-
Umoja wa Afrika: Tunapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan
May 31, 2023 08:02Umoja wa Afrika umesisitiza kuwa, unapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan na kwamba, hilo ni jambo lisilokubalika.
-
UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali
May 29, 2023 07:01Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, mamilioni ya watu wapo katika hatari ya kufa njaa katika nchi za Sudan, Haiti, Burkina Faso, na Mali.
-
AU yasisitiza ulazima wa kusitishwa mapigano haraka huko Sudan
May 28, 2023 07:40Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) amesiistiza ulazima wa kusimamishwa vita haraka iwezekanavyo kati ya pande zinazopigana nchini Sudan.
-
Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan
May 26, 2023 06:38Makumi ya watoto wachanga wa kuzaliwa wameaga dunia wakiwa hospitalini tangu vita vipya viibuke nchini Sudan mwezi uliopita, huku mapigano hayo yakiendelea kwa wiki ya sita sasa licha ya makubaliano ya usitishaji vita.
-
Arab League yazitaka pande zinazopigana Sudan kuheshimu vipengee vya usitishaji vita
May 21, 2023 09:31Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League ametaka kutekelezwa makubaliano ya kusitisha vita huko Sudan na pande hasimu kuheshimu vipengee vya makubaliano hayo baadaya pande hizo kusaini makubaliano ya kusitisha vita.
-
Kuendelea mgogoro huko Sudan kwa kuuzuliwa Hamidti katika Baraza la Uongozi wa Mpito
May 20, 2023 08:01Mgogoro wa kisiasa na vita vingali vinaendelea huko Sudan licha ya kufanyika mazungumzo na jitihada za upatanishi nchini humo. Katika hatua ya karibuni, Jenerali Abdel Fattah al Burhan, Mkuu wa Baraza la Utawala wa Mpito la Sudan ametoa amri ya kumuuzulu Mohamed Hamdan Dagalo (Hamidti) katika nafasi ya Naibu Mkuu wa baraza hilo.
-
UN yalaani ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita Sudan, mapigano makali yaripotiwa Khartoum
May 19, 2023 07:01Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu, Martin Griffiths, amelaani kile alichokitaja kuwa ukiukwaji wa mara kwa mara na mkubwa wa makubaliano yaliyofikiwa wiki moja baina ya pande zihasimu katika mzozo wa Sudan ya kulinda maisha ya raia, harakati za misaada ya kibinadamu na miundombinu.
-
UN: Wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na maafa ya binadamu katika nchi jirani
May 13, 2023 21:59Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na maafa ya binadamu katika nchi jirani.
-
Makubaliano ya awali ya pande zinazozozana Sudan kwa ajili ya kusitisha mapigano
May 13, 2023 03:52Hatimaye baada ya siku tatu za mazungumzo magumu ya kurudisha amani nchini Sudan, pande mbili zinazohasimiana zimetia saini taarifa na kukubaliana kuwa maslahi ya watu wa nchi hiyo yapewe kipaumbele. Pande hizo zimekubali kuchukua hatua zote za lazima ili kutowadhuru raia na kuwaruhusu waondoke kwenye maeneo yenye mapigano na yaliyozingirwa.
-
Mlipuko mkubwa waukumba mji mkuu wa Sudan, Khartoum mapema Jumatano
May 10, 2023 08:23Mlipuko mkubwa umeukumba mji mkuu wa Sudan, Khartoum mapema leo katika siku ya 26 ya vita vya kuwania madaraka kati ya jeshi la nchi hiyo linaloongozwa na Jenerali Abdel Fattah al Burhan na vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vinavyoongozwa na Kamanda Hamdan Dagalo.