Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Jan 03, 2023 05:47

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo, na karibuni kuwa nasi tena katika mfululizo mwingine wa kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, ambapo katika mfululizo huu wa tatu tutatalii moja ya vipindi maalumu vya maisha ya kamanda huyo.

  • Syria yataka kuwepo kijeshi Marekani katika ardhi ya nchi hiyo kukomeshwe

    Syria yataka kuwepo kijeshi Marekani katika ardhi ya nchi hiyo kukomeshwe

    Dec 15, 2022 03:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa ambayo sambamba na kulaani vitendo vya vikosi vamizi vya jeshi la Marekani, imetaka kukomeshwa uwepo haramu wa kijeshi wa Washington katika ardhi ya Syria.

  • Rais wa Uturuki aikosoa Marekani kwa kuunga mkono ugaidi Syria

    Rais wa Uturuki aikosoa Marekani kwa kuunga mkono ugaidi Syria

    Dec 13, 2022 03:37

    Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki amekosoa hatua ya Marekani ya kuyapa makundi ya kigaidi yaliyopo kaskazini mwa Syria msaada wa fedha na silaha.

  • Bunge la Waarabu lalaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia milioni moja wa Syria

    Bunge la Waarabu lalaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia milioni moja wa Syria

    Nov 22, 2022 07:55

    Muungano wa Mabunge ya Nchi za Kiarabu umelaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia zaidi ya milioni moja wa Syria katika mkoa wa al-Hasakah.

  • Hamas yalaani hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Syria

    Hamas yalaani hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Syria

    Nov 19, 2022 23:03

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa taarifa akilaani mashambulio ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.

  • Jumapili, 13 Novemba, 2022

    Jumapili, 13 Novemba, 2022

    Nov 12, 2022 22:51

    Leo ni Jumapili tarehe 18 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1444 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 13 Novemba 2022 Miladia.

  • Syria: Tutaendelea na mapambano dhidi ya ugaidi hadi tutakapoisafisha ardhi yetu yote

    Syria: Tutaendelea na mapambano dhidi ya ugaidi hadi tutakapoisafisha ardhi yetu yote

    Nov 09, 2022 03:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa, mapambano dhidi ya magenge ya kigaidi huko kaskazini na kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu yataendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Syria itakaposafishwa kikamilifu.

  • Syria: Tunataka uanzishwe mfumo mpya wa kimataifa, jinai za Israel zidhibitiwe

    Syria: Tunataka uanzishwe mfumo mpya wa kimataifa, jinai za Israel zidhibitiwe

    Oct 26, 2022 09:16

    Kwa mnasaba wa Siku ya Umoja wa Mataifa, Serikali ya Syria imetoa wito na kusisitiza ulazima wa kuundwa mfumo mpya wa kimataifa na kuzuiwa uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na jinai zinazofanywa na utawala huo haramu.

  • Marekani yaingiwa na wahaka kufuatia maridhiano ya Syria na HAMAS

    Marekani yaingiwa na wahaka kufuatia maridhiano ya Syria na HAMAS

    Oct 21, 2022 07:54

    Marekani imeonya kuwa itachukua hatua zaidi za 'kumtenga' Rais Bashari al-Assad wa Syria, jambo linaloashiria kuwa Washington imeingiwa na kiwewe kufuatia hatua ya hivi karibuni ya Damascus kufikia maridhiano na Harakati ya Mapmbano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • Ujumbe wa HAMAS waonana na Rais wa Syria mara ya kwanza baada ya miaka 10

    Ujumbe wa HAMAS waonana na Rais wa Syria mara ya kwanza baada ya miaka 10

    Oct 19, 2022 21:15

    Duru za Syria zimetangaza habari ya kukutana ujumbe mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS