Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 11 na sauti

    Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 11 na sauti

    Jan 16, 2017 12:50

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa aya za Qur'ani Tukufu na hadithi mienendo ya makundi yenye kuwakufurisha Waislamu wengine na kutekeleza jinai na mauaji ya kutisha dhidi yao hii leo ikiwa ni sehemu ya 11 ya mfululizo huo.

  • Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 10 na sauti

    Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 10 na sauti

    Jan 16, 2017 12:44

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika sehemu ya 10 ya mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’an Tukufu na Suna za Bwana Mtume (saw) mienendo ya makundi yanayowakufurisha Waislamu wengine na kutekeleza jinai na mauaji ya kutisha dhidi yao.

  • Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 9 na sauti

    Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 9 na sauti

    Jan 16, 2017 12:10

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika sehemu ya tisa ya mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’an Tukufu na Suna za Bwana Mtume (saw) mienendo ya makundi yanayowakufurisha Waislamu wengine na kutekeleza jinai na mauaji ya kutisha dhidi yao.

  • Iran kufuatilia kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara katika mazungumzo na Saudia

    Iran kufuatilia kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara katika mazungumzo na Saudia

    Jan 15, 2017 00:20

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara wa Iran amesema, katika vikao kadhaa vya ndani kuhusiana na mazungumzo yajayo na Saudi Arabia juu ya ajenda kuu ya amali za Hija, imeamuliwa kufuatilia masuala ya usalama, suhula na kadhia muhimu ya ufuatiliaji wa kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara wa Kiirani waliofariki katika Msikiti Mtukufu wa Makka na eneo la Mina.

  • Saudia yaendeleza mashambulizi Yemen na kuua watu saba wa familia moja

    Saudia yaendeleza mashambulizi Yemen na kuua watu saba wa familia moja

    Jan 12, 2017 04:03

    Raia wa Yemen wasiopungua saba wameuawa katika mashambulizi ya hivi karibuni ya ndege za kivita za jeshi la Saudi Arabia nchini humo.

  • Iran: Uungaji mkono wa Saudia kwa ugaidi umelitumbukiza eneo kwenye machafuko

    Iran: Uungaji mkono wa Saudia kwa ugaidi umelitumbukiza eneo kwenye machafuko

    Jan 08, 2017 00:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Saudi Arabia imelitumbukiza eneo la Mashariki ya Kati kwenye machafuko kwa kuyaunga mkono makundi ya kitakfiri na kigaidi.

  • Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu

    Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu

    Jan 07, 2017 23:43

    Wapinzani wa mpango wa serikali ya Misri wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir vya Bahari Nyekundu wamezidi kuonesha hasira zao na wameipa Cairo muda maalumu kuhakikisha imeachana na mpango wake huo.

  • Saudi Arabia yaendelea kufanya mashambulio ya anga nchini Yemen

    Saudi Arabia yaendelea kufanya mashambulio ya anga nchini Yemen

    Jan 06, 2017 23:50

    Wanajeshi wa Saudi Arabia na waitifaki wao wameendelea kufanya mashambulio ya anga dhidi ya Yemen huku jamii ya kimataifa ikiendelea kunyamazia kimya jinai hizo za utawala wa Aal Saud.

  • Saudia yalaani sheria ya JASTA ya Marekani

    Saudia yalaani sheria ya JASTA ya Marekani

    Jan 05, 2017 01:05

    Ubalozi wa Saudia mjini Washington Marekani umelaani sheria iliyo dhidi ya wafadhili wa ugaidi kwa kifupi JASTA ya nchini Marekani.

  • Harakati ya Aprili 6 yawataka Wamisri kupinga uamuzi wa al Sisi wa kugawa visiwa vya Tiran, Sanafir

    Harakati ya Aprili 6 yawataka Wamisri kupinga uamuzi wa al Sisi wa kugawa visiwa vya Tiran, Sanafir

    Jan 02, 2017 02:51

    Harakati ya Aprili 6 nchini Misri imewataka wananchi wa nchi hiyo kusimama na kupinga uamuzi wa serikali ya Abdul Fattah al Sisi wa kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo vya Tiran na Sanafir.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS