-
WHO yazitaka nchi zote kuzidisha jitihada za kukabiliana na virusi vya Corona
Mar 06, 2020 07:51Shirika la Afya Duniani (WHO) limezitaka nchi zote duniani kuzidisha juhudi za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
-
Uvutaji sigara huongeza masaibu baada ya upasuaji
Jan 22, 2020 01:04Wavutaji wa sigara au bidhaa za tumbaku wako katika hatari kubwa ya kupata masaibu na matatizo zaidi baada ya kufanyiwa upasuaji kuliko wasiovuta bidhaa hizo.
-
WHO: Watu milioni 50 wanakabiliwa na matatizo ya kisaikolojia Nigeria
Dec 15, 2019 07:45Shirika la Afya Duniani WHO) limesema mamilioni ya wananchi wa Nigeria wanakabiliwa na tatizo moja au jingine la kiakili.
-
WHO: Malaria ingali tishio, yaua mtoto mmoja katika kila dakika 2
Dec 04, 2019 07:12Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema ugonjwa wa malaria ungali tishio kubwa linalowaathiri mamilioni ya watu kila mwaka kote duniani hususan katika nchi za Afrika.
-
Homa ya mapafu (pneumonia) inaua mtoto mmoja katika kila sekunde 39
Nov 12, 2019 08:00Taasisi za afya duniani zimeripoti kuwa, homa ya mapafu (pneumonia) inaua mtoto mmoja katika kila sekunde 39, na kwamba ugonjwa huo uliua watoto laki nane mwaka jana pekee.
-
Tehran ni mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afya wa Nchi za Eneo la Mediterania Mashariki
Oct 16, 2019 07:23Hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA ni fedheha kwa Marekani na fedheha kubwa zaidi kwa nchi hiyo ni kuwawekea watu wa Iran vikwazo vya dawa na chakula.
-
WHO: Nchi za dunia ziige Iran katika kutoa huduma za afya
Oct 14, 2019 07:55Shirika la Afya Duniani WHO limeziasa nchi nyingine duniani kuwa na mfumo mzuri wa tiba na huduma za afya kama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
WHO yatoa wito wa kupambana na ugonjwa wa malaria
Aug 23, 2019 11:40Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito kwa walimwengu kuwekeza zaidi katika mapambano dhidi ya malaria na kuutokomeza kikamilifu ugonjwa huo ambao kila mwaka huua watu laki nne.
-
WHO yazitaka nchi zote kupiga marufuku matangazo ya sigara
Aug 16, 2019 14:17Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito wa kupigwa marufuku matangazo ya sigara katika matukio mbalimbali ya kimataifa.
-
WHO yatangaza Ebola kuwa 'dharura ya kiafya duniani'
Jul 19, 2019 02:34Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa ni ''dharura ya kiafya inayohitaji jumuia ya kimataifa kuitazama''.