-
Maandamano ya wananchi wa Iran baada ya Sala ya Ijumaa kupinga Marekani
May 10, 2018 23:52Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wanatazamiwa kushiriki katika maandamano makubwa baada ya Sala ya Ijumaa kulaani Marekani na sera zake za kiistikbari na ukiukaji wa ahadi.
-
Sayyid Aboutorabi: Kwa miongo yote minne taifa la Iran limepambana vikali na udhalimu
Apr 27, 2018 09:20Mohammad-Hassan Aboutorabi Fard, khatibu wa swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amezungumzia njama za Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kuharibu makubaliano ya nyuklia (JCPOA) na kusema, kwa miongo minne taifa la Iran limepambana na hatua za kiuhasama na kidhalimu zikiwemo za Marekani.
-
Brigedia Salami: Jeshi la SEPAH la Iran ni ngao madhubuti kwa umma mzima wa Kiislamu
Apr 20, 2018 23:06Kaimu Kamanda Mkuu wa jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, tangu jeshi hilo lilipovaa mavazi ya jihadi, limekuwa ngao imara kwa umma wote wa Kiislamu.
-
Ayatullah Khatami: Adui anafanya njama za kulivunja moyo taifa la Iran
Jan 26, 2018 13:21Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa njama za maadui wa Uislamu sasa zimeelekezwa katika mitandao ya kijamii na wanafanya jitihada za kulivunja moyo na kulikosesha matumaini taifa la Iran.
-
Khatami: Fujo za Iran zimechochewa na Marekani na waitifaki wake
Jan 05, 2018 11:45Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, fujo ambazo zimeshuhudiwa siku za hivi karibuni mjini Tehran zinaashiria kuwepo uchochezi wa Marekani na vibaraka wake.
-
Serikali ya Ufaransa yawawekea Waislamu vizuizi vipya wasiweze kusali Sala ya Ijumaa katika mji wa Paris
Nov 20, 2017 04:15Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerard Collomb amesema ni marufuku kusali Sala la Ijumaa katika eneo la Clichy kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.
-
Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu
Nov 03, 2017 10:51Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran amesema Wamarekani ni wenye kuvunja ahadi na kuongeza kuwa, Marekani ni kinara wa uhaini na jinai zote duniani.
-
Iran itatoa jibu linalofaa kwa uadui wa Marekani
Oct 13, 2017 12:03Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ameashiria kufanyika kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq na kusema kuwa, adui amegonga mwamba katika njama yake ya kuunda kile kinachodaiwa kuwa ni 'Mashariki ya Kati Mpya.'
-
Mpango wa kujitenga Kurdistan na Iraq ni njama za Wazayuni
Sep 29, 2017 10:56Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema, kura ya maoni ya kujitenga na Iraq eneo la Kurdistan ni njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Askari wa Bahrain wazuia Swala ya Ijumaa kwa wiki ya 62 mtawalia huko al Deraz
Sep 22, 2017 12:53Askari usalama wa Bahrain leo Ijumaa wamezuia kufanyika Swala ya Ijumaa katika eneo la al Deraz katika mji mkuu wa nchi hiyo, Manama kwa wiki ya 62 mtawalia.