Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Ulegezaji kamba katika misimamo ya Taliban, kutoka maneno hadi vitendo

    Ulegezaji kamba katika misimamo ya Taliban, kutoka maneno hadi vitendo

    Dec 21, 2021 02:42

    Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Afghanistan katika serikali ya mpito ya Taliban amesema kuwa kushirikishwa Waafghani wote katika muundo wa serikali ya nchi hiyo ni jambo la lazima.

  • Lengo la mkutano wa Islamabad ni kuisaidia nchi ya Afghanistan

    Lengo la mkutano wa Islamabad ni kuisaidia nchi ya Afghanistan

    Dec 17, 2021 11:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amesema kuwa, lengo la kikao cha Islamabad ni mkusanyiko wa kimataifa kwa ajili ya kuisaidia Afghanistan.

  • Mgogoro wa kibinadamu ambao haujawahi kushuhudiwa nchini Afghanistan

    Mgogoro wa kibinadamu ambao haujawahi kushuhudiwa nchini Afghanistan

    Dec 15, 2021 02:28

    Afisa mmoja wa Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) amesema kuwa, mgogoro wa kibinadamu nchini Afghanistan ni wa aina yake na haujawahi kushuhudiwa.

  • Umoja wa Ulaya: Hatutaitambua serikali ya Taliban Afghanistan

    Umoja wa Ulaya: Hatutaitambua serikali ya Taliban Afghanistan

    Nov 28, 2021 08:02

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa umoja huo hautaitambua serikali ya kundi la Taliban inayotawala nchini Afghanistan.

  • Madai ya Taliban ya kuwepo serikali jumuishi nchini Afghanistan

    Madai ya Taliban ya kuwepo serikali jumuishi nchini Afghanistan

    Nov 15, 2021 02:46

    Kaimu waziri wa mambo ya nje wa serikali ya muda ya Taliban amekataa wito wa jamii ya kimataifa unaosisitizia ulazima wa kuundwa serikali jumuishi nchini Afghanistan na kudai kwamba, serikali ya Taliban ni jumuishi na ndani yake wamo wawakilishi wa jamii zote za nchi hiyo.

  • Ukulima wa mipopi umeshamiri Afghanistan kutokana na vikwazo ilivyowekewa Taliban

    Ukulima wa mipopi umeshamiri Afghanistan kutokana na vikwazo ilivyowekewa Taliban

    Nov 10, 2021 02:40

    Ukulima wa mipopi inayozalisha mihadarati ya kasumba umeongezeka nchini Afghanistan kutokana na vikwazo lilivyowekewa kundi la Taliban linalotawala nchi hiyo kwa sasa.

  • Taliban yatoa indhari juu ya hatari ya kuanzishwa vituo vya kijeshi vya Marekani na NATO katika eneo

    Taliban yatoa indhari juu ya hatari ya kuanzishwa vituo vya kijeshi vya Marekani na NATO katika eneo

    Oct 30, 2021 07:23

    Taliban imetahadharisha kuwa, kuanzishwa vituo vya kijeshi vya Marekani na vya shirika la kijeshi la Magharibi NATO katika nchi jirani ni hatari kwa mataifa yote.

  • DAESH lakiri kuhusika na hujuma ya kuripua kinu cha umeme mjini Kabul, Afghanistan

    DAESH lakiri kuhusika na hujuma ya kuripua kinu cha umeme mjini Kabul, Afghanistan

    Oct 23, 2021 07:48

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limekiri kuwa ndilo lililohusika na shambulio la kinu kikuu kinachozalisha umeme katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Oct 22, 2021 13:06

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan kilifanyika siku ya Jumatano ya tarehe 20 Oktoba kwa uwenyekiti wa Russia katika mji mkuu huo wa nchi hiyo.

  • Mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan ajiuzulu

    Mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan ajiuzulu

    Oct 19, 2021 07:41

    Zalmay Khalilzad, anayetazamwa kama nembo na kielelezo kikubwa zaidi cha kufeli kidiplomasia Marekani nchini Afghanistan amejiuzulu wadhifa wake wa mjumbe maalumu wa Washington katika masuala ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS