-
WHO yatoa wito wa kupambana na ugonjwa wa malaria
Aug 23, 2019 07:10Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito kwa walimwengu kuwekeza zaidi katika mapambano dhidi ya malaria na kuutokomeza kikamilifu ugonjwa huo ambao kila mwaka huua watu laki nne.
-
WHO yazitaka nchi zote kupiga marufuku matangazo ya sigara
Aug 16, 2019 09:47Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito wa kupigwa marufuku matangazo ya sigara katika matukio mbalimbali ya kimataifa.
-
WHO yatangaza Ebola kuwa 'dharura ya kiafya duniani'
Jul 18, 2019 22:04Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa ni ''dharura ya kiafya inayohitaji jumuia ya kimataifa kuitazama''.
-
Ripoti ya WHO kuhusu hali ya kiakili ya waathirika wa vita
Jun 12, 2019 03:20Matokeo ya utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) unaonyesha kuwa moja ya tano ya watu wanaoishi katika maeneo yaliyoathiriwa na vita wanaugua maradhi ya kiakili.
-
WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 8 kila mwaka duniani
May 30, 2019 21:59Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni nane wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani, kutoka milioni saba mwaka 2017.
-
WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio
May 29, 2019 03:35Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa huenda likatangaza karibuni hivi kuwa bara Afrika halina tena ugonjwa wa kupooza wa Polio.
-
WHO: Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yapindukia watu 200
Apr 18, 2019 08:55Shirika la Afya Duniani WHO limesema kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha katika mashambulizi ya vikosi vya Jenerali Khalifa Haftar vya kutaka kuudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli imeongezeka na kufikia watu 205.
-
Ebola yaendelea kuua DRC, WHO kuitangaza hatari ya kimataifa
Apr 12, 2019 20:47Wataalamu wa afya wa Shirika la Afya Duniani WHO wanafanya tathmini kubaini iwapo mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola ambao umeua mamia ya watu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unapaswa kutangazwa kuwa hatari ya kimataifa au la.
-
Ugonjwa wa TB waua watu 4,500 kila siku, WHO yaazimia kuutokomoeza
Mar 21, 2019 04:30Ugonjwa wa kifua kikuu au TB huua watu 4,500 kila siku duniani na Shirika la Afya Duniani WHO, limeazimia kutokomeza ugonjwa huo sugu.
-
WHO: Saudia imekiuka sheria za kimataifa kwa kuwaua raia wa Yemen
Aug 24, 2018 09:13Shirika la Afya Duniani WHO limesema mauaji ya raia wakiwemo watoto yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudia katika eneo la Ad Durayhimi nchini Yemen ni sawa na shambulizi la mji wa Dahyan, huko Saada.