Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • Maandamano ya wananchi wa Iran baada ya Sala ya Ijumaa kupinga Marekani

    Maandamano ya wananchi wa Iran baada ya Sala ya Ijumaa kupinga Marekani

    May 10, 2018 23:52

    Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wanatazamiwa kushiriki katika maandamano makubwa baada ya Sala ya Ijumaa kulaani Marekani na sera zake za kiistikbari na ukiukaji wa ahadi.

  • Sayyid Aboutorabi: Kwa miongo yote minne taifa la Iran limepambana vikali na udhalimu

    Sayyid Aboutorabi: Kwa miongo yote minne taifa la Iran limepambana vikali na udhalimu

    Apr 27, 2018 09:20

    Mohammad-Hassan Aboutorabi Fard, khatibu wa swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amezungumzia njama za Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kuharibu makubaliano ya nyuklia (JCPOA) na kusema, kwa miongo minne taifa la Iran limepambana na hatua za kiuhasama na kidhalimu zikiwemo za Marekani.

  • Brigedia Salami: Jeshi la SEPAH la Iran ni ngao madhubuti kwa umma mzima wa Kiislamu

    Brigedia Salami: Jeshi la SEPAH la Iran ni ngao madhubuti kwa umma mzima wa Kiislamu

    Apr 20, 2018 23:06

    Kaimu Kamanda Mkuu wa jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, tangu jeshi hilo lilipovaa mavazi ya jihadi, limekuwa ngao imara kwa umma wote wa Kiislamu.

  • Ayatullah Khatami: Adui anafanya njama za kulivunja moyo taifa la Iran

    Ayatullah Khatami: Adui anafanya njama za kulivunja moyo taifa la Iran

    Jan 26, 2018 13:21

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa njama za maadui wa Uislamu sasa zimeelekezwa katika mitandao ya kijamii na wanafanya jitihada za kulivunja moyo na kulikosesha matumaini taifa la Iran.

  • Khatami: Fujo za Iran zimechochewa na Marekani na waitifaki wake

    Khatami: Fujo za Iran zimechochewa na Marekani na waitifaki wake

    Jan 05, 2018 11:45

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, fujo ambazo zimeshuhudiwa siku za hivi karibuni mjini Tehran zinaashiria kuwepo uchochezi wa Marekani na vibaraka wake.

  • Serikali ya Ufaransa yawawekea Waislamu vizuizi vipya wasiweze kusali Sala ya Ijumaa katika mji wa Paris

    Serikali ya Ufaransa yawawekea Waislamu vizuizi vipya wasiweze kusali Sala ya Ijumaa katika mji wa Paris

    Nov 20, 2017 04:15

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerard Collomb amesema ni marufuku kusali Sala la Ijumaa katika eneo la Clichy kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.

  • Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu

    Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu

    Nov 03, 2017 10:51

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran amesema Wamarekani ni wenye kuvunja ahadi na kuongeza kuwa, Marekani ni kinara wa uhaini na jinai zote duniani.

  • Iran itatoa jibu linalofaa kwa uadui wa Marekani

    Iran itatoa jibu linalofaa kwa uadui wa Marekani

    Oct 13, 2017 12:03

    Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ameashiria kufanyika kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq na kusema kuwa, adui amegonga mwamba katika njama yake ya kuunda kile kinachodaiwa kuwa ni 'Mashariki ya Kati Mpya.'

  • Mpango wa kujitenga Kurdistan na Iraq ni njama za Wazayuni

    Mpango wa kujitenga Kurdistan na Iraq ni njama za Wazayuni

    Sep 29, 2017 10:56

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema, kura ya maoni ya kujitenga na Iraq eneo la Kurdistan ni njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Askari wa Bahrain wazuia Swala ya Ijumaa kwa wiki ya 62 mtawalia huko al Deraz

    Askari wa Bahrain wazuia Swala ya Ijumaa kwa wiki ya 62 mtawalia huko al Deraz

    Sep 22, 2017 12:53

    Askari usalama wa Bahrain leo Ijumaa wamezuia kufanyika Swala ya Ijumaa katika eneo la al Deraz katika mji mkuu wa nchi hiyo, Manama kwa wiki ya 62 mtawalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS