-
Jumanne, 15 Aprili, 2025
Apr 15, 2025 02:15Leo ni Jumanne tarehe 16 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria sawa na tarehe 15 Aprili mwaka 2025.
-
Shirika la Ujasusi la Russia: NATO inapanga kumuondoa madarakani rais wa Ukraine, Zelensky
Feb 04, 2025 10:28Shirika la kijeshi la NATO linafikiria kufanikisha mpango wa kumuondoa madarakani Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky kwa 'kumchafua' kabla ya uchaguzi ujao utakaofanyika mwakani. Hayo yameelezwa katika ripoti iliyotolewa na Shirika la Ujasusi la Russia la Nje ya Nchi (SVR).
-
Jumatatu, 15 Aprili, 2024
Apr 15, 2024 02:34Leo ni Jumatatu tarehe 6 Shawwal 1445 Hijria sawa na tarehe 15 Aprili mwaka 2024.
-
Jumamosi, 15 Aprili, 2023
Apr 15, 2023 02:42Leo ni Jumamosi tarehe 24 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani 1444 Hijria mwafaka na tarehe 15 Aprili 2023 Miladia.
-
Ijumaa tarehe 15 Aprili 2022
Apr 15, 2022 02:22Leo ni ijumaa tarehe 13 mwezi mtukufu wa Ramadhani 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 15 Aprili 2022.
-
Afrika Kusini: 'Tunaadhibiwa' kwa kugundua spishi mpya ya corona ya Omicron
Nov 27, 2021 13:06Afrika Kusini imesema, inahisi "inaadhibiwa" kwa kugundua spishi mpya ya kirusi cha corona aina ya Omicron kutokana na marufuku mbalimbali zilizowekwa zikiwemo za kuzuia wasafiri kutoka nchi za kusini mwa Afrika kuelekea mataifa mengine ya dunia.
-
WTO yatoa wito wa kutumwa chanjo ya corona kwenye nchi maskini
Apr 27, 2021 04:21Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO) amezishukuru baadhi ya nchi kama India na China kwa kuziuzia nchi nyingine chanjo ya virosi vya corona na kuzitaka Marekani na Uingereza kufuata nyayo na kupeleka chanjo hiyo kwenye nchi maskini.
-
Indhari ya WTO ya kutokea mgogoro mkubwa zaidi wa kiuchumi katika historia ya mwanadamu
Apr 10, 2020 02:32Mlipuko wa virusi vya Corona na maradhi ya Covid-19 kwa sasa umeenea karibu katika mataifa yote ya ulimwengu.
-
Jumatatu, Aprili 15, 2019
Apr 15, 2019 02:18Leo ni Jumatatu tarehe 9 Sha'aban 1440 Hijiria, sawa na tarehe 15 April 2019 Miladia.
-
Taarifa ya mwisho ya mkutano wa kundi la G20; kusisitizwa ushirikiano na mabadiliko ya muundo wa Shirika la Biashara Duniani (WTO)
Dec 02, 2018 15:05Mkutano wa 13 wa viongozi wa kundi la G20 umefikia tamati katika hali ambayo, Marekani ilikabiliwa na hali ya kutengwa kikamilifu huku washiriki wa mkutano HUO wakisisitiza katika taarifa yao ya mwisho juu ya haja ya kufanyika mabadiliko katika muundo wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), kuheshimiwa makubaliano ya tabiachi ya Paris na kuendelezwa siasa za ushirikiano.