Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Iran yatuma salamu za rambirambi kwa Tanzania kufuatia ajali ya kivuko, Mwanza

    Iran yatuma salamu za rambirambi kwa Tanzania kufuatia ajali ya kivuko, Mwanza

    Sep 21, 2018 09:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa taifa na serikali ya Tanzania kufuatia ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere katika ziwa Vctoria huko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Watu 94 wafariki dunia katika ajali mbaya ya kuzama kwa kivuko Mwanza, Tanzania

    Watu 94 wafariki dunia katika ajali mbaya ya kuzama kwa kivuko Mwanza, Tanzania

    Sep 20, 2018 12:24

    Watu 94 wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama majini kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukara katika Ziwa Victoria wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, Tanzania. 

  • Wafuasi wa Ahlul-Bayti duniani wakumbuka mauaji ya Imam Hussein (as)

    Wafuasi wa Ahlul-Bayti duniani wakumbuka mauaji ya Imam Hussein (as)

    Sep 20, 2018 11:27

    Waislamu wapenzi wa familia ya Mtume Muhammad (saw) katika nchi mbalimbali za dunia leo wameshiriki maombolezo ya siku ya Ashura, ambayo aliuawa shahidi ndani yake mjukuu wa Mtume, yaani al-Imam Hussein bin Ali (as).

  • SAUTI, Viongozi wa imani tofauti Tanzania washiriki kumbukumbu za Imamu Hussein (as) na kumtaja kuwa nembo ya ubinaadamu

    SAUTI, Viongozi wa imani tofauti Tanzania washiriki kumbukumbu za Imamu Hussein (as) na kumtaja kuwa nembo ya ubinaadamu

    Sep 20, 2018 11:22

    Viongozi wa dini mbalimbali nchini Tanzania wamejumuika pamoja katika kuenzi kumbukumbu ya siku aliyouwawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) Imam Hussein (as).

  • Tanzania kupoteza wawekezaji baada ya kujitoa kwenye taasisi za kimataifa za usuluhishi

    Tanzania kupoteza wawekezaji baada ya kujitoa kwenye taasisi za kimataifa za usuluhishi

    Sep 14, 2018 02:45

    Wataalamu wanasema kuwa, uamuzi uliochukuliwa na serikali ya Tanzania wa kurekebisha sheria ya Ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi PPP na kujitoa kwenye taasisi za kimataifa za usuluhishi utawatia hofu wawekezaji, na kupelekea uhusiano wa nchi hiyo na mashirika ya fedha duniani kuwa mgumu zaidi.

  • Serikali ya Tanzania yaamuru watoto ombaomba kukamatwa na kushtakiwa mahakamani

    Serikali ya Tanzania yaamuru watoto ombaomba kukamatwa na kushtakiwa mahakamani

    Sep 12, 2018 09:37

    Serikali ya Tanzania imetoa agizo la kukamatwa na kufikishwa mahakamani, watoto wa mitaani, maarufu kama ombaomba, kwa kutumia sharia inayozuia utoro mashuleni.

  • Ulimwengu wa Michezo, Sep 10

    Ulimwengu wa Michezo, Sep 10

    Sep 09, 2018 23:38

    Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa

  • Watu 28 waaga dunia na kujeruhiwa katika ajali ya barabarani Tanzania

    Watu 28 waaga dunia na kujeruhiwa katika ajali ya barabarani Tanzania

    Sep 08, 2018 22:17

    Kwa akali watu 15 wamepoteza maisha na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika mkoa wa Mbeya, kusini mwa Tanzania.

  • Upinzani nchini Tanzania wapinga wakurugenzi wa Tume ya uchaguzi NEC kuwa wanachama wa CCM

    Upinzani nchini Tanzania wapinga wakurugenzi wa Tume ya uchaguzi NEC kuwa wanachama wa CCM

    Sep 04, 2018 09:21

    Wabunge wa upinzani nchini Tanzania wamelalamikia hatua ya wajumbe na wasimamizi wa uchaguzi kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) kuwa wanachama wa chama tawala CCM.

  • Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania, akemea ongezeko la utumiaji nguvu wa mgambo na walimu nchini humo

    Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania, akemea ongezeko la utumiaji nguvu wa mgambo na walimu nchini humo

    Sep 03, 2018 09:34

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Tanzania, Kangi Lugola amelaani vitendo vya utumiaji nguvu vya mgambo wa nchi hiyo hususan wa jiji la Dar es salaam na kuvitaja vitendo hivyo kuwa vya kihuni, kishenzi na kinyama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS