Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Watu 14 wafariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea asubuhi ya leo Mkuranga, Tanzania

    Watu 14 wafariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea asubuhi ya leo Mkuranga, Tanzania

    Jun 25, 2018 03:48

    Watu 14 wameripotiwa kufariki dunia katika ajali mbaya ya gari iliyotokea mapema leo  mkoani Pwani nchini Tanzania.

  • LHRC: Kuna njia tatu kuu zitakazofanikisha kupatikana katiba mpya Tanzania

    LHRC: Kuna njia tatu kuu zitakazofanikisha kupatikana katiba mpya Tanzania

    Jun 22, 2018 09:27

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) nchini Tanzania kimetoa mapendekezo matatu ambayo kwa mujibu wake yatasaidia kupatikana katiba mpya nchini humo.

  • SAUTI, Mawaziri wa Nishati wa Rwanda na Tanzania watembelea mradi wa umeme wa Rusumo wahimiza kasi zaidi

    SAUTI, Mawaziri wa Nishati wa Rwanda na Tanzania watembelea mradi wa umeme wa Rusumo wahimiza kasi zaidi

    Jun 10, 2018 12:38

    Serikali za Rwanda na Tanzania zimekubaliana kuzidisha ushirikiano katika ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa nchi mbili.

  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018

    Jun 09, 2018 08:29

    Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Tanzania.

  • RIPOTI MATUKIO YA KIISLAMU, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awataka wanawake kuacha kuvaa nguo fupi na zenye kubana

    RIPOTI MATUKIO YA KIISLAMU, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awataka wanawake kuacha kuvaa nguo fupi na zenye kubana

    Jun 08, 2018 11:35

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amewataka wanawake na wasichana wanaovaa nguo fupi na nguo za kubana kuacha tabia hiyo hususan katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan.

  • Rais wa Tanzania aomboleza ajali mbaya iliyotokea mkoani Kigoma, atoa amri kwa vyombo vya usalama

    Rais wa Tanzania aomboleza ajali mbaya iliyotokea mkoani Kigoma, atoa amri kwa vyombo vya usalama

    Jun 06, 2018 10:26

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania sambamba na kutoa salamu za rambirambi kwa familia zilizowapoteza ndugu na jamaa zao katika ajali mbaya iliyotokea eneo la Gungu mkoani Kigoma mjini, amewataka maafisa usalama barabarani kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti ajali za barabarani zinazoweza kuepukika.

  • WHO: Tanzania ipo nafasi ya pili ya hatari kukumbwa na ugonjwa hatari wa Ebola

    WHO: Tanzania ipo nafasi ya pili ya hatari kukumbwa na ugonjwa hatari wa Ebola

    May 25, 2018 09:13

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaja Tanzania kuwa ipo na nafasi ya pili ya nchi zilizo katika hatari ya kukumbwa na maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

  • Joseph Mbilinyi (Sugu): Kuna maana gani Tanzania kufungua ubalozi wake Israel na kuwaacha Wapalestina

    Joseph Mbilinyi (Sugu): Kuna maana gani Tanzania kufungua ubalozi wake Israel na kuwaacha Wapalestina

    May 24, 2018 03:17

    Mbunge wa Mbeya mjini wa chama cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA) Joseph Osmund Mbilinyi maarifa kwa jina la Sugu amesema kuwa, inashangaza kuona hii leo serikali ya Rais John Magufuli inakwenda kinyume na misingi iliyojengwa na Tanzania katika kuwatetea watu wanaokandamizwa duniani, hususan Palestina.

  • Hali ya taharuki yatanda Kongo DR na nchi jirani kufuatia kusambaa ugonjwa hatari wa Ebola

    Hali ya taharuki yatanda Kongo DR na nchi jirani kufuatia kusambaa ugonjwa hatari wa Ebola

    May 18, 2018 03:46

    Wasi wasi umetanda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na nchi jirani na taifa hilo kutokana na kuripotiwa kusambaa ugonjwa hatari wa Ebola.

  • Tanzania: Hakuna ugonjwa wa Ebola nchini, lakini tunachukua tahadhari

    Tanzania: Hakuna ugonjwa wa Ebola nchini, lakini tunachukua tahadhari

    May 11, 2018 03:06

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema kuwa, hadi sasa hakuna mtu yeyote nchini aliyegundulika kuwa na viashiria vya ugonjwa wa Ebola, lakini itaendelea kudhibiti na kujikinga na ugonjwa huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS