Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Sheikh Zakzkay: Muqawama umezaliwa upya nchini Lebanon

    Sheikh Zakzkay: Muqawama umezaliwa upya nchini Lebanon

    Feb 24, 2025 03:06

    Kiongozi wa Waislamu wa madhebeu ya Shia nchini Nigeria amesisitiza kuwa, kushiriki mamilioni ya watu katika mazishi ya Mashahidi wa Muqawama ni sawa na "kuzaliwa upya Muqawama wa Lebanon".

  • Zakzaky: Mauaji ya halaiki ya Gaza yanaonesha udhaifu wa Israel

    Zakzaky: Mauaji ya halaiki ya Gaza yanaonesha udhaifu wa Israel

    Oct 20, 2023 02:58

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema mauaji makubwa ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza yameonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel una udhaifu mkubwa.

  • Zakzaky akiwa Tehran: Mapinduzi ya Kiislamu yataleta mabadiliko duniani

    Zakzaky akiwa Tehran: Mapinduzi ya Kiislamu yataleta mabadiliko duniani

    Oct 11, 2023 12:09

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) amesema anatumai Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yataleta mabadiliko na mageuzi katika kona zote za dunia.

  • Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Aug 19, 2023 10:30

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametahadharisha juu ya njama na majungu yanayopikwa na Marekani na Ufaransa ya kupanda mbegu za chuki, uhasama na mifarakano baina ya Nigeria na jirani yake Niger.

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria: Shekh Zakzaky agawa misaada ya chakula kwa wahitaji

    Harakati ya Kiislamu Nigeria: Shekh Zakzaky agawa misaada ya chakula kwa wahitaji

    Apr 03, 2023 03:21

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa imegawa vifurushi mbaimbali bidhaa za chakula kwa watu wanohitajia nchini humo.

  • Matokeo ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    Matokeo ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    Mar 20, 2023 02:17

    Mashinikizo dhidi ya Waislamu wa Nigeria na wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky bado yanaendelea. Kuhusiana na hilo, vikosi vya usalama katika jimbo la Kaduna vimewaua watu wasiopungua 6 katika shambulio dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Apr 12, 2022 10:27

    Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kuishinikiza serikali ya nchi hiyo impe Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo pasipoti yake ya kusafiria iliyotwaa.

  • Sheikh Zakzaky awataka walimwengu wakabiliane na mashambulio ya Saudia dhidi ya Yemern

    Sheikh Zakzaky awataka walimwengu wakabiliane na mashambulio ya Saudia dhidi ya Yemern

    Feb 06, 2022 04:42

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amewataka walimwengu kujitokeza na kukabiliana na hujuma na mashambulio ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya wananchi madhulumu wa Yemen.

  • Sheikh Zakzaky: Kamanda Soleimani alikuwa mwanastratejia aliyezima njama za maadui Syria na Iraq

    Sheikh Zakzaky: Kamanda Soleimani alikuwa mwanastratejia aliyezima njama za maadui Syria na Iraq

    Jan 04, 2022 02:52

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema, njia ya Muqawama, in shaa Allah itakamilika kwa kudhihiri Imam wa Zama (Allah Aharakishe Kudhihiri Kwake).

  • Waislamu wa Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria

    Waislamu wa Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria

    Dec 13, 2021 08:19

    Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria wameadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa sita tangu yalipotokea mauaji ya kinyama yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya Nigeria dhidi ya Waislamu katika mji wa Zaria

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS