Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Malik Agar: Kuporomoka kwa Sudan ni hatari kwa nchi zote za kanda hii

    Malik Agar: Kuporomoka kwa Sudan ni hatari kwa nchi zote za kanda hii

    Jul 02, 2024 00:41

    Malik Agar, Makamu wa Rais wa Baraza la Utawala wa Sudan, ameonya juu ya hatari ya kuporomoka kwa Sudan, ambayo haitakuwa kwa nchi hiyo pekee, bali athari zake mbaya zitaenea katika nchi jirani na kwingineko.

  • Watu  755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan

    Watu 755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan

    Jun 28, 2024 00:22

    Wataalamu na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa, mapigano yanayoendelea nchini Sudan baina ya wanajeshi wa serikali na wanamgambo wa Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF yatapelekea watu 755,000 kuwajihiwa na baa la njaa na uhaba mkubwa wa chakula katika miezi michache ijayo.

  • Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Jun 13, 2024 22:43

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria mwafaka na tarehe 14 Juni 2024 Miladia.

  • Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Jun 12, 2024 22:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ameshtushwa na ripoti za kuogofya kuhusu idadi kubwa ya watu waliouawa kutokana na shambulio lililolenga kijiji cha Wad al-Nura katika jimbo la al-Jazeera nchini Sudan.

  • Rais wa Afrika Kusini: ANC itaunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Rais wa Afrika Kusini: ANC itaunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Jun 08, 2024 00:38

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa chama tawala cha African National Congress (ANC) kimekubali kuunda serikali ya umoja wa kitaifa baada ya kupoteza wingi wa kura katika uchaguzi wa wiki iliyopita.

  • Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Jun 03, 2024 07:57

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa na kujeruhiwa baada ya kuzuka mapigano mapya kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kundi la waasi wanaojulikana kama Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) katika maeneo tofauti ya Sudan.

  • Jeshi la Sudan lapuuzilia mbali mwito wa Marekani

    Jeshi la Sudan lapuuzilia mbali mwito wa Marekani

    May 30, 2024 03:35

    Jeshi la Sudan limepinga mwito wa Marekani wa kurejea kwenye meza ya mazungumzo kati ya jeshi hilo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Watu 120 wameuawa mjini el-Fasher, Sudan ndani ya wiki 2

    Watu 120 wameuawa mjini el-Fasher, Sudan ndani ya wiki 2

    May 26, 2024 22:49

    Kwa akali watu 123 wameuawa katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika mji wa el-Fasher, jimboni Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • UN: Kuna wasiwasi juu ya ongezeka la machafuko huko El Fasher, magharibi mwa Sudan

    UN: Kuna wasiwasi juu ya ongezeka la machafuko huko El Fasher, magharibi mwa Sudan

    May 17, 2024 11:47

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amesema leo Ijumaa kwamba "ameshtushwa" na ongezeko la ghasia karibu na mji wa El Fasher huko magharibi mwa Sudan.

  • Guterres abainisha wasiwasi wake mkubwa kuhusu mapigano katika mji wa El Fasher, Sudan

    Guterres abainisha wasiwasi wake mkubwa kuhusu mapigano katika mji wa El Fasher, Sudan

    May 14, 2024 02:33

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa Antonio Guterres ana wasiwasi mkubwa kufuatia mapigano ya karibuni kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wapinzani katika mji muhimu wa Darfur wa El-Fasher nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS