Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • Mpango wa kujitenga Kurdistan na Iraq ni njama za Wazayuni

    Mpango wa kujitenga Kurdistan na Iraq ni njama za Wazayuni

    Sep 29, 2017 10:56

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema, kura ya maoni ya kujitenga na Iraq eneo la Kurdistan ni njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Askari wa Bahrain wazuia Swala ya Ijumaa kwa wiki ya 62 mtawalia huko al Deraz

    Askari wa Bahrain wazuia Swala ya Ijumaa kwa wiki ya 62 mtawalia huko al Deraz

    Sep 22, 2017 12:53

    Askari usalama wa Bahrain leo Ijumaa wamezuia kufanyika Swala ya Ijumaa katika eneo la al Deraz katika mji mkuu wa nchi hiyo, Manama kwa wiki ya 62 mtawalia.

  • Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar

    Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar

    Sep 08, 2017 14:24

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa hakuna matumaini ya kuona taasisi za kimataifa zikisaidia kuzuia mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na ameyataka mataifa ya Kiislamu kuamka na kusimama kidete dhidi ya jinai zinazofanywa na jeshi na Mabudha wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Bahrain waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa

    Utawala wa Bahrain waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa

    Sep 01, 2017 10:33

    Vikosi vya usalama nchini Bahrain leo vimewazuia tena Waislamu wa eneo la Diraz kusali Sala ya Ijumaa.

  • Ayatullah Khatami: Marekani inaongoza duniani kwa kukiuka haki za binadamu

    Ayatullah Khatami: Marekani inaongoza duniani kwa kukiuka haki za binadamu

    Aug 18, 2017 10:19

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameashiria jinai za kibaguzi nchini Marekani na kusema kuwa, Marekani inaongoza duniani kwa kukiuka haki za binadamu na kwamba, viongozi wa nchi hiyo wanapaswa kuona haya na aibu kuzungumzia suala la haki za binadamu katika nchi nyingine.

  • Khatibu: Makombora ya IRGC yalikuwa jibu muafaka kwa magaidi

    Khatibu: Makombora ya IRGC yalikuwa jibu muafaka kwa magaidi

    Jun 30, 2017 09:45

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran Ayatullah Imami Kashani amesema hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, IRGC, kushambulia kwa makombora ngome za magaidi wa ISIS nchini Syria ilikuwa ni jibu muafaka na adhabu kwa magaidi hao wakufurishaji.

  • Kermani: Kushikamana na Uislamu na Qur'an ndio mafanikio ya Iran

    Kermani: Kushikamana na Uislamu na Qur'an ndio mafanikio ya Iran

    Jun 16, 2017 10:57

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran, Ayatullah Muhammad Ali Muvahhedi Kermani amesema kuwa, Marekani ndiye adui mkuu wa taifa la Iran na kwamba, kushikamana na misingi ya dini ya Uislamu na Qur'an Tukufu ndiko kulikoiwezesha Jamhuri ya Kiislamu kusimama imara mbele ya Marekani na maadui wengine.

  • Alaeddin Boroujerdi: Marekani ni mpangaji mkuu wa njama dhidi ya Iran

    Alaeddin Boroujerdi: Marekani ni mpangaji mkuu wa njama dhidi ya Iran

    Jun 09, 2017 23:27

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mashambulio ya kigaidi ya siku ya Jumatano hapa mjini Tehran na kusema kuwa, hapana shaka kuwa, mpangaji mkuu wa njama hiyo ni Marekani mtenda jinai.

  • Sala ya kwanza ya Ijumaa Mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa

    Sala ya kwanza ya Ijumaa Mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 02, 2017 09:52

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika sala ya Ijumaa ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel huku ya wanajeshi wa utawala huo wa Kizayuni wakiwa wameweka sheria kali za kuwabana Waislamu.

  • Ayatullah Khatami: Bahrain imegeuzwa kuwa jela kubwa ya wananchi

    Ayatullah Khatami: Bahrain imegeuzwa kuwa jela kubwa ya wananchi

    May 26, 2017 09:31

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran sambamba na kulaani hujuma na uvamizi wa vikosi vya usalama vya Bahrain dhidi ya nyumba ya Sheikh Issa Qassim mwanazuoni mashuhuri wa nchi hiyo ametangaza kuwa, utawala wa Aal khalifa kwa kufanya ukandamizaji, kamatakamata na aina mbalimbali za jinai, umeigeuza nchi hiyo na kuwa jela kubwa kwa ajili ya wananchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS