep 27, 2019 09:07Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka minane ya kujihami kutakatifu taifa la Iran mbele ya uchokozi wa utawala wa dikteta Saddam wa Iraq kumeacha athari katika historia ya leo.