-
Ayatullah Kashani: Waungaji mkono wa magaidi, ndio waliotekeleza mashambulizi ya kemikali huko Syria
Apr 07, 2017 08:32Imamu wa Muda wa Sala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani na waungaji mkono wa magaidi katika eneo wanayapatia silaha na mada za kemikali makundi ya kigaidi huko Syria.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran awataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao
Mar 24, 2017 11:54Imamu wa Muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesisitiza udharura wa wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao wa Rais na mabaraza ya miji ya vijiji uliopangwa kufanyika tarehe 19 mwezi Mei mwaka huu na kueleza kuwa, kushiriki idadi kubwa ya wananchi katika uchaguzi ujao kutaimarisha utambulisho wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah Kermani: Kimya cha taasisi za kimataifa mbele ya ukiukwaji wa haki za binadamu kimeharibu hadhi ya taasisi hizo
Mar 17, 2017 12:54Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa kimya cha taasisi za kimataifa mkabala na mauaji ya Waislamu duniani yakiwemo mauaji ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar na jinai za Saudi Arabia huko Yemen, kimezifanya taasisi hizo za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zipoteza heshima na hadhi yao.
-
Jumanne Machi 14, 2017
Mar 14, 2017 04:56Leo ni Jumanne tarehe 15 Jamadithani 1438 Hijria sawa na Machi 14, 2017.
-
Ayatullah Kermani: Kadhia ya Palestina; kipaumbele cha Iran na Ulimwengu wa Kiislamu
Feb 24, 2017 10:37Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesema kuwa kadhia ya Palestina inapewa uzito katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kipaumbele cha Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Iran ya Kiislamu imevunja njama zote za maadui wake
Feb 17, 2017 11:01Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema kuwa uwezo wa Iran ya Kiislamu ndio uliovunja njama zote za maadui dhidi ya nchi hii.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Ujumbe wa taifa la Iran umefika kwa maadui
Feb 10, 2017 12:25Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa mahudhurio makubwa na yaliyojaa hamasa ya wananchi wa Iran katika maandamano ya leo ya kuadhimisha mwaka wa 38 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini yamefikisha ujumbe wa kuendelea kusimama kidete kwa ajili ya kuyatetea mapinduzi hayo kwa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake
Jan 20, 2017 12:34Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, kunyongwa vijana watatu Waislamu wa Kishia nchini Bahrain kumeufanya utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa upoteze uhalali wake.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran asifu nafasi ya Ayatullah Hashimi Rafsanjani
Jan 13, 2017 10:35Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa marehemu Ayatullah Hashimi Rafsanjani alikuwa akiwafikiria vijana, akibainisha Uislamu wa kweli na Qur'ani Tukufu kabla na baada ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Ayatullah Khatami: Harakati ya Dei 19 ilikuwa nembo ya umoja wa taifa la Iran
Jan 06, 2017 10:44Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, harakati ya Dei 19 iliyosadifiana na Januari 9 mwaka 1978 ulikuwa mwanzo wa hatua ya pili ya mapinduzi ya Kiislamu na nembo ya umoja wa taifa la Iran.