-
Algeria: Mapatano ya Iran na Saudi Arabia yataimarisha usalama katika eneo
Mar 21, 2023 09:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria ilitangaza Jumatatu usiku kwamba makubaliano yaliyotiwa saini kati ya Saudi Arabia na Iran yatasaidia kuimarisha usalama katika eneo na pia kutetea kadhia ya Palestina.
-
National Review: Makubaliano ya Iran-Saudia ni kikwazo kikubwa kwa sera za kigeni za Marekani
Mar 15, 2023 12:21Jarida la National Review limeandika kuwa: Makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia ambayo yalifikiwa kwa upatanishi wa China ni kushindwa kukubwa kwa malengo ya sera za nje za Marekani katika eneo la Mashariki mwa Asia.
-
Libya: Mapatano kati ya Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya nchi za Asia Magharibi
Mar 13, 2023 02:42Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya imetoa taarifa na kukaribisha mapatano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia na kueleza kuwa, mapatano hayo yana maslahi kwa nchi mbili na eneo zima la Asia Magharibi kwa ujumla.
-
Ofisi ya UN: Mapatano ya Iran, Saudia yataharakisha usitishaji vita Yemen
Mar 12, 2023 07:38Ofisi ya ubalozi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imepongeza mapatano ya kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia na kueleza kuwa, muafaka huo utaharakisha mchakato wa kusitishwa vita na mapigano nchini Yemen.
-
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu yapongeza mapatano baina ya Iran na Saudia
Mar 12, 2023 02:57Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imepongeza mapatano ya kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia na kueleza kuwa, hiyo ni hatua muhimu katika uga wa kuimarisha amani na uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.
-
Matamshi ya waziri wa Saudia, kuanzia kushindwa nchini Syria hadi hitilafu na Imarati
Mar 10, 2023 05:48Faisal bin Farhan Aal Saud, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mahojiano na televisheni ya al Arabia ya nchi hiyo na amekiri kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuwa siasa za Riyadh zimefeli nchini Syria kama ambavyo amekiri kwamba kuna hitilafu baina ya Saudia na Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Duru mpya ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia kufanyika hivi karibuni Baghdad, Iraq
Feb 10, 2023 02:26Waziri Mkuu wa Iraq ametangaza kuwa duru mpya ya mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia itafanyika hivi karibuni mjini Baghdad.
-
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka Morocco kutomrejesha Saudia mwanaharakati wa nchi hiyo
Feb 09, 2023 07:59Baadhi ya mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemtaka Waziri Mkuu wa Morocco kutomrudisha nchini kwake mwanaharakati wa Saudia, Hassan al-Rabea.
-
Amnesty International: Saudia inaitumia vibaya michezo kufunika jinai zake
Feb 04, 2023 02:15Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa utawala wa Saudi Arabia unaitumia vibaya michezo kuficha rekodi yake chafu, ya maafa na ya kutisha ya haki za binadamu.
-
Sababu za kuongezeka hukumu za kifo nchini Saudi Arabia baada ya Bin Salman kuingia madarakani
Feb 03, 2023 03:06Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Saudia, limetangaza katika ripoti ya karibuni kwamba hukumu za kifo au unyongaji wakati wa utawala wa mrithi wa kiti cha ufalme Mohammed bin Salman nchini Saudi Arabia zinaongezeka karibu mara mbili kila mwaka.