Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan 'yasimamisha' ushirikiano na jumuiya ya IGAD

    Sudan 'yasimamisha' ushirikiano na jumuiya ya IGAD

    Jan 16, 2024 23:05

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetangaza kusimamisha ushirikiano na Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD), hatua ambayo wadadisi wa mambo wanasema inaashiria kugonga mwamba jitihada za hivi punde za kieneo za kuhitimisha vita katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Kadhaa wauawa Abyei mpakani mwa Sudan na Sudan Kusini

    Kadhaa wauawa Abyei mpakani mwa Sudan na Sudan Kusini

    Jan 01, 2024 08:50

    Kwa akali watu sita wameuawa katika shambulizi linaloamini ni la ulipizaji kisasi katika eneo linalozozaniwa la Abyei, kwenye mpaka wa Sudan na Sudan Kusini.

  • Jumatatu, tarehe Mosi Januari, 2024

    Jumatatu, tarehe Mosi Januari, 2024

    Dec 31, 2023 22:55

    Leo ni Jumatatu tarehe 18 Jamadithani 1445 Hijria sawa na tarehe Mosi Januari 2024.

  • Kusimamishwa shughuli za Madaktari Wasio na Mipaka huko  Al-Jazīrah, Sudan

    Kusimamishwa shughuli za Madaktari Wasio na Mipaka huko Al-Jazīrah, Sudan

    Dec 31, 2023 03:51

    Shughuli za Madaktari Wasio na Mipaka zimesitishwa katika Jimbo la Al Jazirah nchini Sudan kutokana na kuendelea kuwa mbaya hali ya usalama katika jimbo hilo.

  • Kiongozi wa RSF yuko Addis Ababa baada ya kushindwa kukutana na Al-Burhan

    Kiongozi wa RSF yuko Addis Ababa baada ya kushindwa kukutana na Al-Burhan

    Dec 28, 2023 22:59

    Kamanda wa wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka kinachopigana na jeshi la Sudan, Luteni Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo, aliwasili katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, jana Alhamisi baada ya kutembelea Uganda na kukutana na Rais Yoweri Museveni.

  • "Save Sudan"... Kampeni kuu kwenye mitandao ya kijamii ikiangazia yanayojiri nchini humo

    Dec 21, 2023 23:36

    Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wameanzisha kampeni kubwa iliyopewa jina la Save Sudan inayoangazia na kumulika masaibu yanayowapata wananchi wa Sudan kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo na kupuuzwa na jamii ya kimataifa hasa vyombo vya habari ambavyo aghlabu vimeelekeza mazingatio yao huko Gaza na mauaji ya raia wa Palesrina yanayofanywa na Israel.

  • WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Sudan, mapigano yaenea

    WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Sudan, mapigano yaenea

    Dec 21, 2023 07:53

    Mpango wa Chakula Dunia (WFP) umesimamisha kwa muda utoaji na usambazaji wa chakula katika baadhi ya maeneo katika jimbo la al-Jazira katikati ya Sudan, huku mapigano yakipanuka na kuenea pande za mashariki na kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

  • AU yataka pande hasimu Sudan zisitishe mapigano

    AU yataka pande hasimu Sudan zisitishe mapigano

    Dec 19, 2023 23:34

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) na Jeshi la Sudan kusitisha uhasama na mapigano mara moja, na kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa shabaha ya kurejesha utulivu, uthabiti na amani endelevu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mapigano nchini Sudan yapanuka hadi Wad Madani, maelfu ya watu wahama makazi yao

    Mapigano nchini Sudan yapanuka hadi Wad Madani, maelfu ya watu wahama makazi yao

    Dec 17, 2023 07:51

    Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vinapigana na Jeshi la Sudan nje ya mji wa Wad Madani katika Jimbo la Al-Jazira (katikati mwa Sudan) na kwamba mapigano hayo yamelazimisha maelfu ya raia kukimbia makazi yao na kuelekea maeneo salama.

  • UN yaiondoea vikwazo vya silaha Somalia, yahitimisha shughuli zake za kisiasa nchini Sudan

    UN yaiondoea vikwazo vya silaha Somalia, yahitimisha shughuli zake za kisiasa nchini Sudan

    Dec 02, 2023 02:29

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la kuondoa vikwazo vya mwisho vya silaha dhidi ya serikali ya Somalia na vikosi vyake vya usalama, huku likihitimisha pia shughuli za ujumbe wake wa kisiasa katika nchi ya Sudan iliyokumbwa na vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS