-
Wanasayansi wa Iran wako imara kukabiliana na ubeberu wa Marekani
Oct 16, 2020 02:39Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran imetangaza kuwa, wanasayansi na wasomi wa Iran wako imara katika kukabiliana na ubeberu na uistikbari wa Marekani kwenye nishati ya nyuklia.
-
Russia na China zakosoa azimio la Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran
Jun 20, 2020 04:07Russia na China zimekosoa hatua ya kupasishwa azimio dhidi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Iran: Bodi ya Magavana ya IAEA isithubutu kuchukua hatua isiyo na maana
Jun 15, 2020 15:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatoa jibu mwafaka kwa hatua yoyote hasi na isiyo na maana itakayochukuliwa na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya taifa hili, kwa kutegemea madai yasiyo na msingi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kuvuka sekta ya nyuklia ya Iran vikwazo haramu na vya kidhalimu vya Marekani
Feb 01, 2020 01:16Wizara ya Fedha ya Marekani imeendeleza sera zake za ukiukaji sheria, zilizofeli na kugonga mwamba kwa kumwekea vikwazo Ali Akbar Salehi, Makamu wa Rais na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).
-
Iran: Wakala wa IAEA kuchukuwa vipimo vya urani iliyorutubishwa Fordow + Video
Nov 10, 2019 02:47Msemaji wa Taasisi na Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) leo Jumapili watachukua vipimo vya urani iliyorutubishwa kwenye kituo cha nyuklia ya Fordow, hapa Iran.
-
Iran yaanza kutekeleza Hatua ya Nne ya kupunguza uwajibikaji wake katika JCPOA
Nov 06, 2019 16:47Utekelezaji wa hatua ya nne iliyochukuliwa na Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA umeanza rasmi leo katika kituo cha nyuklia cha Fordow.
-
Iran yaanza kuweka gesi katika mashinepewa za kizazi cha kisasa
Nov 05, 2019 02:53Oparesheni ya kuweka gesi ya uranium hexafluoride (UF6) katika injini za mashinepewa (centrifuge) za kisasa aina ya IR 6 imeanza katika Kituo cha Kurutubisha Urani cha Natanz katika sherehe iliyohudhuriwa na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran, Ali Akbar Salehi.
-
Kamalvandi: Mashinepewa (centrifuges) za kisasa za nyuklia za Iran zaanza kufanya kazi + Video
Sep 07, 2019 12:58Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, awamu ya tatu ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA ilianza jana Ijumaa kwa amri ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Ni kinaya Marekani kuitisha kikao cha IAEA kujadili JCPOA
Jul 06, 2019 12:42Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ni 'kinaya chungu' kuona Marekani imeitisha mkutano wa dharura wa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa lengo la kujadili makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia
Apr 09, 2019 15:07Katika sherehe za 13 za Siku ya Kitaifa ya Nyuklia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezindua mafanilkio 114 ya nyuklia nchini.