Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Afya Duniani

  • Baada ya vitisho, Marekani yatangaza tarehe ya kujiondoa WHO

    Baada ya vitisho, Marekani yatangaza tarehe ya kujiondoa WHO

    Sep 04, 2020 02:40

    Miezi michache baada ya Marekani kuamua kulikatia misaada yote ya kifedha Shirika la Afya Duniani kwa madai kwamba linadhibitiwa na China, sasa utawala wa Donald Trump umeenda mbali zaidi ya kuainisha tarehe ya kujiondoa WHO.

  • WHO yatahadharisha kuhusu ufisadi katika ugavi wa vifaa vya tiba na kujikinga na corona

    WHO yatahadharisha kuhusu ufisadi katika ugavi wa vifaa vya tiba na kujikinga na corona

    Aug 22, 2020 04:18

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuwa, ufisadi unaoonekana katika ugavi wa vifaa na zana za madaktari na wauguzi kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 ni kielelezo cha uhalifu na jinai.

  • WHO: Covid-19 ni janga baya zaidi la afya linaloikabili dunia

    WHO: Covid-19 ni janga baya zaidi la afya linaloikabili dunia

    Jul 28, 2020 00:13

    Maambukizi mapya ya virusi vya corona yaliyopelekea watu zaidi ya milioni 16 kuathiriwa na virusi hivyo ni janga baya zaidi la kiafya duniani kuwahi kulikumba Shirika la Afya Duniani (WHO).

  • Burundi yawatimua nchini humo maafisa wa WHO wakati huu wa corona

    Burundi yawatimua nchini humo maafisa wa WHO wakati huu wa corona

    May 14, 2020 19:58

    Serikali ya Burundi imemfukuza nchini humo Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini humo na maafisa watatu wa timu yake waliokuwa wakifuatilia mwenendo wa mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 (corona) katika nchi hiyo.

  • WHO: Kulegezwa vizuizi vya watu kubaki majumbani kutaibua changamoto

    WHO: Kulegezwa vizuizi vya watu kubaki majumbani kutaibua changamoto

    May 13, 2020 09:02

    Wakati idadi ya watu waliougua ugonjwa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona ikifikia zaidi ya milioni 4 duniani kote, Shirika la Afya Duniani, WHO limesema, hatua ya baadhi ya nchi kulegeza vizuizi vya watu kubakia majumbani imeonesha baadhi ya changamoto zitakazoyakabili mataifa siku za usoni.

  • China yaipa WHO dola milioni 50 baada ya US kulikatia misaada shirika hilo la UN

    China yaipa WHO dola milioni 50 baada ya US kulikatia misaada shirika hilo la UN

    Apr 23, 2020 22:02

    China imeliongeza Shirika la Afya Duniani (WHO) msaada wa dola milioni 30 za Marekani za kudhibiti mlipuko wa maambukizi ya virusi vya Corona duniani, siku chache baada ya Marekani kuikatia misaada taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa.

  • Hatua ya Marekani ya kusitisha mchango wake wa kifedha kwa Shirika la Afya Duniani

    Hatua ya Marekani ya kusitisha mchango wake wa kifedha kwa Shirika la Afya Duniani

    Apr 15, 2020 08:22

    Rais Donald Trump wa Marekani ametelekeza kivitendo tishio lake la kusitisha mchango wa kifedha ya nchi hiyo kwa shirika la Afya Duniani (WHO). Trump amedai kuwa, WHO imefeli katika kutekeleza majukumu yake.

  • UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona

    UN yakerwa na hatua ya Trump kuikatia ufadhili WHO wakati huu wa Corona

    Apr 15, 2020 03:44

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia udharura wa kuungwa mkono Shirika la Afya Duniani (WHO), muda mfupi baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuwa nchi hiyo imelikatia misaada yake ya kifedha shirika hilo.

  • WHO yatangaza mlipuko wa homa ya njano Sudan Kusini

    WHO yatangaza mlipuko wa homa ya njano Sudan Kusini

    Apr 14, 2020 08:40

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya mlipuko wa homa ya njano katika maeneo ya kusini mwa Sudan Kusini.

  • Tishio la Marekani la kuikatia misaada WHO wakati huu wa corona

    Tishio la Marekani la kuikatia misaada WHO wakati huu wa corona

    Apr 08, 2020 22:10

    Baada ya kuenea sana maambukizi ya kirusi cha corona nchini Marekani na kupamba moto lawama dhidi ya utendaji mbovu wa rais wa nchi hiyo katika kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19, Donald Trump amekuwa akitapatapa huku na huko kwa kutoa tuhuma zisizo na msingi. Huko nyuma aliilaumu China kuwa imechelewa kuijulisha Marekani kuhusu ugonjwa huo na sasa amelivurumishia Shirika la Afya Duniani WHO tuhuma hizo hizo na kutishia kulikatia misaada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS