-
Wafanyakazi wa Shirika la Saudia waandamana mbele ya ubalozi wa Saudia mjini Beirut
Jan 14, 2018 10:55Wafanyakazi wa shirika la Saudia la Saudi Oger wameandamana mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut wakitaka kulipwa mishahra yao.
-
Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu
Jan 13, 2018 00:14Licha ya kupita zaidi ya miezi 7 tokea kuanza mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za kundi la 3+1, si tu kwamba hakuna dalili zozote zinazoonyesha kupungua mvutano huo bali umekuwa ukiongezeka siku baada ya nyingine.
-
Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina
Jan 10, 2018 12:40Malaysia imetangaza habari ya kuanzishwa bodi ya kimataifa ya kuchunguza na kusimamia idara na uendeshaji wa Saudi Arabia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina na vilevile kulinda maeneo na turathi za kihistoria.
-
Mabadiliko katika stratejia ya serikali ya uokozi wa kitaifa Yemen; kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Saudi Arabia
Jan 09, 2018 04:07Abdel-Aziz bin Habtour Waziri Mku wa Serikali ya Uokozi wa Kitaifa Yemen amekutana na Moein Shuraim naibu wa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen na kutaka kuwepo mazungumzo ya moja kwa moja baina ya Harakati ya Answarullah na utawala vamizi wa Saudia.
-
HRW: Marekani, Uingereza na Ufaransa zisitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia
Jan 08, 2018 04:32Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch amezitaka Marekani, Uingereza na Ufaransa ziache kuiuzia silaha Saudi Arabia.
-
Hasira za wananchi Saudi Arabia baada ya utawala kuongeza ushuru na kupandisha bei ya petroli
Jan 07, 2018 10:16Wananchi wa Saudi Arabia ambao wananyimwa ruhusa ya kuandamana wamebainisha hasira zao katika mitandao ya kijamii baada ya utawala wa kifalme kupoandisha bei ya petroli na Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)
-
Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita
Jan 04, 2018 04:23Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Saudi Arabia na Imarati zafadhili njama ya mapinduzi dhidi ya Mfalme wa Jordan
Jan 02, 2018 00:44Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimefichua njama iliyopangwa na wanawafalme watatu wa Jordan kwa ajili ya kumpindua Mfalme wa nchi hiyo kwa kusaidiwa na Saudi Arabia na Imarati.
-
Ndege za Saudia zaua raia 20 katika hujuma magharibi mwa Yemen
Dec 31, 2017 04:33Raia wasiopungua 20 wameuawa katika hujuma ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya makao ya raia katika mkoa wa al Hudaydah magharibi mwa Yemen.
-
Ndege za kivita za Saudia zaua wanawake 10 magharibi mwa Yemen
Dec 30, 2017 10:50Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeshambulia shamba moja magharibi mwa Yemen na kuua wanawke wasiopungua 10 waliokuwa katika eneo hilo.