-
WHO kufanyia majaribio dawa za malaria, baridi yabisi kama tiba ya COVID-19
Aug 12, 2021 08:13Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema litafanyia majaribio dawa za ugonjwa wa malaria na aina fulani za saratani ili kuona iwapo zinaweza kutibu ugonjwa wa COVID-19 au la.
-
WHO yakosoa nchi zinazowapiga watu 'dozi ya ziada' ya chanjo ya Corona
Aug 05, 2021 02:32Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametoa mwito wa kusimamishwa kampeni inayoendelezwa na baadhi ya nchi hususan za Ulaya ya kuwapiga wananchi wao chanjo ya ziada ya kuzuia virusi vya Corona, katika hali ambayo mamilioni ya watu duniani hawajapigwa hata chanjo ya kwanza.
-
Waafrika milioni 146 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa yanayohusishwa na tumbaku
Jun 19, 2021 05:12Shirika la Afya Duniani (WHO) limefichua kuwa, watu wasiopungua milioni 146 wanafariki dunia kila mwaka kutokana na magonjwa yanayonasibishwa na matumizi ya tumbaku barani Afrika.
-
WHO: Hatutailazimisha China itupe taarifa zaidi kuhusu chanzo cha Corona
Jun 08, 2021 07:49Afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema taasisi hiyo ya kimataifa haitashurutisha China itoe data na taarifa zaidi juu ya chanzo cha virusi vya Corona.
-
WHO: Corona haitamalizika kabla ya asilimia 70 ya walimwengu kupewa chanjo
May 29, 2021 07:08Mkurugenzi wa Shirika la Afya Dunia (WHO) kanda ya Ulaya amesema kuwa maambukizi ya virusi vya corona hayawezi kukomeshwa hadi pale asilimia 70 ya watu wote duniani watakapopata chanjo ya kukabiliana na virusi hivyo.
-
WHO: Corona imezidisha idadi ya wenye kupatwa na matatizo za kiakili Afrika
Oct 09, 2020 07:54Shirika la Afya Duniani (WHO) limetadharisha juu ya ongezeko la watu wanaokumbwa na matatizo ya kisaikolojia barani Afrika, kutokana na athari hasi za janga la corona.
-
WHO: Virusi vya corona vitaendelea kusumbua dunia kwa miaka miwili ijayo
Sep 11, 2020 12:03Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa virusi vya corona vitadhibitiwa miaka miwili ijayo.
-
Baada ya vitisho, Marekani yatangaza tarehe ya kujiondoa WHO
Sep 04, 2020 07:10Miezi michache baada ya Marekani kuamua kulikatia misaada yote ya kifedha Shirika la Afya Duniani kwa madai kwamba linadhibitiwa na China, sasa utawala wa Donald Trump umeenda mbali zaidi ya kuainisha tarehe ya kujiondoa WHO.
-
WHO yatahadharisha kuhusu ufisadi katika ugavi wa vifaa vya tiba na kujikinga na corona
Aug 22, 2020 08:48Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuwa, ufisadi unaoonekana katika ugavi wa vifaa na zana za madaktari na wauguzi kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 ni kielelezo cha uhalifu na jinai.
-
WHO: Covid-19 ni janga baya zaidi la afya linaloikabili dunia
Jul 28, 2020 04:43Maambukizi mapya ya virusi vya corona yaliyopelekea watu zaidi ya milioni 16 kuathiriwa na virusi hivyo ni janga baya zaidi la kiafya duniani kuwahi kulikumba Shirika la Afya Duniani (WHO).