-
Senegal na Saudia zaripoti kesi za kwanza za Corona, waliofariki Marekani wafika 6
Mar 03, 2020 07:30Saudi Arabia, Jordan na Tunisia ni nchi za hivi punde katika ulimwengu wa Kiarabu kuripoti kesi za kwanza za virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu zaidi ya elfu tatu kote duniani, hususan nchini China.
-
Marasimu ya miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yafanyika Senegal
Feb 14, 2020 07:29Marasimu ya kuadhimisha mwaka wa 41 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamefanyika nchini Senegal.
-
Rais wa Senegal atangaza msamaha kwa kinara wa upinzani
Sep 30, 2019 07:33Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza msahama kwa kiongozi wa upinzani nchini humo, Khalifa Sall ambaye alikuwa anatumikia kifungo cha miaka mitano jela tokea mwaka jana 2018 baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.
-
Iran na Senegal zasisitiza kustawisha uhusiano baina yao
Jul 26, 2019 03:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Rais wa Senegal wamesisitiza kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja zote.
-
Rais wa Senegal amtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo 'ajifute kazi'
Apr 07, 2019 07:05Rais wa Senegal, Macky Sall ambaye alishinda muhula wa pili katika uchaguzi wa hivi karibuni amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuzindua mageuzi ya uongozi, yanayojumuisha kufuta wadhifa wa Uwaziri Mkuu.
-
Alkhamisi, 04 Aprili, 2019
Apr 04, 2019 02:53Leo ni Alkhamisi tarehe 28 ya mwezi Rajab 1440 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 4 Aprili 2019 Miladia.
-
Macky Sall ashinda tena kiti cha urais Senegal kwa kupata asilimia 58 ya kura
Feb 28, 2019 16:02Rais Macky Sall wa Senegal ameshinda tena kiti cha urais kwa kuibuka na ushindi wa asilimia 58 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wa Jumapili iliyopita. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya muda yaliyotangazwa leo na Tume ya Uchaguzi ya Senegal.
-
Kambi ya Rais wa Senegal: Macky Sall ameshinda Urais; upinzani wadai uchaguzi utaingia duru ya pili
Feb 25, 2019 15:49Kambi ya Rais wa sasa wa Senegal Macky Sall imetangaza kuwa, mgombea wake ameibuka mshindi kufuatia uchaguzi uliofanyika jana.
-
Wasenegal wapiga kura, Sall atazamiwa kushinda muhula wa pili wa rais
Feb 24, 2019 14:32Rais wa Senegal, Macky Sall anatazamiwa kushinda muhula wa pili wa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa leo, baada ya shakhsia wawili mashuhuri wa upinzani wa nchi hiyo kuzuiwa kushiriki kwenye uchaguzi huo kwa tuhuma za ufisadi.
-
Wagombea watano kuchuana katika uchaguzi wa Rais wa Senegal
Feb 20, 2019 14:18Senegal ambayo inatajwa kuwa nchi yenye demokrasia iliyoimarika zaidi magharibi mwa Afrika inajianda kwa ajili ya uchaguzi wa rais Jumapili ijayo huku rais wa sasa wa nchi hiyo Macky Sally akitazamia kuchuana kwenye kinyang'anyiro hicho na wagombea wengine wanne.