-
Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano
Jan 03, 2023 05:47Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo, na karibuni kuwa nasi tena katika mfululizo mwingine wa kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, ambapo katika mfululizo huu wa tatu tutatalii moja ya vipindi maalumu vya maisha ya kamanda huyo.
-
Syria yataka kuwepo kijeshi Marekani katika ardhi ya nchi hiyo kukomeshwe
Dec 15, 2022 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa ambayo sambamba na kulaani vitendo vya vikosi vamizi vya jeshi la Marekani, imetaka kukomeshwa uwepo haramu wa kijeshi wa Washington katika ardhi ya Syria.
-
Rais wa Uturuki aikosoa Marekani kwa kuunga mkono ugaidi Syria
Dec 13, 2022 03:37Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki amekosoa hatua ya Marekani ya kuyapa makundi ya kigaidi yaliyopo kaskazini mwa Syria msaada wa fedha na silaha.
-
Bunge la Waarabu lalaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia milioni moja wa Syria
Nov 22, 2022 07:55Muungano wa Mabunge ya Nchi za Kiarabu umelaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia zaidi ya milioni moja wa Syria katika mkoa wa al-Hasakah.
-
Hamas yalaani hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Syria
Nov 19, 2022 23:03Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa taarifa akilaani mashambulio ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.
-
Jumapili, 13 Novemba, 2022
Nov 12, 2022 22:51Leo ni Jumapili tarehe 18 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1444 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 13 Novemba 2022 Miladia.
-
Syria: Tutaendelea na mapambano dhidi ya ugaidi hadi tutakapoisafisha ardhi yetu yote
Nov 09, 2022 03:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa, mapambano dhidi ya magenge ya kigaidi huko kaskazini na kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu yataendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Syria itakaposafishwa kikamilifu.
-
Syria: Tunataka uanzishwe mfumo mpya wa kimataifa, jinai za Israel zidhibitiwe
Oct 26, 2022 09:16Kwa mnasaba wa Siku ya Umoja wa Mataifa, Serikali ya Syria imetoa wito na kusisitiza ulazima wa kuundwa mfumo mpya wa kimataifa na kuzuiwa uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na jinai zinazofanywa na utawala huo haramu.
-
Marekani yaingiwa na wahaka kufuatia maridhiano ya Syria na HAMAS
Oct 21, 2022 07:54Marekani imeonya kuwa itachukua hatua zaidi za 'kumtenga' Rais Bashari al-Assad wa Syria, jambo linaloashiria kuwa Washington imeingiwa na kiwewe kufuatia hatua ya hivi karibuni ya Damascus kufikia maridhiano na Harakati ya Mapmbano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
-
Ujumbe wa HAMAS waonana na Rais wa Syria mara ya kwanza baada ya miaka 10
Oct 19, 2022 21:15Duru za Syria zimetangaza habari ya kukutana ujumbe mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.