Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Sheikh Zakzaky aadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria

    Sheikh Zakzaky aadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria

    Dec 05, 2021 14:34

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky amewaongoza Waislamu wa Nigeria katika maadhimisho ya mwaka wa sita wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa harakati hiyo.

  • Sheikh Zakzaky: Vita vya kiitikadi vya maadui wa Uislamu dhidi ya Waislamu vimegonga mwamba

    Sheikh Zakzaky: Vita vya kiitikadi vya maadui wa Uislamu dhidi ya Waislamu vimegonga mwamba

    Oct 07, 2021 04:37

    Kiongozi wa Waislamu wa Nigeria amesisitiza kuwa, vita vya kiitikadi vya maadui wa Uislamu dhidi ya Waislamu vimegonga mwamba.

  • Sheikh Zakzaky: Matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yataendelea Nigeria

    Sheikh Zakzaky: Matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yataendelea Nigeria

    Sep 30, 2021 06:28

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesisitiza kuwa, matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yataendelea kufanyika nchini Nigeria hadi atakapodhihiri Imam wa Zama, Imam Mahdi AS.

  • Tuhuma mpya za Mwendesha Mashtaka dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Tuhuma mpya za Mwendesha Mashtaka dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Aug 04, 2021 00:54

    Mwendesha Mashataka wa Jimbo la Kaduna nchini Nigeria ametoa tuhuma mpya dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ikiwa ni siku chache tu baada ya kutolewa hukumu ya kuachiliwa huru kiongozi huyo.

  • Hukumu ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe; ushindi kwa mrengo wa subira na mapambano

    Hukumu ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe; ushindi kwa mrengo wa subira na mapambano

    Jul 29, 2021 10:08

    Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.

  • Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800

    Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800

    Jul 25, 2021 11:26

    Jukwaa la Akademia la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) limesema hatua ya vyombo vya usalama vya nchi hiyo kuhujumu na kushambulia shughuli za kidini za harakati hiyo imepelekea watoto karibu elfu mbili kuwa mayatima.

  • Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Zakzaky na njama za mabeberu nchini Nigeria

    Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Zakzaky na njama za mabeberu nchini Nigeria

    Jul 03, 2021 10:52

    Mahakama ya Nigeria kwa mara nyingine tena imeakhirisha kikao cha kusikilizwa kesi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky hadi tarehe 28 Julai licha ya Waislamu wa nchi hiyo kutaka mwanazuoni huyo aachiwe huru.

  • Wafuasi wa Sheikh Zakzaky wawaadhimisha mashahidi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Wafuasi wa Sheikh Zakzaky wawaadhimisha mashahidi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Mar 08, 2021 07:43

    Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN) wamefanya hafla ya kuwaenzi mashahidi wa harakati hiyo.

  • Mchungaji wa Nigeria: Dhulma anazofanyiwa Sheikh Zakzaky ni dhulma dhidi ya ubinadamu

    Mchungaji wa Nigeria: Dhulma anazofanyiwa Sheikh Zakzaky ni dhulma dhidi ya ubinadamu

    Feb 15, 2021 01:25

    Mchungaji mmoja wa Nigeria amewataka wananchi wote wa nchi hiyo kufanya jitihada za kuhakikisha Sheikh Ibrahim Zakzaky anaachiwa huruu na anaamini kuwa, dhulma inayofanywa dhidi ya mwanazuoni huyo wa Kiislamu ni dhulma dhidi ya wanadamu wote.

  • Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Nigeria

    Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Nigeria

    Jan 29, 2021 02:04

    Katika hali ambayo Waislamu nchini Nigeria wameshiriki katika maandamano ya amani ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, mwendesha mashtaka mkuu nchini humo ameakhirisha tena kesi ya kiongozi huyo wa harakati ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS