Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Afya Duniani

  • WHO yatoa wito wa kupambana na ugonjwa wa malaria

    WHO yatoa wito wa kupambana na ugonjwa wa malaria

    Aug 23, 2019 07:10

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito kwa walimwengu kuwekeza zaidi katika mapambano dhidi ya malaria na kuutokomeza kikamilifu ugonjwa huo ambao kila mwaka huua watu laki nne.

  • WHO yazitaka nchi zote kupiga marufuku matangazo ya sigara

    WHO yazitaka nchi zote kupiga marufuku matangazo ya sigara

    Aug 16, 2019 09:47

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito wa kupigwa marufuku matangazo ya sigara katika matukio mbalimbali ya kimataifa.

  • WHO yatangaza Ebola kuwa 'dharura ya kiafya duniani'

    WHO yatangaza Ebola kuwa 'dharura ya kiafya duniani'

    Jul 18, 2019 22:04

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa ni ''dharura ya kiafya inayohitaji jumuia ya kimataifa kuitazama''.

  • Ripoti ya WHO kuhusu hali ya kiakili ya waathirika wa vita

    Ripoti ya WHO kuhusu hali ya kiakili ya waathirika wa vita

    Jun 12, 2019 03:20

    Matokeo ya utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) unaonyesha kuwa moja ya tano ya watu wanaoishi katika maeneo yaliyoathiriwa na vita wanaugua maradhi ya kiakili.

  • WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 8 kila mwaka duniani

    WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 8 kila mwaka duniani

    May 30, 2019 21:59

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni nane wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani, kutoka milioni saba mwaka 2017.

  • WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    May 29, 2019 03:35

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa huenda likatangaza karibuni hivi kuwa bara Afrika halina tena ugonjwa wa kupooza wa Polio.

  • WHO: Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yapindukia watu 200

    WHO: Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yapindukia watu 200

    Apr 18, 2019 08:55

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha katika mashambulizi ya vikosi vya Jenerali Khalifa Haftar vya kutaka kuudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli imeongezeka na kufikia watu 205.

  • Ebola yaendelea kuua DRC, WHO kuitangaza hatari ya kimataifa

    Ebola yaendelea kuua DRC, WHO kuitangaza hatari ya kimataifa

    Apr 12, 2019 20:47

    Wataalamu wa afya wa Shirika la Afya Duniani WHO wanafanya tathmini kubaini iwapo mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola ambao umeua mamia ya watu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unapaswa kutangazwa kuwa hatari ya kimataifa au la.

  • Ugonjwa wa TB waua watu 4,500 kila siku, WHO yaazimia kuutokomoeza

    Ugonjwa wa TB waua watu 4,500 kila siku, WHO yaazimia kuutokomoeza

    Mar 21, 2019 04:30

    Ugonjwa wa kifua kikuu au TB huua watu 4,500 kila siku duniani na Shirika la Afya Duniani WHO, limeazimia kutokomeza ugonjwa huo sugu.

  • WHO: Saudia imekiuka sheria za kimataifa kwa kuwaua raia wa Yemen

    WHO: Saudia imekiuka sheria za kimataifa kwa kuwaua raia wa Yemen

    Aug 24, 2018 09:13

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema mauaji ya raia wakiwemo watoto yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudia katika eneo la Ad Durayhimi nchini Yemen ni sawa na shambulizi la mji wa Dahyan, huko Saada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS