-
Skuli zafungwa kwa muda wa juma zima Senegal kufuatia mapigano na machafuko
Mar 08, 2021 07:42Skuli zimefungwa kwa muda wa juma zima nchini Senegal kutokana na mapigano na machafuko yaliyozuka hivi karibuni nchini humo.
-
4 wauawa katika maandamano ya kupinga kukamatwa kinara wa upinzani Senegal
Mar 06, 2021 08:14Kwa akali watu wanne wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya ghasia ya kulalamikia kitendo cha maafisa usalama kumtia mbaroni kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Senegal.
-
Rais wa Senegal yuko karantini baada ya kutangamana na mwenye corona
Jun 25, 2020 07:56Rais Macky Sall wa Senegal amejiweka katika karantini baada ya kutagusana na mtu mwenye maradhi ya COVID-19.
-
Wananchi wa Senegal waandamana kulaani ubaguzi wa rangi Marekani
Jun 11, 2020 08:04Wananchi wa Senegal wamefanya maandamano kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi wa nchi hiyo.
-
Hali ya maambukizi ya corona nchini Senegal inatia wasiwasi
Jun 01, 2020 07:35Hali ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Senegal khususan katika mji mkuu wa nchi hiyo imewapelekea maafisa wa afya na tiba wa nchi hiyo kubainisha wasiwasi wao.
-
Senegal yalalamikia kitendo cha Ufaransa cha kuanzisha safari za ndege za upande mmoja kuingia Dakar
May 16, 2020 02:28Rais Macky Sall wa Senegal amelaani kitendo cha shirika la ndege la Ufaransa kuanzisha safari za upande mmoja kuingia mjini Dakar, mji mkuu wa Senegal na kusisitiza kwamba, hadi sasa Ufaransa bado inazihesabu nchi za Afrika kuwa ni koloni lake.
-
Rais wa Senegal ataka kupanuliwa uhusiano wa nchi yake na Iran
Mar 11, 2020 07:14Rais Macky Sall wa Senegal ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa pande mbili wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Senegal na Saudia zaripoti kesi za kwanza za Corona, waliofariki Marekani wafika 6
Mar 03, 2020 07:30Saudi Arabia, Jordan na Tunisia ni nchi za hivi punde katika ulimwengu wa Kiarabu kuripoti kesi za kwanza za virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu zaidi ya elfu tatu kote duniani, hususan nchini China.
-
Marasimu ya miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yafanyika Senegal
Feb 14, 2020 07:29Marasimu ya kuadhimisha mwaka wa 41 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamefanyika nchini Senegal.
-
Rais wa Senegal atangaza msamaha kwa kinara wa upinzani
Sep 30, 2019 07:33Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza msahama kwa kiongozi wa upinzani nchini humo, Khalifa Sall ambaye alikuwa anatumikia kifungo cha miaka mitano jela tokea mwaka jana 2018 baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.