-
Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 9 wa al-Shabaab kusini mwa nchi
Nov 11, 2021 00:44Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) limetangaza kuwa limeua magaidi tisa wa kundi la al-Shabaab katika wilaya ya Awdhigle kusini mwa nchi hiyo.
-
Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia
Oct 23, 2021 04:19Mpango wa Umoja wa Afrika wa kulinda amani nchini Somalia AMISOM umeshauri mahakama ya kijeshi ya Uganda iwafungulie mashtaka askari wa nchi hiyo wanaohudumu katika mpango huo, ambao wamehusishwa na mauaji ya raia nchini Somalia.
-
Alkhamisi tarehe 21 Oktoba 2021
Oct 20, 2021 22:50Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Oktoba mwaka 2021.
-
Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia
Oct 15, 2021 00:50Uganda inajiandaa kutuma maafisa wa polisi wapatao 160 nchini Somalia, kwenda kushiriki operesheni za kudumisha amani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Somalia yatoa wito wa kushirikiana na Kenya baada ya uamuzi wa ICJ
Oct 13, 2021 22:52Rais wa Somalia amesema katika hotuba yake aliyotoa jana Jumatano kwamba, uamuzi uliotolewa siku ya Jumanne na Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu mzozo wa mpaka na Kenya ni fursa kwa nchi mbili hizo kushirikiana.
-
Kenya yapinga uamuzi wa ICJ kuhusu mzozo wa mpaka wa baharini na Somalia
Oct 13, 2021 09:28Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amepinga uamuzi uliotolewa jana Jumanne na Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), kuhusu mzozo wa muda mrefu wa nchi hiyo na Somalia juu ya mpaka wa baharini wa pande hizo mbili.
-
AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia
Oct 12, 2021 04:37Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limetangaza kuunga mkono pendekezo la kuundwa kikosi cha pamoja cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia, kitakachochukua nafasi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom), iwapo wazo hilo litapasishwa.
-
Kenya yapinga mamlaka ya Mahakama ya UN kabla ya kutoa uamuzi kuhusu mpaka wa Somalia
Oct 08, 2021 23:59Kenya jana Ijumaa ilisema kuwa inapinga mamlaka rasmi ya utoaji maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kabla ya kutoa uamuzi wiki ijayo kuhusu mzozo wa muda mrefu wa eneo la bahari kati yake na Somalia.
-
Watu 10 wauawa katika mlipuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais nchini Somalia
Sep 25, 2021 13:44Kwa akali watu 10 wanaripotiwa kuuawa katika mlipuko wa bomuu jirani na ikulu ya Rais katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Idadi ya magaidi wa al Shabab waliouawa na jeshi la Somalia yafika 90
Aug 25, 2021 23:15Jeshi la Somalia limeripoti kuwa, idadi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al Shabab waliouawa katika oparesheni ya jeshi hilo imeongezeka.