-
Jaribio la kuipindua serikali ya Sudan lazimwa
Sep 21, 2021 03:27Serikali ya Sudan imetangaza kuwa imetibua na kuzima jaribio la mapinduzi la kuiangusha serikali hiyo na kutoa mwito kwa wananchi kuwa watulivu sambamba na kuwahakikishia kuwa inadhibiti hali ya mambo.
-
Russia na Sudan kusaini mkataba wa kijeshi hivi karibuni
Sep 14, 2021 02:26Balozi mdogo wa Sudan nchini Russia ameashiria baadhi ya marekebisho katika makubaliano ya kijeshi kati ya nchi yake na Russia na kukadhibisha madai kwamba Khartoum itapokea msaada wa kiuchumi kutoka Moscow na akasema: makubaliano ya kijeshi ya Sudan na Russia yatasaniwa muda si mrefu ujao.
-
Jeshi la Sudan lakadhibisha kuwepo juhudi za kufanya mapinduzi nchini humo
Sep 12, 2021 22:37Jeshi la Sudan limetoa taarifa na kukanusha kuwepo jitihada za aina yoyote za kufanya mapinduzi nchini humo.
-
Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit
Sep 08, 2021 07:20Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imemwita kwa ajili ya kumsaili balozi wa Ethiopia mjini Khartoum baada ya miili 29 inayosadikiwa kuwa ni ya Watigray kupatikana katika Mto wa Setit.
-
Sudan yakanusha tuhuma za kuwaunga mkono waasi wa Tigray kwa ajili ya kushambulia Bwawa la Renaissance
Sep 05, 2021 03:16Msemaji wa Kamandi ya Jeshi la Sudan amekadhibisha madai yaliyotolewa na Jeshi la Ethiopia kwamba Khartoum inawasaidia waasi wa Tigray kwa ajili ya kushambulia Bwawa la Renaissance.
-
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kufungua ofisi Sudan
Aug 13, 2021 19:29Sudan na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake huko Hague, Uholanzi zimesaini makubaliano ya ushirikiano kama hatua moja mbele katika jitihada za kushughulikia kesi ya dikteta wa zamani wa Sudan, Omar Hassan al Bashir ambaye anakabiliwa na kesi ya mauaji ya kimbari katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan.
-
Watu 1,500 wakimbia machafuko Darfur, Sudan
Aug 12, 2021 08:13Kamisheni Kuu ya Misaada ya Kibinadamu ya Sudan imetangaza kuwa, wakazi elfu moja na mia tano wa Darfur wamelazimika kukimbilia katika kambi za wakimbizi zilioko kaskazini mwa eneo hilo la magharibi mwa Sudan kutokana na ghasia na machafuko yanaoendelea katika eneo hilo.
-
Sudan kumkabidhi al Bashir kwa mahakama ya ICC
Aug 11, 2021 21:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amesema kuwa, viongozi wa nchi hiyo wamechukua uamuzi wa kumkabidhi rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar Hassan al Bashir na makamu wake wawili kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) huko Hague nchini Uholanzi.
-
Maiti nyingine zapatikana mpakani mwa Tigray, Ethiopia na Sudan
Aug 07, 2021 23:08Maiti zingine sita zimepatikana kwenye kingo za mto unaotenganisha Sudan na eneo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray.
-
Sudan yaazimia kujiunga na mahakama ya kimataifa ya ICC
Aug 04, 2021 22:02Serikali ya Sudan imechukua hatua ya kwanza ya kutaka kujiunga na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).