Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Umoja wa Afrika: Tunapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan

    Umoja wa Afrika: Tunapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan

    May 31, 2023 08:02

    Umoja wa Afrika umesisitiza kuwa, unapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan na kwamba, hilo ni jambo lisilokubalika.

  • UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali

    UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali

    May 29, 2023 07:01

    Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, mamilioni ya watu wapo katika hatari ya kufa njaa katika nchi za Sudan, Haiti, Burkina Faso, na Mali.

  • AU yasisitiza ulazima wa kusitishwa mapigano haraka huko Sudan

    AU yasisitiza ulazima wa kusitishwa mapigano haraka huko Sudan

    May 28, 2023 07:40

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) amesiistiza ulazima wa kusimamishwa vita haraka iwezekanavyo kati ya pande zinazopigana nchini Sudan.

  • Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan

    Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan

    May 26, 2023 06:38

    Makumi ya watoto wachanga wa kuzaliwa wameaga dunia wakiwa hospitalini tangu vita vipya viibuke nchini Sudan mwezi uliopita, huku mapigano hayo yakiendelea kwa wiki ya sita sasa licha ya makubaliano ya usitishaji vita.

  • Arab League yazitaka pande zinazopigana Sudan kuheshimu vipengee vya usitishaji vita

    Arab League yazitaka pande zinazopigana Sudan kuheshimu vipengee vya usitishaji vita

    May 21, 2023 09:31

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League ametaka kutekelezwa makubaliano ya kusitisha vita huko Sudan na pande hasimu kuheshimu vipengee vya makubaliano hayo baadaya pande hizo kusaini makubaliano ya kusitisha vita.

  • Kuendelea mgogoro huko Sudan kwa kuuzuliwa Hamidti katika Baraza la Uongozi wa Mpito

    Kuendelea mgogoro huko Sudan kwa kuuzuliwa Hamidti katika Baraza la Uongozi wa Mpito

    May 20, 2023 08:01

    Mgogoro wa kisiasa na vita vingali vinaendelea huko Sudan licha ya kufanyika mazungumzo na jitihada za upatanishi nchini humo. Katika hatua ya karibuni, Jenerali Abdel Fattah al Burhan, Mkuu wa Baraza la Utawala wa Mpito la Sudan ametoa amri ya kumuuzulu Mohamed Hamdan Dagalo (Hamidti) katika nafasi ya Naibu Mkuu wa baraza hilo.

  • UN yalaani ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita Sudan, mapigano makali yaripotiwa Khartoum

    UN yalaani ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita Sudan, mapigano makali yaripotiwa Khartoum

    May 19, 2023 07:01

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu, Martin Griffiths, amelaani kile alichokitaja kuwa ukiukwaji wa mara kwa mara na mkubwa wa makubaliano yaliyofikiwa wiki moja baina ya pande zihasimu katika mzozo wa Sudan ya kulinda maisha ya raia, harakati za misaada ya kibinadamu na miundombinu.

  • UN: Wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na maafa ya binadamu katika nchi jirani

    UN: Wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na maafa ya binadamu katika nchi jirani

    May 13, 2023 21:59

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na maafa ya binadamu katika nchi jirani.

  • Makubaliano ya awali ya pande zinazozozana Sudan kwa ajili ya kusitisha mapigano

    Makubaliano ya awali ya pande zinazozozana Sudan kwa ajili ya kusitisha mapigano

    May 13, 2023 03:52

    Hatimaye baada ya siku tatu za mazungumzo magumu ya kurudisha amani nchini Sudan, pande mbili zinazohasimiana zimetia saini taarifa na kukubaliana kuwa maslahi ya watu wa nchi hiyo yapewe kipaumbele. Pande hizo zimekubali kuchukua hatua zote za lazima ili kutowadhuru raia na kuwaruhusu waondoke kwenye maeneo yenye mapigano na yaliyozingirwa.

  • Mlipuko mkubwa waukumba mji mkuu wa Sudan, Khartoum mapema Jumatano

    Mlipuko mkubwa waukumba mji mkuu wa Sudan, Khartoum mapema Jumatano

    May 10, 2023 08:23

    Mlipuko mkubwa umeukumba mji mkuu wa Sudan, Khartoum mapema leo katika siku ya 26 ya vita vya kuwania madaraka kati ya jeshi la nchi hiyo linaloongozwa na Jenerali Abdel Fattah al Burhan na vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vinavyoongozwa na Kamanda Hamdan Dagalo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS