-
Ripoti ya WHO kuhusu hali ya kiakili ya waathirika wa vita
Jun 12, 2019 07:50Matokeo ya utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) unaonyesha kuwa moja ya tano ya watu wanaoishi katika maeneo yaliyoathiriwa na vita wanaugua maradhi ya kiakili.
-
WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 8 kila mwaka duniani
May 31, 2019 02:29Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni nane wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani, kutoka milioni saba mwaka 2017.
-
WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio
May 29, 2019 08:05Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa huenda likatangaza karibuni hivi kuwa bara Afrika halina tena ugonjwa wa kupooza wa Polio.
-
WHO: Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yapindukia watu 200
Apr 18, 2019 13:25Shirika la Afya Duniani WHO limesema kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha katika mashambulizi ya vikosi vya Jenerali Khalifa Haftar vya kutaka kuudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli imeongezeka na kufikia watu 205.
-
Ebola yaendelea kuua DRC, WHO kuitangaza hatari ya kimataifa
Apr 13, 2019 01:17Wataalamu wa afya wa Shirika la Afya Duniani WHO wanafanya tathmini kubaini iwapo mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola ambao umeua mamia ya watu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unapaswa kutangazwa kuwa hatari ya kimataifa au la.
-
Ugonjwa wa TB waua watu 4,500 kila siku, WHO yaazimia kuutokomoeza
Mar 21, 2019 08:00Ugonjwa wa kifua kikuu au TB huua watu 4,500 kila siku duniani na Shirika la Afya Duniani WHO, limeazimia kutokomeza ugonjwa huo sugu.
-
WHO: Saudia imekiuka sheria za kimataifa kwa kuwaua raia wa Yemen
Aug 24, 2018 13:43Shirika la Afya Duniani WHO limesema mauaji ya raia wakiwemo watoto yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudia katika eneo la Ad Durayhimi nchini Yemen ni sawa na shambulizi la mji wa Dahyan, huko Saada.
-
WHO yachukua hatua za kudhibiti kirusi cha Ebola Kongo DR
Aug 02, 2018 08:06Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa limechukua hatua za kukabiliana na kuenea kirusi cha ugonjwa wa ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
WHO: Ebola inatishia maisha ya watu Congo DR
Jun 13, 2018 15:36Shirika la Afya Dunia (WHO) limetahadharisha kuhusu maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
WHO yatahadharisha juu ya kuibuka tena ugonjwa wa Ebola huko DRC
May 12, 2018 04:17Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha juu ya uwezekano wa kuibuka tena ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.