Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika

    Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika

    Jul 05, 2020 04:49

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, hali inayoshuhudiwa sasa nchini Libya inafanana na ile ya Syria kutokana na nchi kadhaa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Hatua ya Uturuki ya kutuma jeshi kaskazini mwa Syria

    Hatua ya Uturuki ya kutuma jeshi kaskazini mwa Syria

    Jul 03, 2020 02:37

    Uturuki imetangaza kuwa imetuma kundi jingine la kikosi maalumu cha jeshi la nchi hiyo katika eneo la Ras al Ain huko kaskazini mwa Syria.

  • Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria

    Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria

    Jul 02, 2020 07:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Mchakato wa Astana ungali ndio mpango pekee uliofanikiwa kusaidia kutatua mgogoro wa Syria kwa njia ya amani.

  • Iran: Tutaendelea kuliunga mkono taifa la Syria, muqawama

    Iran: Tutaendelea kuliunga mkono taifa la Syria, muqawama

    Jun 18, 2020 12:33

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuliunga mkono na kusimama na taifa la Syria pamoja na kambi ya muqawama katika eneo.

  • Israel kujenga 'vitongoji 300 vya Trump' katika Milima ya Golan, Syria

    Israel kujenga 'vitongoji 300 vya Trump' katika Milima ya Golan, Syria

    Jun 15, 2020 02:23

    Utawala ghasibu wa Israel unapanga kujenga mamia ya vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika Miinuko ya Golan nchini Syria, vitakavyoitwa "Miinuko ya Trump".

  • Putin na Merkel wabainisha wasiwasi wao kufuatia kushtadi mapigano ya silaha huko Libya

    Putin na Merkel wabainisha wasiwasi wao kufuatia kushtadi mapigano ya silaha huko Libya

    Jun 10, 2020 03:20

    Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel wamesema kuwa wana wasiwasi kufuata kushtadi mapigano ya silaha huko Libya. Viongozi hao wawili wa Russia na Ujerumani wameeleza hayo katika mazungumzo waliyofanya kwa njia ya simu.

  • Iran yazitaka Marekani na EU ziiondolee Syria vikwazo

    Iran yazitaka Marekani na EU ziiondolee Syria vikwazo

    Jun 06, 2020 03:28

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametaka kuondolewa mara moja vikwazo haramu dhidi ya taifa la Syria vilivyowekwa na Marekani na Umoja wa Ulaya.

  • Hamas yalaani mashambulizi ya Israel nchini Syria

    Hamas yalaani mashambulizi ya Israel nchini Syria

    Jun 05, 2020 03:26

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amelaani mashambulizi ya makombora ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Syria.

  • Russia yakanusha kuwepo mvutano katika uhusiano wake na Syria

    Russia yakanusha kuwepo mvutano katika uhusiano wake na Syria

    May 21, 2020 22:12

    Balozi wa Russia nchini Syria ametupilia mbali madai ya kuwepo hitilafu katika uhusiano wa serikali ya Moscow na Damascus.

  • Sisitizo la Amnesty International juu ya ukidhabu wa Marekani katika mauaji ya raia

    Sisitizo la Amnesty International juu ya ukidhabu wa Marekani katika mauaji ya raia

    May 12, 2020 01:38

    Baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilianzisha vita katika maeneo tofauti duniani kwa madai ya kupambana na ugaidi na hasa katika nchi mbili za Waislamu, za Afghanistan na Iraq ambazo hatimaye ilizikalia kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS