-
SAUTI, Viongozi wa imani tofauti Tanzania washiriki kumbukumbu za Imamu Hussein (as) na kumtaja kuwa nembo ya ubinaadamu
Sep 20, 2018 11:22Viongozi wa dini mbalimbali nchini Tanzania wamejumuika pamoja katika kuenzi kumbukumbu ya siku aliyouwawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) Imam Hussein (as).
-
Tanzania kupoteza wawekezaji baada ya kujitoa kwenye taasisi za kimataifa za usuluhishi
Sep 14, 2018 02:45Wataalamu wanasema kuwa, uamuzi uliochukuliwa na serikali ya Tanzania wa kurekebisha sheria ya Ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi PPP na kujitoa kwenye taasisi za kimataifa za usuluhishi utawatia hofu wawekezaji, na kupelekea uhusiano wa nchi hiyo na mashirika ya fedha duniani kuwa mgumu zaidi.
-
Serikali ya Tanzania yaamuru watoto ombaomba kukamatwa na kushtakiwa mahakamani
Sep 12, 2018 09:37Serikali ya Tanzania imetoa agizo la kukamatwa na kufikishwa mahakamani, watoto wa mitaani, maarufu kama ombaomba, kwa kutumia sharia inayozuia utoro mashuleni.
-
Ulimwengu wa Michezo, Sep 10
Sep 09, 2018 23:38Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa
-
Watu 28 waaga dunia na kujeruhiwa katika ajali ya barabarani Tanzania
Sep 08, 2018 22:17Kwa akali watu 15 wamepoteza maisha na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika mkoa wa Mbeya, kusini mwa Tanzania.
-
Upinzani nchini Tanzania wapinga wakurugenzi wa Tume ya uchaguzi NEC kuwa wanachama wa CCM
Sep 04, 2018 09:21Wabunge wa upinzani nchini Tanzania wamelalamikia hatua ya wajumbe na wasimamizi wa uchaguzi kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) kuwa wanachama wa chama tawala CCM.
-
Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania, akemea ongezeko la utumiaji nguvu wa mgambo na walimu nchini humo
Sep 03, 2018 09:34Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Tanzania, Kangi Lugola amelaani vitendo vya utumiaji nguvu vya mgambo wa nchi hiyo hususan wa jiji la Dar es salaam na kuvitaja vitendo hivyo kuwa vya kihuni, kishenzi na kinyama.
-
LHRC: Ubakaji watoto umeongezeka Tanzania
Sep 01, 2018 09:35Shirika moja la haki za binadamu nchini Tanzania limesema kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la vitendo vya ubakaji nchini humo.
-
SAUTI, Balozi wa Iran Tanzania: Iddi ya Ghadir ni kwa ajili ya Waislamu wote si kwa Waislamu wa Shia peke yao
Aug 30, 2018 12:30Balozi wa Jamuhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Mousa Farhang, amesema kuwa, Sikukuu ya Ghadir sio kwa ajili ya Waislamu wa Shia pekee, bali Waislamu wa madhehebu yote duniani.
-
Mbowe: Viongozi wa Chadema Tanzania, tunatengenezewa kesi ili tufungwe
Aug 24, 2018 00:13Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe, amesema kuwa, viongozi wa chama hicho wanatengenezewa kesi ili wafungwe jela na kusisitiza kuwa, pamoja na hayo wao hawaogopi kwenda jela.