-
Familia ya Mohammed Dewji: Bado hatujapata taarifa yoyote mpya yenye matumaini kuhusu MO
Oct 18, 2018 04:50Familia ya mfanyabiashara mkubwa wa Tanzania na Afrika Mohammed Dewji imesema kuwa, hadi sasa haijapokea taarifa yoyote yenye kutia matumaini ya kupatikana kwa mtoto wao Mohammed Dewji aliyetekwa nyara siku saba silizopita.
-
Serikali ya Tanzania: Hatutoruhusu wachunguzi kutoka nje kuja kuchunguza tukio la kutekwa nyara Mo Dewji
Oct 17, 2018 01:13Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Hamad Masauni amesema kuwa, serikali haiwezi kuruhusu vyombo vya ulinzi na usalama kutoka nje ya nchi kuja kuchunguza tukio la kutekwa nyara mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’.
-
Mbunge Lema: Ili serikali ya Tanzania ijinasue na lawama, iruhusu vyombo vya nje vichunguze kutekwa kwa Mo Dewji
Oct 16, 2018 12:27Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, na mbunge wa chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA, Godbless Lema amesema kuwa njia pekee itakayoiepusha serikali ya Dar es Salaam na lawama kuhusiana na tukio la kutekwa nyara mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika, Mohammed Dewji (MO), ni kuviruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguzi wa tukio hilo.
-
Watu 75 watekwa nyara Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu
Oct 13, 2018 12:34Serikali ya Tanzania imesema kuwa, watu wapatano 75 wametekwa nyara katika nyakati na maeneo tofauti nchini humo kwenye kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
-
Licha ya juhudi kubwa za polisi Tanzania, mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika MO Dewji, bado hajapatikana
Oct 13, 2018 04:46Jeshi la polisi nchini Tanzania limeendelea kuwasaka watu waliomteka nyara mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika, Mohammed Dewji, huku juhudi hizo zikiwa bado hazijazaa matunda.
-
Mfanyabiashara mkubwa Tanzania na Afrika Mohammed Dewji, atekwa nyara na wazungu jijini Dar es Salaam
Oct 11, 2018 09:16Mfanyabiashara mkubwa wa Tanzania na Afrika Mohammed Dewji maarufu kwa jina la ‘MO’, ametekwa nyara asubuhi ya leo na kupelekwa kusikojulikana.
-
Waziri wa Nchi Tanzania: Rais Magufuli hakukusudia kupiga marufuku uzazi wa mpango
Oct 09, 2018 13:03Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) nchini Tanzania, Seleman Jafo amesema kuwa, wataalamu wa masuala ya afya wa nchi hiyo walitakiwa kuwafafanulia wananchi kauli ya Rais John Pombe Magufuli pale alipotaka Watanzania wasizuiwe kuzaa watoto.
-
Magufuli aamuru kuundwa kivuko kingine Ukerewe baada ya kile cha MV Nyerere kuzama
Sep 24, 2018 10:53Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ameamuru kuundwa kivuko kipya katika wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, baada ya kutokea ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere na kusababisha maafa.
-
Manusura wa ajali ya kivuko Tanzania: Kapteni alishughulishwa sana na simu na kusababisha ajali
Sep 22, 2018 13:17Mchori Bulola, mmoja wa watu walionusurika kwenye ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere mkoani Mwanza nchini Tanzania amesema kuwa, chanzo cha ajali hiyo kilikuwa mzigo mkubwa ambao kivuko hicho kilikuwa kimeubeba.
-
Idadi ya waliofariki katika ajali ya kivuko Tanzania yapindukia 150
Sep 22, 2018 04:16Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere kwenye ajali ya Ziwa Victoria nchini Tanzania imeongeza na kupindukia 150.