Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Balozi wa Syria UN: Ugaidi wa siha wa Marekani umehatarisha maisha ya watu bilioni mbili duniani

    Balozi wa Syria UN: Ugaidi wa siha wa Marekani umehatarisha maisha ya watu bilioni mbili duniani

    May 10, 2020 08:58

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema, ugaidi unaolenga siha za watu ni hatua mpya ya upande mmoja ya Marekani ambayo imeyaweka hatarini maisha ya watu bilioni mbili duniani.

  • Wananchi wa Misri wahimiza kupambana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Syria

    Wananchi wa Misri wahimiza kupambana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Syria

    May 10, 2020 03:16

    Harakati moja ya wananchi wa Misri imesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuishukuru Syria kwa kusimama kidete na kujitolea kupambana vilivyo na magenge ya kigaidi ambayo ni hatari kwa usalama wa dunia nzima, na imeyataka mataifa ya dunia kuungana kupinga vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya Syria.

  • HAMAS yasisitiza kuweko umoja wa Umma wa Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    HAMAS yasisitiza kuweko umoja wa Umma wa Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    May 01, 2020 02:45

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa wito wa kuweko umoja na mshikamano wa Umma wa Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na hujuma na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.

  • Serikali ya Misri yaliunga mkono jeshi la Syria, yahimiza ushirikiano katika vita dhidi ya magaidi

    Serikali ya Misri yaliunga mkono jeshi la Syria, yahimiza ushirikiano katika vita dhidi ya magaidi

    Apr 23, 2020 21:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametilia mkazo udharura wa kuendelea operesheni za jeshi la Syria za kupambana na magenge ya kigaidi nchini humo.

  • Zarif: Iran inashirikiana na UN kuhitimisha matatizo ya Wayemen

    Zarif: Iran inashirikiana na UN kuhitimisha matatizo ya Wayemen

    Apr 21, 2020 03:29

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii inashirikiana na Umoja wa Mataifa katika jitihada za kuhakikisha kuwa matatizo na changamoto zinazowakabili wananchi wa Yemen zinafikia tamati.

  • Wakazi wa Al-Hasakah nchini Syria wawalazimisha askari wa Marekani kurudi nyuma

    Wakazi wa Al-Hasakah nchini Syria wawalazimisha askari wa Marekani kurudi nyuma

    Apr 08, 2020 22:13

    Wakazi wa kijiji cha 'Kharab Askar' katika mkoa wa Al-Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria kwa mara nyingine tena wamewazuia askari wa Marekani na kuwalazimisha kurudi nyuma.

  • UN yapinga madai ya kuhusika Syria katika shambulizi dhidi ya hospitali za Idlib

    UN yapinga madai ya kuhusika Syria katika shambulizi dhidi ya hospitali za Idlib

    Apr 07, 2020 03:47

    Kamati ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imepinga madai kwamba Syria imeshambulia hospitali na vituo vya afya huko Idlib.

  • Jumamosi, 4 Aprili, 2020

    Jumamosi, 4 Aprili, 2020

    Apr 06, 2020 01:59

    Leo ni Jumamosi tarehe 10 Shaaban 1441 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe 4 Aprili 2020 Miladia.

  • Wakati dunia imezongwa na corona, Marekani yawapelekea shehena za silaha magaidi nchini Syria

    Wakati dunia imezongwa na corona, Marekani yawapelekea shehena za silaha magaidi nchini Syria

    Mar 30, 2020 23:15

    Katika hali ambayo dunia imehamanika kutokana na janga la kirusi hatari cha corona, ndio kwanza dola la kibeberu na kiistikbari la Marekani linawatumia shehena za silaha magaidi huko nchini Syria.

  • Assad apigiwa simu na kiongozi wa UAE huku Syria ikikaribia ushindi kamili vitani

    Assad apigiwa simu na kiongozi wa UAE huku Syria ikikaribia ushindi kamili vitani

    Mar 28, 2020 23:21

    Mrithi wa Ufalme wa Abu Dhabi, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Mohammad bin Zayed Al-Nahyan amempigia simu Rais Bashar al Assad wa Syria huku jeshi la Syria likiwa linakaribia kupata ushindi kamili katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi yanayopata himaya ya kigeni nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS