-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Ivory Coast
Mar 15, 2016 11:54Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi ya hivi karibuni iliyosababisha watu 19 kuuawa nchini Ivory Coast.
-
Polisi 3 wauawa katika hujuma ya al-Shabab Somalia
Mar 09, 2016 04:34Kwa akali maafisa watatu wa polisi ya Somalia wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini mapema leo Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Upinzani dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Magharibi nchini Libya
Mar 06, 2016 04:00Sanjari na upinzani wa baadhi ya nchi za Kiarabu dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Magharibi katika mgogoro wa Libya, Waziri wa Afya wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ametoa indhari kuhusiana na kutokea maafa ya kibinadamu katika nchi hiyo.
-
Makumi wauawa katika miripuko ya mabomu Syria
Feb 21, 2016 12:43Kwa akali watu 30 wamethibitishwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika wimbi la miripuko ya mabomu lililotikisa viunga vya mji mkuu Damascus na Homs nchini Syria.