-
Iran na Senegal zasisitiza kustawisha uhusiano baina yao
Jul 26, 2019 03:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Rais wa Senegal wamesisitiza kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja zote.
-
Rais wa Senegal amtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo 'ajifute kazi'
Apr 07, 2019 07:05Rais wa Senegal, Macky Sall ambaye alishinda muhula wa pili katika uchaguzi wa hivi karibuni amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuzindua mageuzi ya uongozi, yanayojumuisha kufuta wadhifa wa Uwaziri Mkuu.
-
Alkhamisi, 04 Aprili, 2019
Apr 04, 2019 02:53Leo ni Alkhamisi tarehe 28 ya mwezi Rajab 1440 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 4 Aprili 2019 Miladia.
-
Macky Sall ashinda tena kiti cha urais Senegal kwa kupata asilimia 58 ya kura
Feb 28, 2019 16:02Rais Macky Sall wa Senegal ameshinda tena kiti cha urais kwa kuibuka na ushindi wa asilimia 58 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wa Jumapili iliyopita. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya muda yaliyotangazwa leo na Tume ya Uchaguzi ya Senegal.
-
Kambi ya Rais wa Senegal: Macky Sall ameshinda Urais; upinzani wadai uchaguzi utaingia duru ya pili
Feb 25, 2019 15:49Kambi ya Rais wa sasa wa Senegal Macky Sall imetangaza kuwa, mgombea wake ameibuka mshindi kufuatia uchaguzi uliofanyika jana.
-
Wasenegal wapiga kura, Sall atazamiwa kushinda muhula wa pili wa rais
Feb 24, 2019 14:32Rais wa Senegal, Macky Sall anatazamiwa kushinda muhula wa pili wa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa leo, baada ya shakhsia wawili mashuhuri wa upinzani wa nchi hiyo kuzuiwa kushiriki kwenye uchaguzi huo kwa tuhuma za ufisadi.
-
Wagombea watano kuchuana katika uchaguzi wa Rais wa Senegal
Feb 20, 2019 14:18Senegal ambayo inatajwa kuwa nchi yenye demokrasia iliyoimarika zaidi magharibi mwa Afrika inajianda kwa ajili ya uchaguzi wa rais Jumapili ijayo huku rais wa sasa wa nchi hiyo Macky Sally akitazamia kuchuana kwenye kinyang'anyiro hicho na wagombea wengine wanne.
-
Serikali ya Afrika Kusini yalia na madola ya Magharibi baada ya Rais Ramaphosa kutakiwa atokomeze rushwa
Feb 04, 2019 04:38Serikali ya Afrika Kusini imeelezea kusikitishwa kwake baada ya Marekani na balozi nyingine za Ulaya kumuandikia barua Rais Cyril Ramaphosa zikimtaka achukue hatua zaidi za kupambana na rushwa na kuimarisha mazingira mazuri ya biashara kwa wawekezaji.
-
Benki ya Maendeleo ya Afrika yaipa Senegal msaada wa dola milioni 200
Oct 03, 2018 13:46Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeipa Senegal msaada wa zaidi ya dola milioni mia mbili za Kimarekani.
-
Iran na Senegal kuimarisha ushirikiano wao katika uga wa sayansi
Jun 17, 2018 14:40Jamhuri ya Kiislamu na Iran na Senegal zimeazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga mbalimbali na hususan ushirikiano wao katika uga wa sayansi.