-
Burundi yawatimua nchini humo maafisa wa WHO wakati huu wa corona
May 15, 2020 00:28Serikali ya Burundi imemfukuza nchini humo Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini humo na maafisa watatu wa timu yake waliokuwa wakifuatilia mwenendo wa mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 (corona) katika nchi hiyo.
-
WHO: Kulegezwa vizuizi vya watu kubaki majumbani kutaibua changamoto
May 13, 2020 13:32Wakati idadi ya watu waliougua ugonjwa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona ikifikia zaidi ya milioni 4 duniani kote, Shirika la Afya Duniani, WHO limesema, hatua ya baadhi ya nchi kulegeza vizuizi vya watu kubakia majumbani imeonesha baadhi ya changamoto zitakazoyakabili mataifa siku za usoni.
-
China yaipa WHO dola milioni 50 baada ya US kulikatia misaada shirika hilo la UN
Apr 24, 2020 02:32China imeliongeza Shirika la Afya Duniani (WHO) msaada wa dola milioni 30 za Marekani za kudhibiti mlipuko wa maambukizi ya virusi vya Corona duniani, siku chache baada ya Marekani kuikatia misaada taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa.
-
Hatua ya Marekani ya kusitisha mchango wake wa kifedha kwa Shirika la Afya Duniani
Apr 15, 2020 12:52Rais Donald Trump wa Marekani ametelekeza kivitendo tishio lake la kusitisha mchango wa kifedha ya nchi hiyo kwa shirika la Afya Duniani (WHO). Trump amedai kuwa, WHO imefeli katika kutekeleza majukumu yake.
-
UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona
Apr 15, 2020 08:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia udharura wa kuungwa mkono Shirika la Afya Duniani (WHO), muda mfupi baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuwa nchi hiyo imelikatia misaada yake ya kifedha shirika hilo.
-
WHO yatangaza mlipuko wa homa ya njano Sudan Kusini
Apr 14, 2020 13:10Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya mlipuko wa homa ya njano katika maeneo ya kusini mwa Sudan Kusini.
-
Tishio la Marekani la kuikatia misaada WHO wakati huu wa corona
Apr 09, 2020 02:40Baada ya kuenea sana maambukizi ya kirusi cha corona nchini Marekani na kupamba moto lawama dhidi ya utendaji mbovu wa rais wa nchi hiyo katika kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19, Donald Trump amekuwa akitapatapa huku na huko kwa kutoa tuhuma zisizo na msingi. Huko nyuma aliilaumu China kuwa imechelewa kuijulisha Marekani kuhusu ugonjwa huo na sasa amelivurumishia Shirika la Afya Duniani WHO tuhuma hizo hizo na kutishia kulikatia misaada.
-
Tahadhari ya WHO kuhusu kasi ya kuongezeka virusi vya corona
Mar 24, 2020 08:11Shirika la Afya Duniani WHO limetoa tahadhari kuhusiana na kasi kubwa ya kuenea virusi vya corona duniani.
-
Kuendelea vikwazo vya Marekani na mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya mfumo wa tiba wa Iran
Mar 20, 2020 11:48Katika siku za hivi karibuni Marekani imeendelea mtawalia kuiwekea vikwazo vipya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Corona; Shirika la Afya Duniani lapongeza elimu ya kitiba nchini Iran
Mar 07, 2020 02:27Kirusi cha COVID-19 maarufu kama Corona hakijui mipaka na kimeenea kote duniani na kwa msingi huo mbali na jitihada za kitaifa, kuna jitihada za kimataifa za kukabiliana na ugonjwa huu kupitia kubadilishana uzoefu wa madaktari na Shirika la Afya Duniani (WHO).