Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Oct 15, 2021 09:16

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema magaidi wanahamishwa kutoka Iraq na Syria na kupelekwa Afghanistan jambo ambalo amesisitiza kuwa linahatarisha usalama wa nchi za Umoja wa Sovieti ya zamani.

  • Ombi la Taliban kwa Russia kwa ajili ya kushiriki katika ujenzi mpya wa Afghanistan

    Ombi la Taliban kwa Russia kwa ajili ya kushiriki katika ujenzi mpya wa Afghanistan

    Oct 14, 2021 08:51

    Kundi la wanamgambo wa Taliban linaloongoza huko Afghanistan limetangaza kuwa linafanya mashauriano na Russia ili kupanua ushirikianao na kusaidiwa katika kuijenga upya nchi hiyo.

  • Taliban yazionya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya kuidhoofisha serikali yake

    Taliban yazionya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya kuidhoofisha serikali yake

    Oct 13, 2021 07:39

    Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan amezitahadharisha tawala za Magharibi juu ya hatua yoyote ya kuudhoofisha utawala mpya ulioundwa na kundi hilo.

  • Taliban yakataa kushirikiana na Marekani katika mapambano dhidi ya Daesh

    Taliban yakataa kushirikiana na Marekani katika mapambano dhidi ya Daesh

    Oct 12, 2021 02:30

    Kundi la Taliban limetangaza kuwa lina uwezo wa kutosha wa kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na kwa msingi huo halitashirikiana na Marekani katika uwanja huo.

  • Imethibitishwa kuwa rais mtoro wa Afghanistan aliiba mamilioni ya dola alipokimbilia nje ya nchi

    Imethibitishwa kuwa rais mtoro wa Afghanistan aliiba mamilioni ya dola alipokimbilia nje ya nchi

    Oct 07, 2021 04:35

    Msemaji wa kundi la Taliban Zabihullah Mujahid amethibitisha kuwa Muhammad Ashraf Ghani, rais mtoro wa Afghanistan aliiba na kuondoka na mamilioni ya dola wakati alipokimbilia nje ya nchi.

  • Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan

    Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan

    Oct 07, 2021 04:35

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa matatizo yote yaliyoko Afghanistan hivi sasa yamesababishwa na siasa za kibeberu za Marekani

  • UN yakiri kuwa haina uwezo wa kutatua mgogoro wa Afghanistan

    UN yakiri kuwa haina uwezo wa kutatua mgogoro wa Afghanistan

    Sep 16, 2021 12:02

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, pembenekezo lolote la kudai kuwa umoja huo unaweza kutatua matatizo ya Afghanistan ni ndoto tu ambazo haziwezi kuaguka.

  • Wanawake nchini Afghanistan waunga mkono Hijabu na Taliban

    Wanawake nchini Afghanistan waunga mkono Hijabu na Taliban

    Sep 10, 2021 12:42

    Mamia ya wanawake nchini Afghanistan wamekusanyika katika mkoa wa Kunduz kaskazini mwa nchi hiyo, ambapo sambamba na kutangaza uungaji mkono wao kwa Taliban wamesisitizia pia uvaaji wa vazi la stara la Kiislamu la Hijabu.

  • Ombi la kiongozi wa Taliban kwa wananchi wa Afghanistan

    Ombi la kiongozi wa Taliban kwa wananchi wa Afghanistan

    Sep 10, 2021 08:46

    Hibatullah Akhundzada kiongozi mkuu wa kundi la wanamgambo wa Taliban amewataka wananchi wa Afghanistan kuiunga mkono serikali ya mpito ya kundi hilo. Amesema, Afghanistan ni nyumba ya taifa lote la Afghanistan na kwamba nyumba hiyo ni muhimu katika kuijenga nchi.

  • Kuundwa serikali ya Taliban nchini Afghanistan

    Kuundwa serikali ya Taliban nchini Afghanistan

    Sep 09, 2021 09:09

    Serikali ya mpito iliyoundwa na wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan imeanza rasmi kazi zake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS