Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sayyid Hassan Nasrullah

  • Nasrullah: Matukio ya sasa yanaashiria hakika ya kusambaratika Israel

    Nasrullah: Matukio ya sasa yanaashiria hakika ya kusambaratika Israel

    Mar 07, 2023 07:35

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio na maendeleo yanayoshuhudiwa hivi sasa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ishara tosha kuwa suala la kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni hakika ambayo itafanyika katika mustakabali wa karibu.

  • Ufafanuzi wa malengo ya maadui wa Muqawama katika hotuba ya Sayyid Nasrullah

    Ufafanuzi wa malengo ya maadui wa Muqawama katika hotuba ya Sayyid Nasrullah

    Feb 18, 2023 10:51

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon juzi Februari 16, alieleza malengo ya maadui katika hotuba yake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya makamanda wa harakati ya Muqawama waliouawa shahidi, Sheikh Ragheb Harb, Sayyid Abbas Mousawi na Haj Emad Mughniyeh.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah

    Jan 14, 2023 04:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amekutana na kuzungumza na Sayyid Hassan Nasrallah" Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon.

  • Nasrullah: Iran ni thabiti, haitatikiswa na matukio ya sasa

    Nasrullah: Iran ni thabiti, haitatikiswa na matukio ya sasa

    Oct 02, 2022 03:10

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa ina nguvu na uthabiti kuliko wakati wowote ule, na kwamba taifa hili litavuka salama mtihani wa sasa kutokana na hekima ya viongozi wake.

  • Sisitizo la Nasrullah juu ya ulazima wa kuendelezwa Muqawama wa kukabiliana na adui Mzayuni

    Sisitizo la Nasrullah juu ya ulazima wa kuendelezwa Muqawama wa kukabiliana na adui Mzayuni

    Sep 19, 2022 09:23

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Muqawama ndio njia pekee ya kukabiliana na adui mzayuni. Nasrullah ameyasema hayo katika hotuba aliyotoa siku ya Jumamosi kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Msemaji wa Ansarullah aonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon

    Msemaji wa Ansarullah aonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon

    Sep 17, 2022 01:23

    Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ambaye pia ni mkuu wa timu ya mazungumzo ya serikali ya wokovu wa kitaifa ya nchi hiyo, ameonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na kujadiliana naye masuala ya karibuni kabisa ya kisiasa ya eneo hili.

  • Sayyid Nasrullah: Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama

    Sayyid Nasrullah: Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama

    Aug 10, 2022 01:22

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama wa Kiislamu duniani.

  • Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Aug 08, 2022 07:24

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema maadui Wazayuni wametangaza kuwa wako tayari kufikia makubaliano ya usitishaji vita baada ya makombora na maroketi ya wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza kuutiwa kiwewe na wahakama utawala huo wa Kizayuni.

  • Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya Hizbullah

    Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya Hizbullah

    Jul 27, 2022 12:14

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, juzi usiku (tarehe 25 Julai) alizungumza na televisheni ya al-Mayadeen kwa mnasaba wa mwaka wa 40 wa kuasisiwa Hizbullah, ambapo nukta kadhaa za kistratijia zilijadiliwa.

  • Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

    Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

    Jul 26, 2022 07:47

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS