Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Nishati ya Atomiki

  • Wanasayansi wa Iran wako imara kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Wanasayansi wa Iran wako imara kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Oct 16, 2020 02:39

    Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran imetangaza kuwa, wanasayansi na wasomi wa Iran wako imara katika kukabiliana na ubeberu na uistikbari wa Marekani kwenye nishati ya nyuklia.

  • Russia na China zakosoa azimio la Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Russia na China zakosoa azimio la Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Jun 20, 2020 04:07

    Russia na China zimekosoa hatua ya kupasishwa azimio dhidi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Iran: Bodi ya Magavana ya IAEA isithubutu kuchukua hatua isiyo na maana

    Iran: Bodi ya Magavana ya IAEA isithubutu kuchukua hatua isiyo na maana

    Jun 15, 2020 15:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatoa jibu mwafaka kwa hatua yoyote hasi na isiyo na maana itakayochukuliwa na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya taifa hili, kwa kutegemea madai yasiyo na msingi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kuvuka sekta ya nyuklia ya Iran vikwazo haramu na vya kidhalimu vya Marekani

    Kuvuka sekta ya nyuklia ya Iran vikwazo haramu na vya kidhalimu vya Marekani

    Feb 01, 2020 01:16

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeendeleza sera zake za ukiukaji sheria, zilizofeli na kugonga mwamba kwa kumwekea vikwazo Ali Akbar Salehi, Makamu wa Rais na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).

  • Iran: Wakala wa IAEA kuchukuwa vipimo vya urani iliyorutubishwa Fordow + Video

    Iran: Wakala wa IAEA kuchukuwa vipimo vya urani iliyorutubishwa Fordow + Video

    Nov 10, 2019 02:47

    Msemaji wa Taasisi na Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) leo Jumapili watachukua vipimo vya urani iliyorutubishwa kwenye kituo cha nyuklia ya Fordow, hapa Iran.

  • Iran yaanza kutekeleza Hatua ya Nne ya kupunguza uwajibikaji wake katika JCPOA

    Iran yaanza kutekeleza Hatua ya Nne ya kupunguza uwajibikaji wake katika JCPOA

    Nov 06, 2019 16:47

    Utekelezaji wa hatua ya nne iliyochukuliwa na Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA umeanza rasmi leo katika kituo cha nyuklia cha Fordow.

  • Iran yaanza kuweka gesi katika mashinepewa za kizazi cha kisasa

    Iran yaanza kuweka gesi katika mashinepewa za kizazi cha kisasa

    Nov 05, 2019 02:53

    Oparesheni ya kuweka gesi ya uranium hexafluoride (UF6) katika injini za mashinepewa (centrifuge) za kisasa aina ya IR 6 imeanza katika Kituo cha Kurutubisha Urani cha Natanz katika sherehe iliyohudhuriwa na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran, Ali Akbar Salehi.

  • Kamalvandi: Mashinepewa (centrifuges) za kisasa za nyuklia za Iran zaanza kufanya kazi + Video

    Kamalvandi: Mashinepewa (centrifuges) za kisasa za nyuklia za Iran zaanza kufanya kazi + Video

    Sep 07, 2019 12:58

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, awamu ya tatu ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA ilianza jana Ijumaa kwa amri ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Ni kinaya Marekani kuitisha kikao cha IAEA kujadili JCPOA

    Iran: Ni kinaya Marekani kuitisha kikao cha IAEA kujadili JCPOA

    Jul 06, 2019 12:42

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ni 'kinaya chungu' kuona Marekani imeitisha mkutano wa dharura wa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa lengo la kujadili makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia

    Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia

    Apr 09, 2019 15:07

    Katika sherehe za 13 za Siku ya Kitaifa ya Nyuklia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezindua mafanilkio 114 ya nyuklia nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS