Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Kutolewa dikrii ya kufutiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan

    Kutolewa dikrii ya kufutiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan

    Sep 07, 2023 23:13

    Abd al-Fattah al-Barhan, Kamanda wa Jeshi na Mkuu wa Baraza Tawala la Sudan, ametoa dikrii ya kufuiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka kwa mujibu wa kipengee cha katiba ya nchi hiyo.

  • Dagalo ataka RSF iunganishwe na vikosi vya jeshi la Sudan

    Dagalo ataka RSF iunganishwe na vikosi vya jeshi la Sudan

    Sep 05, 2023 23:42

    Kamanda wa Vikosi vya Radiamali ya Haraka vya Sudan (RSF) amesema njia bora ya kuhitimisha mapigano nchini humo ni kuviunganisha vikosi hivyo na Jeshi la Sudan.

  • UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    Sep 05, 2023 07:24

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) linakadiria kuwa zaidi ya watu milioni 1.8 watakuwa wameikimbia Sudan kutokana na mapigano ya silaha ya kuwania madaraka nchini humo, ambayo yamekuwa yakiendelea tangu Aprili 15 kati ya vikosi vya jeshi na vya Msaada wa Haraka RSF.

  • Kutunguliwa ndege ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka

    Kutunguliwa ndege ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka

    Sep 05, 2023 04:02

    Vikosi vya Radiamali ya Haraka vya Sudan vimetangaza kutungua ndege ya kivita ya jeshi la nchi hiyo.

  • Al Burhan atembelea Juba huku vita vikiendelea nchini Sudan

    Al Burhan atembelea Juba huku vita vikiendelea nchini Sudan

    Sep 04, 2023 09:27

    Rais wa Baraza la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, mapema leo alikuwa Juba, mji mkuu wa Sudan Kusini, kwa ziara rasmi ya siku moja, kujadili hali ya Sudan na uhusiano kati ya nchi hizo mbili, huku mapigano makali yakiendelea kuripotiwa nchini kwake.

  • Mgogoro wa Sudan umesababisha raia milioni 4.8 kuhama makazi yao

    Mgogoro wa Sudan umesababisha raia milioni 4.8 kuhama makazi yao

    Sep 03, 2023 03:45

    Umoja wa Mataifa umesema mapigano makali yanayoendelea kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) yamelazimisha mamilioni ya watu katika nchi hiyo kuyahama makazi yao.

  • Al Burhan akutana na al Sisi mjini Cairo katika safari ya kwanza nje ya nchi baada ya kuanza vita Sudan

    Al Burhan akutana na al Sisi mjini Cairo katika safari ya kwanza nje ya nchi baada ya kuanza vita Sudan

    Aug 29, 2023 08:21

    Mkuu wa Baraza la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, leo Jumanne amewasili nchini Misri, katika ziara yake ya kwanza ya kigeni tangu kuanza mapigano ya ndani nchini Sudan yapata miezi 5 iliyopita, huku mapigano yakiendelea kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Khartoum na maeneo mengine.

  • Mkuu wa Jeshi la Sudan akataa kuzungumza na RSF, aahidi ushindi wa kishindo dhidi yake

    Mkuu wa Jeshi la Sudan akataa kuzungumza na RSF, aahidi ushindi wa kishindo dhidi yake

    Aug 29, 2023 03:47

    Mkuu wa jeshi la Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amefutilia mbali suala la kufanya mazungumzo ya aina yoyote na kundi la wanamgambo hasimu wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF), na kuahidi kwamba jeshi litapata ushindi wa kishindo dhidi ya kundi hilo.

  • UN yatahadharisha kuhusu hatari ya maafa ya binadamu nchini Sudan

    UN yatahadharisha kuhusu hatari ya maafa ya binadamu nchini Sudan

    Aug 26, 2023 04:31

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu amesema mzozo wa Sudan unaweza kulitumbukiza eneo zima kwenye maafa ya binadamu.

  • RSF yadai kwamba imeua wanajeshi 260 wa Sudan

    RSF yadai kwamba imeua wanajeshi 260 wa Sudan

    Aug 23, 2023 06:51

    Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vimedai kuwa vimewaua mamia ya askari wa vikosi vya Jeshi la Sudan, huku mapigano baina ya pande mbili hizo yakishtadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS