Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Kushtadi na kupamba moto mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Kushtadi na kupamba moto mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Oct 18, 2021 05:13

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan umeshtadi na kuzidi kupamba moto kutokana na kushadidi na kuongezeka matatizo ya kiuchumi na vuta nikuvute za kisiasa katika nchi hiyo.

  • Hamdok: Sudan inasumbuliwa na mgogoro mbaya zaidi wa kipindi cha mpito

    Hamdok: Sudan inasumbuliwa na mgogoro mbaya zaidi wa kipindi cha mpito

    Oct 16, 2021 22:57

    Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok ameonya kuwa nchi hiyo inakabiliwa na "mgogoro mbaya zaidi" katika kipindi hiki cha serikali ya mpito iliyoundwa baada ya kuondolewa madarakani aliyekuwa mtawala wa muda mrefu wa Sudan, Omar al-Bashir zaidi ya miaka miwili iliyopita.

  • Israel yaingiwa na wasiwasi kuwa yamkini Sudan ikabatilisha mapatano ya ushusiano

    Israel yaingiwa na wasiwasi kuwa yamkini Sudan ikabatilisha mapatano ya ushusiano

    Oct 16, 2021 03:45

    Gazeti la Kizayuni la Maariv limefichua kuwa, wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wana wasiwasi kuwa Sudan huenda ikajiondoa hatua kwa hatua katika mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo.

  • Maafisa kadhaa wa Sudan wapigwa marufuku kutoka nje ya nchi

    Maafisa kadhaa wa Sudan wapigwa marufuku kutoka nje ya nchi

    Oct 13, 2021 04:30

    Mkuu wa Baraza la Utawala nchini Sudan Jenerali Abde Fattah el-Burhan amelitaka shirika kuu la intelijensia la nchi hiyo liwazuie maafisa kadhaa wa serikali wasisafiri kuelekea nje ya nchi.

  • Magaidi wanne wa ISIS wauawa nchini Sudan

    Magaidi wanne wa ISIS wauawa nchini Sudan

    Oct 05, 2021 07:16

    Shirika la kijasusi la Sudan limetoa taarifa na kusema kuwa, wanachama wanne wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) wameuawa nchini humo.

  • Maelfu waandamana Sudan; washinikiza utawala wa kiraia

    Maelfu waandamana Sudan; washinikiza utawala wa kiraia

    Oct 01, 2021 04:14

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum dhidi ya watawala wa kijeshi na kushinikiza kuundwa uongozi mpya wa kipindi cha mpito ambao utawajumuisha pakubwa raia.

  • Maajenti watano wa Intelijinsia Sudan wauawa katika mapigano na Daesh

    Maajenti watano wa Intelijinsia Sudan wauawa katika mapigano na Daesh

    Sep 29, 2021 04:33

    Idara ya Intelijinsia ya Sudan imetangaza kuwa maajenti wake watano wameuawa na mmoja kujeruhiwa katika shambulio la kuvizia lililoilenga seli ya kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la Jebra huko Khartoum mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Sudan: Hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wetu na Israel

    Sudan: Hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wetu na Israel

    Sep 27, 2021 09:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amesema kuwa, miezi 11 imepita tangu nchi yake itangaze kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel lakini hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wa pande mbili kama ambavyo hakuna pia mazungumzo yoyote rasmi baina yao.

  • Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas

    Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas

    Sep 23, 2021 22:47

    Serikali ya Sudan imefuata nyayo za utawala katili wa Israel na kuchukua hatua ya kutwaa mali na milki za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.

  • Waziri Mkuu wa Sudan: Wapangaji wa mapinduzi walikuwa ndani na nje ya jeshi

    Waziri Mkuu wa Sudan: Wapangaji wa mapinduzi walikuwa ndani na nje ya jeshi

    Sep 21, 2021 08:55

    Waziri Mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok amesema leo Jumanne kuwa jaribio lililoshindwa la mapinduzi liliandaliwa na watu ndani na nje ya jeshi la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS