Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • Ayatullah Kashani: Waungaji mkono wa magaidi, ndio waliotekeleza mashambulizi ya kemikali huko Syria

    Ayatullah Kashani: Waungaji mkono wa magaidi, ndio waliotekeleza mashambulizi ya kemikali huko Syria

    Apr 07, 2017 08:32

    Imamu wa Muda wa Sala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani na waungaji mkono wa magaidi katika eneo wanayapatia silaha na mada za kemikali makundi ya kigaidi huko Syria.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran awataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran awataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao

    Mar 24, 2017 11:54

    Imamu wa Muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesisitiza udharura wa wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao wa Rais na mabaraza ya miji ya vijiji uliopangwa kufanyika tarehe 19 mwezi Mei mwaka huu na kueleza kuwa, kushiriki idadi kubwa ya wananchi katika uchaguzi ujao kutaimarisha utambulisho wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Ayatullah Kermani: Kimya cha taasisi za kimataifa mbele ya ukiukwaji wa haki za binadamu kimeharibu hadhi ya taasisi hizo

    Ayatullah Kermani: Kimya cha taasisi za kimataifa mbele ya ukiukwaji wa haki za binadamu kimeharibu hadhi ya taasisi hizo

    Mar 17, 2017 12:54

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa kimya cha taasisi za kimataifa mkabala na mauaji ya Waislamu duniani yakiwemo mauaji ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar na jinai za Saudi Arabia huko Yemen, kimezifanya taasisi hizo za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zipoteza heshima na hadhi yao.

  • Jumanne Machi 14, 2017

    Jumanne Machi 14, 2017

    Mar 14, 2017 04:56

    Leo ni Jumanne tarehe 15 Jamadithani 1438 Hijria sawa na Machi 14, 2017.

  • Ayatullah Kermani: Kadhia ya Palestina; kipaumbele cha Iran na Ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Kermani: Kadhia ya Palestina; kipaumbele cha Iran na Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 24, 2017 10:37

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesema kuwa kadhia ya Palestina inapewa uzito katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kipaumbele cha Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Iran ya Kiislamu imevunja njama zote za maadui wake

    Iran ya Kiislamu imevunja njama zote za maadui wake

    Feb 17, 2017 11:01

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema kuwa uwezo wa Iran ya Kiislamu ndio uliovunja njama zote za maadui dhidi ya nchi hii.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Ujumbe wa taifa la Iran umefika kwa maadui

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Ujumbe wa taifa la Iran umefika kwa maadui

    Feb 10, 2017 12:25

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa mahudhurio makubwa na yaliyojaa hamasa ya wananchi wa Iran katika maandamano ya leo ya kuadhimisha mwaka wa 38 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini yamefikisha ujumbe wa kuendelea kusimama kidete kwa ajili ya kuyatetea mapinduzi hayo kwa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake

    Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake

    Jan 20, 2017 12:34

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, kunyongwa vijana watatu Waislamu wa Kishia nchini Bahrain kumeufanya utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa upoteze uhalali wake.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran asifu nafasi ya Ayatullah Hashimi Rafsanjani

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran asifu nafasi ya Ayatullah Hashimi Rafsanjani

    Jan 13, 2017 10:35

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa marehemu Ayatullah Hashimi Rafsanjani alikuwa akiwafikiria vijana, akibainisha Uislamu wa kweli na Qur'ani Tukufu kabla na baada ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Ayatullah Khatami: Harakati ya Dei 19 ilikuwa nembo ya umoja wa taifa la Iran

    Ayatullah Khatami: Harakati ya Dei 19 ilikuwa nembo ya umoja wa taifa la Iran

    Jan 06, 2017 10:44

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, harakati ya Dei 19 iliyosadifiana na Januari 9 mwaka 1978 ulikuwa mwanzo wa hatua ya pili ya mapinduzi ya Kiislamu na nembo ya umoja wa taifa la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS