-
Watu 75 watekwa nyara Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu
Oct 13, 2018 12:34Serikali ya Tanzania imesema kuwa, watu wapatano 75 wametekwa nyara katika nyakati na maeneo tofauti nchini humo kwenye kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
-
Licha ya juhudi kubwa za polisi Tanzania, mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika MO Dewji, bado hajapatikana
Oct 13, 2018 04:46Jeshi la polisi nchini Tanzania limeendelea kuwasaka watu waliomteka nyara mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika, Mohammed Dewji, huku juhudi hizo zikiwa bado hazijazaa matunda.
-
Mfanyabiashara mkubwa Tanzania na Afrika Mohammed Dewji, atekwa nyara na wazungu jijini Dar es Salaam
Oct 11, 2018 09:16Mfanyabiashara mkubwa wa Tanzania na Afrika Mohammed Dewji maarufu kwa jina la ‘MO’, ametekwa nyara asubuhi ya leo na kupelekwa kusikojulikana.
-
Waziri wa Nchi Tanzania: Rais Magufuli hakukusudia kupiga marufuku uzazi wa mpango
Oct 09, 2018 13:03Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) nchini Tanzania, Seleman Jafo amesema kuwa, wataalamu wa masuala ya afya wa nchi hiyo walitakiwa kuwafafanulia wananchi kauli ya Rais John Pombe Magufuli pale alipotaka Watanzania wasizuiwe kuzaa watoto.
-
Magufuli aamuru kuundwa kivuko kingine Ukerewe baada ya kile cha MV Nyerere kuzama
Sep 24, 2018 10:53Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ameamuru kuundwa kivuko kipya katika wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, baada ya kutokea ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere na kusababisha maafa.
-
Manusura wa ajali ya kivuko Tanzania: Kapteni alishughulishwa sana na simu na kusababisha ajali
Sep 22, 2018 13:17Mchori Bulola, mmoja wa watu walionusurika kwenye ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere mkoani Mwanza nchini Tanzania amesema kuwa, chanzo cha ajali hiyo kilikuwa mzigo mkubwa ambao kivuko hicho kilikuwa kimeubeba.
-
Idadi ya waliofariki katika ajali ya kivuko Tanzania yapindukia 150
Sep 22, 2018 04:16Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere kwenye ajali ya Ziwa Victoria nchini Tanzania imeongeza na kupindukia 150.
-
Iran yatuma salamu za rambirambi kwa Tanzania kufuatia ajali ya kivuko, Mwanza
Sep 21, 2018 09:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa taifa na serikali ya Tanzania kufuatia ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere katika ziwa Vctoria huko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Watu 94 wafariki dunia katika ajali mbaya ya kuzama kwa kivuko Mwanza, Tanzania
Sep 20, 2018 12:24Watu 94 wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama majini kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukara katika Ziwa Victoria wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, Tanzania.
-
Wafuasi wa Ahlul-Bayti duniani wakumbuka mauaji ya Imam Hussein (as)
Sep 20, 2018 11:27Waislamu wapenzi wa familia ya Mtume Muhammad (saw) katika nchi mbalimbali za dunia leo wameshiriki maombolezo ya siku ya Ashura, ambayo aliuawa shahidi ndani yake mjukuu wa Mtume, yaani al-Imam Hussein bin Ali (as).