Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • UN yatoa indhari: Idadi ya wanaokimbilia Sudan Kusini kutoka Sudan imeongezeka

    UN yatoa indhari: Idadi ya wanaokimbilia Sudan Kusini kutoka Sudan imeongezeka

    Nov 10, 2023 03:26

    Mashirika ya kibindamu ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini yametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la watu wanaorejea na wakimbizi wanaokimbia mzozo na kuelekea kaskazini nchini Sudan.

  • Familia za Wasudan zatafuta hifadhi Sudan Kusini

    Familia za Wasudan zatafuta hifadhi Sudan Kusini

    Oct 27, 2023 09:39

    Ripoti zinasema kuwa katika hali ya kusikitisha, familia zinazoepuka ghasia na machafuko nchini Sudan zinaendelea kuwasili katika maeneo ya mbali ya kaskazini mwa Sudan Kusini.

  • UNHCR: Watu elfu nne wameuliwa Darfur, Sudan, mali za raia zimeharibiwa

    UNHCR: Watu elfu nne wameuliwa Darfur, Sudan, mali za raia zimeharibiwa

    Oct 18, 2023 00:20

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema, watu wapatao 4,000 wameuawa huku mali za raia zikiharibiwa katika mapigano yanayoendelea huko jimboni Darfur nchini Sudan, mapigano ambayo yalianzia kwenye mji mkuu Khartoum miezi sita iliyopita na kusambaa hadi nje ya mji huo, kati ya Jeshi la Serikali (SAF) na wanamgambo wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF).

  • Salva Kiir kuwa mwenyeji wa viongozi wa Sudan kujadili amani

    Salva Kiir kuwa mwenyeji wa viongozi wa Sudan kujadili amani

    Oct 17, 2023 10:42

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amesema karibuni hivi atakuwa mwenyeji wa mkutano utakaowaleta pamoja viongozi wa pande mbili zinazopigana nchini Sudan, yaani Jeshi la Taifa la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF)

  • Iran na Sudan kufungua tena balozi zao baada ya kukamilisha mchakato wa kuhuisha uhusiano

    Iran na Sudan kufungua tena balozi zao baada ya kukamilisha mchakato wa kuhuisha uhusiano

    Oct 10, 2023 03:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, karibuni hivi Iran na Sudan zitafungua tena balozi zao baada ya nchi hizo mbili kukamilisha mchakato wa kurejesha uhusiano wa kidipolmasia.

  • UN: Mapigano Sudan yanasababisha kuongezeka kwa kasi mgogoro wa wakimbizi duniani

    UN: Mapigano Sudan yanasababisha kuongezeka kwa kasi mgogoro wa wakimbizi duniani

    Oct 05, 2023 23:57

    Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu huko Sudan amesema kuwa mapigano yanayoendelea nchini humo yanapelekea kuongezeka haraka mgogoro unapanuka wa wakimbizi duniani.

  • Sudan Kusini: Benki ya BRICS ni mwanzo wa mwisho wa udhibiti wa sarafu ya dola

    Sudan Kusini: Benki ya BRICS ni mwanzo wa mwisho wa udhibiti wa sarafu ya dola

    Sep 30, 2023 12:14

    Waziri wa Mambo ya Rais wa Sudan Kusini amesema kuwa, kudhihiri kwa Benki mpya ya NDB ya kundi la madola yanayoinukia kiuchumu la BRICS utakuwa mwanzo wa kusambaratika udhibiti wa sarafu ya dola ya Marekani katika miamala ya kifedha duniani kote.

  • Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC: Najisikia aibu hatujafanya kazi nzuri huko Sudan

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC: Najisikia aibu hatujafanya kazi nzuri huko Sudan

    Sep 27, 2023 23:29

    Karim Khan, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amezungumza na televisheni ya France 24 pambizoni mwa Mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York akikiri kwamba taasisi hiyo haijafanya kazi nzuri kuhusiana na yanayojiri nchini Sudan.

  • OCHA: Mamilioni ya Wasudan wamekuwa wakimbizi kutokana na kuendelea vita na mapigano

    OCHA: Mamilioni ya Wasudan wamekuwa wakimbizi kutokana na kuendelea vita na mapigano

    Sep 23, 2023 23:45

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mamilioni ya watu wamelazimika kuyahama makazi yao na kuwa wakimbizi kutokana na kuendelea vita na mapigano kati ya Jeshi na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, RSF nchini Sudan.

  • Ethiopia: Tumeanza duru mpya ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu Bwawa Kuu la Renaissance

    Ethiopia: Tumeanza duru mpya ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu Bwawa Kuu la Renaissance

    Sep 23, 2023 10:38

    Ethiopia imesema imeanza duru ya pili ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu bwawa lenye utata lililojengwa na nchi hiyo kwenye mto Nile na kuwa chanzo cha mvutano wa muda mrefu kati ya mataifa hayo matatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS